Nyange
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 3,517
- 1,869
Ndugu wanajamvi kumekucha salama? pole na hekaheka za maisha.
Naomba kujua naweza pata wapi elimu juu ya water recycling kwasababu nataka kuingia kwenye ufugaji wa samaki hapa Dar, kwa kutumia mitambo ya JKT ila nilikuja kugundua kuwa kwa aina ile ya ufugaji inabidi kila siku kumwaga maji taklibani pipa moja kila siku kitu ambacho naona ni gharama, ukizingatia nategemea kutumia maji ya DAWASCO.
Sasa nataka nijue wapi naweza pata training ya water recycling badala ya umwagaji maji wa tenki moja kwa siku yawe treated na kutumika tena kwenye hayo matenki ya samaki.
MSAADA TUTANI NAWASILISHA.
Naomba kujua naweza pata wapi elimu juu ya water recycling kwasababu nataka kuingia kwenye ufugaji wa samaki hapa Dar, kwa kutumia mitambo ya JKT ila nilikuja kugundua kuwa kwa aina ile ya ufugaji inabidi kila siku kumwaga maji taklibani pipa moja kila siku kitu ambacho naona ni gharama, ukizingatia nategemea kutumia maji ya DAWASCO.
Sasa nataka nijue wapi naweza pata training ya water recycling badala ya umwagaji maji wa tenki moja kwa siku yawe treated na kutumika tena kwenye hayo matenki ya samaki.
MSAADA TUTANI NAWASILISHA.