Assenga2002
Member
- Feb 16, 2023
- 7
- 1
Sawa. Lakini Ni muhimu Sana kupata GPA kubwa. Kwa Sababu mtaani Kuna kazi zinahitajika GPA kuanzia 3.8Elimu ya chuo haifai kusoma tuh bila kujihusisha na kutafuta kipato na kuanza kujitegemea
Nasoma procurement and logisticsMoshi Ni wilaya iliyo mkoani Kilimanjaro.
Kama ni mwanafunzi nakushauri ufungue fixed account, bana matumizi, focus kwenye masomo upate GPA isiyopungua 3.9, maliza Chuo, amua ufanyie Nini akiba yako huku ukitafuta ajira.
Unasoma kozi Gani Ndugu?
Ila kikubwa kama Kuna uwezekano wa kumiliki asset kama hyo na haito athiri masomo nadhan ni jambo la muhim kulko biashara ambayo muda mwngne inahtaji usimamizi wanguMoshi Ni wilaya iliyo mkoani Kilimanjaro.
Kama ni mwanafunzi nakushauri ufungue fixed account, bana matumizi, focus kwenye masomo upate GPA isiyopungua 3.9, maliza Chuo, amua ufanyie Nini akiba yako huku ukitafuta ajira.
Unasoma kozi Gani Ndugu?
Sawa. Lakini Ni muhimu Sana kupata GPA kubwa. Kwa Sababu mtaani Kuna kazi zinahitajika GPA kuanzia 3.8
Kweli japo tu hata cha mchanaElimu ya chuo haifai kusoma tuh bila kujihusisha na kutafuta kipato na kuanza kujitegemea