Ufugaji wa Samaki ni Fursa ya Kuimarisha Uchumi Wako

Ufugaji wa Samaki ni Fursa ya Kuimarisha Uchumi Wako

BwanaSamaki012

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2023
Posts
212
Reaction score
250
Ufugaji wa samaki ni taaluma inayokua kwa kasi, lakini wengi hawana ujuzi wa kutosha. Kwa hivyo, watu wengi huanzisha miradi bila mwongozo sahihi, na hatimaye hupata hasara kubwa.

Ikiwa utapata mwongozo wa kitaalamu na utekelezaji sahihi, ufugaji wa samaki unaweza kuwa chanzo kizuri cha kipato na kuimarisha uchumi wako.

Ukifuga samaki kwa kuzingatia mwongozo wa mtaalamu unapungoza uwezekano wa kupata hasara, ukifuga samaki kitaalamu unapata faida zifuatazo:

1. Unafuga idadi sahihi ya samaki kulingana na eneo au kiasi cha maji ulichonacho

2. Unafuga mbegu bora za samaki wanaokuwa haraka ndani ya muda mfupi

3. Utalisha chakula bora na kwa kiwango sahihi

Faida ni nyingi sana mwisho wa yote, kujiweka kwenye mazingira ya kupata faida na kufanya mradi kuwa endelevu na wenye tija

Ni muhimu sana kuhusishaa mtaalamu mwenye uzoefu wakati wote wa uendeshaji wa mradi wako iwe ni kwa kumuajili awe sehemu ya team yako au kuchukua ushauri toka kwake mara kwa mara

Ikiwa unajiuliza wapi unaweza kupa mtaalamu wa Ufugaji wa Samaki utakae kuwanae bega kwa bega kuendeha mradi wenye faida, basi nikutoe shaka huyo mtu umempata


Mimi ni mtaalamu mwenye uzoefu wa kusimamia na kuendesha miradi ya ufugaji wa samaki kibiashara, iwe kwa kutumia mabwawa au vizimba. Pia, nina ujuzi wa kusimamia shughuli zingine za shamba kama vile kilimo, ufugaji wa kuku, ng’ombe, na nguruwe.

Huduma Ninazotoa:
1. Uzalishaji wa Mbegu Bora za Samaki, hasa samaki Sato na Kambale.

2. Kufuga samaki toka wakiwa vifaranga hadi kufikia kiwango cha kuuzwa (kwa uzito wa 250g na zaidi) kwa muda wa miezi 4-6.

3. Utengenezaji wa Chakula cha bora cha samaki

4. Kuandika Maandiko ya Miradi: Kama vile business plan na project proposals kwa ajili kwa wanaotaka kuomba mikopo, ufadhili, au kama mwongozo wa kuendeshea mradi.

5. Ushauri kuhusu Ufugaji wa Samaki:Kutoa mwongozo wa mambo yote yanayohusiana na ufugaji wa samaki.

6. Urahisishaji wa upatikanaji wa vifaa vya Ufugaji: Kusaidia kupata vifaa na rasilimali muhimu kwa ufugaji wa samaki na mengine mengi

Ikiwa unahitaji msaada au muongozo wa kuanzisha au ungependa nisimamie mradi wako wa ufugaji wa samaki, wasiliana na mimi moja kwa moja. Nipo tayari kukusaidia kwa kushirikiana na wewe kufanikisha jambo lako

Simu/WhatsApp: 075877970

Karibu sana
IMG-20240308-WA0020.jpg
 

Attachments

  • ae15e93ce956460fac96696ddf5dc125.jpg
    ae15e93ce956460fac96696ddf5dc125.jpg
    116.5 KB · Views: 1
Ufugaji wa samaki ni taaluma inayokua kwa kasi, lakini wengi hawana ujuzi wa kutosha. Kwa hivyo, watu wengi huanzisha miradi bila mwongozo sahihi, na hatimaye hupata hasara kubwa.

Ikiwa utapata mwongozo wa kitaalamu na utekelezaji sahihi, ufugaji wa samaki unaweza kuwa chanzo kizuri cha kipato na kuimarisha uchumi wako.

