Degelingi_One
Member
- Nov 17, 2018
- 72
- 121
Wakuu salaam.
Kutokana na hali ilivyo ngumu huku mtaani, kijana nimejipiga na kupambana nikakusanya kiasi cha 300k. Nataka nijitupe kwenye ujasiliamali wa ufugaji wa nguruwe. Wataalamu wa haya mambo nipeni uzoefu hasa:
1. Mabanda ya kufugia
2. Muda sahihi wa kuuza
3. Ulishaji, Mara moja au Mbili kwa siku
4. Changamoto za magonjwa
5. Soko la Nguruwe hasa mkoani Iringa
Shukrani
Kutokana na hali ilivyo ngumu huku mtaani, kijana nimejipiga na kupambana nikakusanya kiasi cha 300k. Nataka nijitupe kwenye ujasiliamali wa ufugaji wa nguruwe. Wataalamu wa haya mambo nipeni uzoefu hasa:
1. Mabanda ya kufugia
2. Muda sahihi wa kuuza
3. Ulishaji, Mara moja au Mbili kwa siku
4. Changamoto za magonjwa
5. Soko la Nguruwe hasa mkoani Iringa
Shukrani