Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,950
- 5,378
Anapatkana wapi kwa hapa bongo?Simmental the don
Huyu ng'ombe acha kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anapatkana wapi kwa hapa bongo?Simmental the don
Huyu ng'ombe acha kabisa
Huyu mzuri lakini Tanzania bado ajafika rasmi sifa yake anaweza kutumika kwa maziwa na nyama.Simmental the don
Huyu ng'ombe acha kabisa
Ndio wadau tunaumiza vichwa tununue hata sire tu jamanAnapatkana wapi kwa hapa bongo?
Siti ya mbeleSalaam wakuu[emoji1424]
Naomba ushauri juu ya ufugaji wa Ng'ombe wa maziwa kwa muongozo ufuatao; (though not limited to that)
1. Aina gani ya Ng'ombe wa maziwa inatoa maziwa mengi? Kwa maeneo ya joto joto kama pwani na Morogoro.
2. Naweza kuotesha nyasi aina gani kwa ajili ya malisho? Aina zipi zinaongeza sana maziwa. Mbinu za uoteshaji wa malisho zikoje?
3. Naomba mbinu za mpangilio mzima wa utunzaji wa malisho ghalani ili kujihakikishia malisho mwaka mzima.
4. Nipe mbinu za soko la maziwa na pia changamoto za soko.
5. Namna bora ya kuongeza tija katika management ya hawa ng'ombe (mbinu za kivita).
6. Zipi ni changamoto katika ufugaji wa ng'ombe wa maziwa?
7. Mambo gani niyazingatie kabla sijaleta ng'ombe bandani?
Mkuu nahitaj nyasi nipande...unapatikana wapKwa anayehitaji kujifunza kuhusu ufugaji wa ng'ombe wa maziwa na Malisho.
Kuna vitabu(softcopy) bei sh
5000.
Mbegu za Super napier kilo moja sh
5000.
Super napier ni nyasi zenye kiwango kikubwa cha protini, zinakua haraka, zinatoa machipukizi mengi.
Zikitunzwa vizuri zinaweza kutoa tani 180 za nyasi kwenye eneo la eka moja(kwa mwaka)ambazo zinatosha kulisha ng'ombe 15 kwa mwaka mmoja.
Mawasiliano 0756 625 286.View attachment 2586643View attachment 2586645View attachment 2586646View attachment 2586647View attachment 2586651View attachment 2586652View attachment 2586654
Karibu nipo Mlandizi-Kibaha, tuwasiliane 0756625286.Mkuu nahitaj nyasi nipande...unapatikana wap
Kwema,mkuu naomba mawasiliano Yako pm kama hutojal,,JS Dairy Farm ,
..kuna jamaa wako Karagwe wamechanganya Brahman + Fresian wanasema wametoka na mbegu nzuri.
0756625286Kwema,mkuu naomba mawasiliano Yako pm kama hutojal,,
Kiongozi naweza pata namba ya hawa watu wa KaragweJS Dairy Farm ,
..kuna jamaa wako Karagwe wamechanganya Brahman + Fresian wanasema wametoka na mbegu nzuri.
Kiongozi naweza pata namba ya hawa watu wa Karagwe
Naomba unipe hio link ulipo waona niwafatilie mkuu...nimewaona kwenye mtandao tu, sina mawasiliano yao.
Naomba unipe hio link ulipo waona niwafatilie mkuu.