Mlenge
R I P
- Oct 31, 2006
- 2,125
- 2,306
Baadhi ya nyumba za ibada huhusishwa na kero ya kelele kwa majirani. Huu hapa ni ufumbuzi:
1. Kila jengo la ibada lenye vipaza sauti vifunguliwe kwa manufaa ya walio ndani ya majengo tu.
2. Majengo ya ibada wanaweza kusababisha kelele wapendavyo, lakini watumie udhibiti wa kelele zisifike nje ya majengo yao.
3. Kengele na Adhana za kuita watu ibadani zisichukue zaidi ya muda fulani kama ilivyo kawaida.
4. Viongozi wa dini zote wasaini voluntarily "Code of Conduct" yenye kuahidi kuzingatia suala la udhibiti wa kelele.
5. Serikali iandae mwongozo wa kugredi nyumba za ibada kulingana na ukubwa wa kelele (decibels) zinazofika nje ya mipaka ya nyumba hizo za ibada, kwa kuzingatia "Code of Conduct" tajwa hapo juu.
Matokeo yake, ndani ya nyumba za ibada patakuwa na kelele kadiri waaminio wanavyotaka, pasi na kuleta kero kwa majirani wasiohusika.
1. Kila jengo la ibada lenye vipaza sauti vifunguliwe kwa manufaa ya walio ndani ya majengo tu.
2. Majengo ya ibada wanaweza kusababisha kelele wapendavyo, lakini watumie udhibiti wa kelele zisifike nje ya majengo yao.
3. Kengele na Adhana za kuita watu ibadani zisichukue zaidi ya muda fulani kama ilivyo kawaida.
4. Viongozi wa dini zote wasaini voluntarily "Code of Conduct" yenye kuahidi kuzingatia suala la udhibiti wa kelele.
5. Serikali iandae mwongozo wa kugredi nyumba za ibada kulingana na ukubwa wa kelele (decibels) zinazofika nje ya mipaka ya nyumba hizo za ibada, kwa kuzingatia "Code of Conduct" tajwa hapo juu.
Matokeo yake, ndani ya nyumba za ibada patakuwa na kelele kadiri waaminio wanavyotaka, pasi na kuleta kero kwa majirani wasiohusika.