Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ni masupataa wachache sana bongo wenye uwezo wa kusema leo nataka nivae hivi na akawa navyo au leo nataka kwenda kiwanja fulani na akawa na uwezo huo au mwakahuu nataka kuendesha gari fulani na akaweza kufanya hivyo huku akauntiikiwa haiyumbi
Ndio maana wengi wanaishia kuwa na skendo za ngono kwakuwa wanahitaji kipato cha ziada ili waweze kwenda sambamba na majina yao
Kibaya zaidi umaarufu wengiwao ni wa kufikirika zaidi kuliko uhalisia, wakishaandikwa marambili tatu kwenye magazeti ya udaku tena kwa mabaya basi hujiona wao ndio wao skendo za kuazimana na kuibiana mavazi vipodozi namanukato pamoja na mapambo mengine ni za kawaida sana kwao
wengi wanapumulia Mashine kwa madeni kwenye maboutique yaliyozagaa kila kona ya mji, saluni nk
kuazimana magari ndio kabisa.
Nawaonea imani mno masupastaa wetu
Ndio maana wengi wanaishia kuwa na skendo za ngono kwakuwa wanahitaji kipato cha ziada ili waweze kwenda sambamba na majina yao
Kibaya zaidi umaarufu wengiwao ni wa kufikirika zaidi kuliko uhalisia, wakishaandikwa marambili tatu kwenye magazeti ya udaku tena kwa mabaya basi hujiona wao ndio wao skendo za kuazimana na kuibiana mavazi vipodozi namanukato pamoja na mapambo mengine ni za kawaida sana kwao
wengi wanapumulia Mashine kwa madeni kwenye maboutique yaliyozagaa kila kona ya mji, saluni nk
kuazimana magari ndio kabisa.
Nawaonea imani mno masupastaa wetu