Ukifuga samaki kwa kuzingatia mwongozo wa mtaalamu unapungoza uwezekano wa kupata hasara, ukifuga samaki kitaalamu unapata faida zifuatazo:

1. Unafuga idadi sahihi ya samaki kulingana na eneo au kiasi cha maji ulichonacho

2. Unafuga mbegu bora za samaki wanaokuwa haraka ndani ya muda mfupi

3. Utalisha chakula bora na kwa kiwango sahihi

Faida ni nyingi sana mwisho wa yote, kujiweka kwenye mazingira ya kupata faida na kufanya mradi kuwa endelevu na wenye tija

Ni muhimu sana kuhusishaa mtaalamu mwenye uzoefu wakati wote wa uendeshaji wa mradi wako iwe ni kwa kumuajili awe sehemu ya team yako au kuchukua ushauri toka kwake mara kwa mara

Ikiwa unajiuliza wapi unaweza kupa mtaalamu wa Ufugaji wa Samaki utakae kuwanae bega kwa bega kuendeha mradi wenye faida, basi nikutoe shaka huyo mtu umempata


Mimi ni mtaalamu mwenye uzoefu wa kusimamia na kuendesha miradi ya ufugaji wa samaki kibiashara, iwe kwa kutumia mabwawa au vizimba. Pia, nina ujuzi wa kusimamia shughuli zingine za shamba kama vile kilimo, ufugaji wa kuku, ng’ombe, na nguruwe.

Huduma Ninazotoa:
1. Uzalishaji wa Mbegu Bora za Samaki, hasa samaki Sato na Kambale.

2. Kufuga samaki toka wakiwa vifaranga hadi kufikia kiwango cha kuuzwa (kwa uzito wa 250g na zaidi) kwa muda wa miezi 4-6.

3. Utengenezaji wa Chakula cha bora cha samaki

4. Kuandika Maandiko ya Miradi: Kama vile business plan na project proposals kwa ajili kwa wanaotaka kuomba mikopo, ufadhili, au kama mwongozo wa kuendeshea mradi.

5. Ushauri kuhusu Ufugaji wa Samaki:Kutoa mwongozo wa mambo yote yanayohusiana na ufugaji wa samaki.

6. Urahisishaji wa upatikanaji wa vifaa vya Ufugaji: Kusaidia kupata vifaa na rasilimali muhimu kwa ufugaji wa samaki na mengine mengi

Ikiwa unahitaji msaada au muongozo wa kuanzisha au ungependa nisimamie mradi wako wa ufugaji wa samaki, wasiliana na mimi moja kwa moja. Nipo tayari kukusaidia kwa kushirikiana na wewe kufanikisha jambo lako

Simu/WhatsApp: 075877970

Karibu sana
View attachment 3267189
Nikiwa ndiyo mara ya kwanza sijawahi kufuga kabisa na Wala Sina ABC kuhusu ufugaji na ninahitaji kufuga samaki kwa njia ya bwawa unanishauri nitege kiasi Gani Cha fedha kuanzia mwanzo Hadi unanikabidhi bwawa lenye samaki?
 
Ufugaji wa samaki ni taaluma inayokua kwa kasi, lakini wengi hawana ujuzi wa kutosha. Kwa hivyo, watu wengi huanzisha miradi bila mwongozo sahihi, na hatimaye hupata hasara kubwa.

Ikiwa utapata mwongozo wa kitaalamu na utekelezaji sahihi, ufugaji wa samaki unaweza kuwa chanzo kizuri cha kipato na kuimarisha uchumi wako.

