Assenga2002
Member
- Feb 16, 2023
- 7
- 1
Habarini wakuu,
Ni mwanafunzi hapa mwaka wa kwanza nmepata bum, nmefkiria kufanya biashara lakini naona haitokua na usimamizi mzuri. Hivyo nmefkiria kununua n'gombe wa kienyeji. Nahitaji tips za ufugaji wa kienyeji na gharama zake (ndama) kwa ukanda wa Moshi huku.
Ni mwanafunzi hapa mwaka wa kwanza nmepata bum, nmefkiria kufanya biashara lakini naona haitokua na usimamizi mzuri. Hivyo nmefkiria kununua n'gombe wa kienyeji. Nahitaji tips za ufugaji wa kienyeji na gharama zake (ndama) kwa ukanda wa Moshi huku.