Ukifuga samaki kwa kuzingatia mwongozo wa mtaalamu unapungoza uwezekano wa kupata hasara, ukifuga samaki kitaalamu unapata faida zifuatazo:

1. Unafuga idadi sahihi ya samaki kulingana na eneo au kiasi cha maji ulichonacho

2. Unafuga mbegu bora za samaki wanaokuwa haraka ndani ya muda mfupi

3. Utalisha chakula bora na kwa kiwango sahihi

Faida ni nyingi sana mwisho wa yote, kujiweka kwenye mazingira ya kupata faida na kufanya mradi kuwa endelevu na wenye tija

Ni muhimu sana kuhusishaa mtaalamu mwenye uzoefu wakati wote wa uendeshaji wa mradi wako iwe ni kwa kumuajili awe sehemu ya team yako au kuchukua ushauri toka kwake mara kwa mara

Ikiwa unajiuliza wapi unaweza kupa mtaalamu wa Ufugaji wa Samaki utakae kuwanae bega kwa bega kuendeha mradi wenye faida, basi nikutoe shaka huyo mtu umempata


Mimi ni mtaalamu mwenye uzoefu wa kusimamia na kuendesha miradi ya ufugaji wa samaki kibiashara, iwe kwa kutumia mabwawa au vizimba. Pia, nina ujuzi wa kusimamia shughuli zingine za shamba kama vile kilimo, ufugaji wa kuku, ng’ombe, na nguruwe.

Huduma Ninazotoa:
1. Uzalishaji wa Mbegu Bora za Samaki, hasa samaki Sato na Kambale.

2. Kufuga samaki toka wakiwa vifaranga hadi kufikia kiwango cha kuuzwa (kwa uzito wa 250g na zaidi) kwa muda wa miezi 4-6.

3. Utengenezaji wa Chakula cha bora cha samaki

4. Kuandika Maandiko ya Miradi: Kama vile business plan na project proposals kwa ajili kwa wanaotaka kuomba mikopo, ufadhili, au kama mwongozo wa kuendeshea mradi.

5. Ushauri kuhusu Ufugaji wa Samaki:Kutoa mwongozo wa mambo yote yanayohusiana na ufugaji wa samaki.

6. Urahisishaji wa upatikanaji wa vifaa vya Ufugaji: Kusaidia kupata vifaa na rasilimali muhimu kwa ufugaji wa samaki na mengine mengi

Ikiwa unahitaji msaada au muongozo wa kuanzisha au ungependa nisimamie mradi wako wa ufugaji wa samaki, wasiliana na mimi moja kwa moja. Nipo tayari kukusaidia kwa kushirikiana na wewe kufanikisha jambo lako

Simu/WhatsApp: 075877970

Karibu sana
View attachment 3267189
Na mimi pia nahitaji kujua mtu anayetaka kuanzisha mradi wa ufugaji samaki anatakiwa
1.Awe na mtaji wa kuanzia kiasi gani cha pesa kwa wastani?
2.Kwenye kuchimba bwawa anatakiwa awe na eneo kiasi gani?
3.Tufanye nimeanza kufuga vifaranga 100 je kwa siku wanakula chakula kiasi gani na gharama yake ni kiasi gani?
4.Na kwenye kuwahudumia inahitaji masaa mangapi ya uangalizi kila siku?Je mtu aliyeajiriwa akawa anatoka saa 12 asubuhi na kurudi saa 2 usiku anaweza kumudu kusimamia mradi wa samaki?
5.Je baada ya miezi hiyo 4/5 ya kufuga hao samaki na kuvuna kuna uwezekano wa kuingiza faida kiasi gani kwa samaki hao 100?
6.Soko lake lipoje na wapi pa kwenda kuwauza.
7.Ikitokea samaki wameshakomaa lakini soko likachelewa kupatikana ni nini kitatokea au ni nini kinatakiwa kifanyike?
 
Watu wafuge samaki, kwani kuna fursa nyingi kwenye mnyororo wa thamani wa sekta ya ufugaji wa Samaki na viumbe maji..
1.Fuga samaki kwa ajili ya matumizi ya nyumbani kama mboga n.k. ukubwa wa bwawa kwa matumizi ya nyumbani ni urefu 10sqm na upana 10sqm, kina upande wa juu 1m, chini 1.5m.
2.Fuga samaki kwa ajili ya biashara, hapa unaweza fanya biashara ya kuzalisha na kuuza vifaranga tu, au ukazalisha samaki kwa ajili ya kuuza sokoni, au ukafuga na kuuza samaki wa mapambo, au ukafanya ufugaji wa mamba, au ukafuga kamba, n.k.
Eneo kwa ajili ya ufugaji kibiashara bwawa lianzie ukubwa wa 500sqm, kama una uwezo mzuri wekeza kwenye vizimba(cages), au unatumia mfumo wa RAS(Recyculating Aquaculture System) n.k

Zingatia haya ukihitaji kufuga samaki
1.Maji bora
2.Chakula bora(hapa zingatia sana)
3.Mbegu bora(hapa pia zingatia, ikiwa ni monosex au mixed sex seeds/fingerlings/vifaranga vya samaki)
4.Usimamizi mzuri.

Mwisho, samaki anajiuza(siyo hiyo unayo/utakayofikiria) mwenyewe tu sokoni.

Samaki anafikia gramu 500, kwa kipindi cha miezi 6, ikiwa itifaki imezingatiwa.

Na mimi leo nimetumiapo elimu yangu, kutoa ushauri kwa umma.
 
Na mimi pia nahitaji kujua mtu anayetaka kuanzisha mradi wa ufugaji samaki anatakiwa
1.Awe na mtaji wa kuanzia kiasi gani cha pesa kwa wastani?
2.Kwenye kuchimba bwawa anatakiwa awe na eneo kiasi gani?
3.Tufanye nimeanza kufuga vifaranga 100 je kwa siku wanakula chakula kiasi gani na gharama yake ni kiasi gani?
4.Na kwenye kuwahudumia inahitaji masaa mangapi ya uangalizi kila siku?Je mtu aliyeajiriwa akawa anatoka saa 12 asubuhi na kurudi saa 2 usiku anaweza kumudu kusimamia mradi wa samaki?
5.Je baada ya miezi hiyo 4/5 ya kufuga hao samaki na kuvuna kuna uwezekano wa kuingiza faida kiasi gani kwa samaki hao 100?
6.Soko lake lipoje na wapi pa kwenda kuwauza.
7.Ikitokea samaki wameshakomaa lakini soko likachelewa kupatikana ni nini kitatokea au ni nini kinatakiwa kifanyike?
1. Ukiwa na mtaji wa kati ya milioni 2 hadi milioni 10 ni mtaji wa wastani wa kuanzisha mradi wa ufugaji samaki

2. Kujua ni eneo lenye ukubwa gani linahitajika kwenye ufugaji wa samaki itategemea na idadi ya samaki unaotaka kufuga. Kwa hesabu rahisi kwenye mita moja ya mraba wanakaa samaki 8 hadi 10, kwa mfano kama unataka kufuga samaki 500 unahitaji kuwa na eneo lenye mita za mraba 50 (50m²)

3. Samaki wanakula chakula kulingana na uzito wao, wakiwa wadogo (0g - 50g) wanakula 8% - 10% ya uzito wao, wakikua (50g - 500g) wanatakiwa kula 5% ya uzito wao, kuanzia 500g na kuendelea unawapa 3% ya uzito wao.
Hii kanuni sio rasmi ni kutokana na uzoefu wangu

4. Management, usimamizi wa mradi wa samaki hauna utofauti sana na kuku, unatakiwa ulishe samaki wako mara 3 - 4 kwa siku, unapaswa kubadilisha maji mara tu yanapochafuka na kufanya uangalizi wa karibu ili kujua mapema dalili za hatari mfano samaki kukosa hewa ya kutosha.
Kwa hiyo ratiba yako ya kutoka asubuhi na kurudi usiku ni vigumu sana kufuga samaki na kuwahudumia vizuri samaki

5. Idadi ya samaki 100 ni ndogo sana, uwezi kufanya ufugaji wa samaki kama biashara kwa kufuga samaki 100 at least uanze na samaki 1,000. Kwa wastani kwenye kila kilo moja ya samaki unayozalisha unaweza tengeneza faida ya Tsh 3,000 hadi 4,000

6. Mahitaji ya samaki ni makubwa sana ukilinganisha na uzalishaji, hivyo unaweza kuuzia hapo hapo shambani unapofugia wateja wakaja kununua hapo hapo live fish au ukapeleka soko lolote lililopo jirani.

7. Ikitokea samaki wametosha kuvunwa na umekosa wateka kwa wakati huo, unachotakiwa kufanya ni kupunguza kiasi cha chakula unachowapa kama ulikuwa unawalisha mara 3 kwa siku, punguza hadi mara 1 kwa siku ili kudhibiti matumizi ya chakula, samaki watastop kukua badala yake utamaintain tu uzito wao hadi pale utakapopata soko
 
1. Ukiwa na mtaji wa kati ya milioni 2 hadi milioni 10 ni mtaji wa wastani wa kuanzisha mradi wa ufugaji samaki

2. Kujua ni eneo lenye ukubwa gani linahitajika kwenye ufugaji wa samaki itategemea na idadi ya samaki unaotaka kufuga. Kwa hesabu rahisi kwenye mita moja ya mraba wanakaa samaki 8 hadi 10, kwa mfano kama unataka kufuga samaki 500 unahitaji kuwa na eneo lenye mita za mraba 50 (50m²)

3. Samaki wanakula chakula kulingana na uzito wao, wakiwa wadogo (0g - 50g) wanakula 8% - 10% ya uzito wao, wakikua (50g - 500g) wanatakiwa kula 5% ya uzito wao, kuanzia 500g na kuendelea unawapa 3% ya uzito wao.
Hii kanuni sio rasmi ni kutokana na uzoefu wangu

4. Management, usimamizi wa mradi wa samaki hauna utofauti sana na kuku, unatakiwa ulishe samaki wako mara 3 - 4 kwa siku, unapaswa kubadilisha maji mara tu yanapochafuka na kufanya uangalizi wa karibu ili kujua mapema dalili za hatari mfano samaki kukosa hewa ya kutosha.
Kwa hiyo ratiba yako ya kutoka asubuhi na kurudi usiku ni vigumu sana kufuga samaki na kuwahudumia vizuri samaki

5. Idadi ya samaki 100 ni ndogo sana, uwezi kufanya ufugaji wa samaki kama biashara kwa kufuga samaki 100 at least uanze na samaki 1,000. Kwa wastani kwenye kila kilo moja ya samaki unayozalisha unaweza tengeneza faida ya Tsh 3,000 hadi 4,000

6. Mahitaji ya samaki ni makubwa sana ukilinganisha na uzalishaji, hivyo unaweza kuuzia hapo hapo shambani unapofugia wateja wakaja kununua hapo hapo live fish au ukapeleka soko lolote lililopo jirani.

7. Ikitokea samaki wametosha kuvunwa na umekosa wateka kwa wakati huo, unachotakiwa kufanya ni kupunguza kiasi cha chakula unachowapa kama ulikuwa unawalisha mara 3 kwa siku, punguza hadi mara 1 kwa siku ili kudhibiti matumizi ya chakula, samaki watastop kukua badala yake utamaintain tu uzito wao hadi pale utakapopata soko
Shukrani kwa jibu zuri na limejitosheleza ila kuna vitu vingine bado nahitaji maji.
1.Kuhusu bei za vyakula vya samaki vinauzwa bei gani kwa kilo.
Maana kwa makadirio ya haraka haraka mtu anayefuga samaki 1000 kwa wastani itabidi awe analisha kwa wastani wa kilo 10 kwa siku,sasa je hicho chakula kinauzwa bei gani kwa kilogram moja?
2.Ukijaza maji kwenye bwawa unayabadilisha baada ya siku ngapi?
 
Shukrani kwa jibu zuri na limejitosheleza ila kuna vitu vingine bado nahitaji maji.
1.Kuhusu bei za vyakula vya samaki vinauzwa bei gani kwa kilo.
Maana kwa makadirio ya haraka haraka mtu anayefuga samaki 1000 kwa wastani itabidi awe analisha kwa wastani wa kilo 10 kwa siku,sasa je hicho chakula kinauzwa bei gani kwa kilogram moja?
2.Ukijaza maji kwenye bwawa unayabadilisha baada ya siku ngapi?
1. Wastani wa bei ya chakula ni Tsh 3,500. Miezi miwili ya mwanzo utatatumia chakula kidogo mfano umenunua vifaranga wakiwa na wastani wa uzito wa 1g ukilisha 8% kwa siku kila samaki atakula 0.08 sawa na samaki 80g kwa wote kwa siku.

Inaenda ikipanda kadri samaki wanavyokua, kila baada ya wiki mbili unatakiwa kufanya sampling ili kujua ukuaji wa samaki growth performance then unaongeza chakula kuligana na uzito wanaogain ili kuepuka kuover feed au kuunder feed samaki wako

2. At least kwa mwezi mara moja
 
Ufugaji wa samaki ni taaluma inayokua kwa kasi, lakini wengi hawana ujuzi wa kutosha. Kwa hivyo, watu wengi huanzisha miradi bila mwongozo sahihi, na hatimaye hupata hasara kubwa.

Ikiwa utapata mwongozo wa kitaalamu na utekelezaji sahihi, ufugaji wa samaki unaweza kuwa chanzo kizuri cha kipato na kuimarisha uchumi wako.

Ukifuga samaki kwa kuzingatia mwongozo wa mtaalamu unapungoza uwezekano wa kupata hasara, ukifuga samaki kitaalamu unapata faida zifuatazo:

1. Unafuga idadi sahihi ya samaki kulingana na eneo au kiasi cha maji ulichonacho

2. Unafuga mbegu bora za samaki wanaokuwa haraka ndani ya muda mfupi

3. Utalisha chakula bora na kwa kiwango sahihi

Faida ni nyingi sana mwisho wa yote, kujiweka kwenye mazingira ya kupata faida na kufanya mradi kuwa endelevu na wenye tija

Ni muhimu sana kuhusishaa mtaalamu mwenye uzoefu wakati wote wa uendeshaji wa mradi wako iwe ni kwa kumuajili awe sehemu ya team yako au kuchukua ushauri toka kwake mara kwa mara

Ikiwa unajiuliza wapi unaweza kupa mtaalamu wa Ufugaji wa Samaki utakae kuwanae bega kwa bega kuendeha mradi wenye faida, basi nikutoe shaka huyo mtu umempata


Mimi ni mtaalamu mwenye uzoefu wa kusimamia na kuendesha miradi ya ufugaji wa samaki kibiashara, iwe kwa kutumia mabwawa au vizimba. Pia, nina ujuzi wa kusimamia shughuli zingine za shamba kama vile kilimo, ufugaji wa kuku, ng’ombe, na nguruwe.

Huduma Ninazotoa:
1. Uzalishaji wa Mbegu Bora za Samaki, hasa samaki Sato na Kambale.

2. Kufuga samaki toka wakiwa vifaranga hadi kufikia kiwango cha kuuzwa (kwa uzito wa 250g na zaidi) kwa muda wa miezi 4-6.

3. Utengenezaji wa Chakula cha bora cha samaki

4. Kuandika Maandiko ya Miradi: Kama vile business plan na project proposals kwa ajili kwa wanaotaka kuomba mikopo, ufadhili, au kama mwongozo wa kuendeshea mradi.

5. Ushauri kuhusu Ufugaji wa Samaki:Kutoa mwongozo wa mambo yote yanayohusiana na ufugaji wa samaki.

6. Urahisishaji wa upatikanaji wa vifaa vya Ufugaji: Kusaidia kupata vifaa na rasilimali muhimu kwa ufugaji wa samaki na mengine mengi

Ikiwa unahitaji msaada au muongozo wa kuanzisha au ungependa nisimamie mradi wako wa ufugaji wa samaki, wasiliana na mimi moja kwa moja. Nipo tayari kukusaidia kwa kushirikiana na wewe kufanikisha jambo lako

Simu/WhatsApp: 075877970

Karibu sana
View attachment 3267189
Uzi mzuri sana...
 
Hiv mkuu huna group chat la wasap ili tupate madini pamoja na picha za mifano?
 
Back
Top Bottom