Ufundi mwingi - low probability ya kumimbika

Ufundi mwingi - low probability ya kumimbika

Bramo

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2009
Posts
13,176
Reaction score
10,068
Wakuu,
Kuna jamaa yangu Mmmoja ni Medical Dr,
katika mazungumzo ya hapa na pale akanipa hii kali.
Kwa wale wanaopenda sana kutumia style za ajabu ajabu katika kula tundi wana less probability ya wenzi wao wa kike kutoshika Mimba.
Sababu:
Jamaa alienda mbali sanaaa kuwa acuse wale wenzangu tunaopenda kuunganisha la kwanza, bila kupumzika kutafuta la pili juu kwa juu au "mumo kwa mumo", alienda mbali sana kusema kuwa ukiwa "unazama unatoka" una disturbu flow ya Sperms kwenda ndani kuchavusha yai na kujikuta nyingi zinatoka na kukaukia kwenye machine (ukitoa machine inakuwa ina layer flan white), pia alinitoa hofu kwa kusema kuwa kama mie ni mmoja wao basi nihakikishe kuwa napiga na la pili likiwa lina nguvu na afya kama ya lile lwa kwanza kitu amabcho acording to yeye ki utabibu ni kama hakipo vile.
Ushauiri wake:
Abstain, mpaka kipindi kilee cha siku za hatar (Kama mnataka kumimbika), muandae fresh mwenzako mapaka awe mbendembende, then ukipiga bao la kwanza na ukimake sure that zote zimeisha kutoka, withdraw na mwambie mwenzako alale chali for atleast 20 minutes.

My take:
Jamaa amaefanikiwa kuni shawishi, ila pia nahitaj input zenu wana jamvi kuwekana sawa katika hili.

Wasalaam
 
Wakuu,
Kuna jamaa yangu Mmmoja ni Medical Dr,
katika mazungumzo ya hapa na pale akanipa hii kali.
Kwa wale wanaopenda sana kutumia style za ajabu ajabu katika kula tundi wana less probability ya wenzi wao wa kike kutoshika Mimba.
Sababu:
Jamaa alienda mbali sanaaa kuwa acuse wale wenzangu tunaopenda kuunganisha la kwanza, bila kupumzika kutafuta la pili juu kwa juu au "mumo kwa mumo", alienda mbali sana kusema kuwa ukiwa "unazama unatoka" una disturbu flow ya Sperms kwenda ndani kuchavusha yai na kujikuta nyingi zinatoka na kukaukia kwenye machine (ukitoa machine inakuwa ina layer flan white), pia alinitoa hofu kwa kusema kuwa kama mie ni mmoja wao basi nihakikishe kuwa napiga na la pili likiwa lina nguvu na afya kama ya lile lwa kwanza kitu amabcho acording to yeye ki utabibu ni kama hakipo vile.
Ushauiri wake:
Abstain, mpaka kipindi kilee cha siku za hatar (Kama mnataka kumimbika), muandae fresh mwenzako mapaka awe mbendembende, then ukipiga bao la kwanza na ukimake sure that zote zimeisha kutoka, withdraw na mwambie mwenzako alale chali for atleast 20 minutes.

My take:
Jamaa amaefanikiwa kuni shawishi, ila pia nahitaj input zenu wana jamvi kuwekana sawa katika hili.

Wasalaam
Katika vitu vya ajabu katika maisha ni mimba. Ukitaka ujue mimba ni rahisi kiasi gani kupatikana, tembea na mke wa tu, housegirl au demu ambaye huna mpango naye. Nakuhakikishia hata kama ingekuwa ya wimawima, mimba inashika hapo hapo. Lakini sasa kaa na wife wako nyumbani muanze kujipangia tunataka tuzae mwezi huu au ule. Hakika utaisikia bombani, na badala yake itapatikana siku ambayo hujapanga. Hizi story za fanya hivi au vile sidhani kama zinaapply sana. Maana kuna wengi washapewa ushauri wa aina hii na hawafanikiwa kusolve kitu.
 
usicheze na mimba wewe kuna jamaa alikuwa anapenda kupiga puli kunako jacuz ikaja tokea dada ake kapata mimba na haijulikan ilikotoka kumbe ni kaka ake kupiga puli kwake kunako jakuz hasafish vizur zimekuja muingia dada ake na kutunga mimba juu.
 
ha ha ha ha ha.

Ndo maana public toilet za kukaa ni noma, matumizi ya vyoo yamepanuka sana siku hizi.

usicheze na mimba wewe kuna jamaa alikuwa anapenda kupiga puli kunako jacuz ikaja tokea dada ake kapata mimba na haijulikan ilikotoka kumbe ni kaka ake kupiga puli kwake kunako jakuz hasafish vizur zimekuja muingia dada ake na kutunga mimba juu.
 
usicheze na mimba wewe kuna jamaa alikuwa anapenda kupiga puli kunako jacuz ikaja tokea dada ake kapata mimba na haijulikan ilikotoka kumbe ni kaka ake kupiga puli kwake kunako jakuz hasafish vizur zimekuja muingia dada ake na kutunga mimba juu.

Yale yale ya Adamu na Hawa
 
................................. then ukipiga bao la kwanza na ukimake sure that zote zimeisha kutoka, withdraw na mwambie mwenzako alale chali for atleast 20 minutes.................

Mimi huwa namfunga kamba miguu yote miwili then namning'iniza kichwa chini miguu juu for at least 30 minutes ili 'mchuzi' uyafikie faster mayai!
 
My take:
Jamaa amaefanikiwa kuni shawishi, ila pia nahitaj input zenu wana jamvi kuwekana sawa katika hili.

yategemea lengo nini....burudani au uwe dume la mbegu............pili ushauri huo ni kwa wale we3nye matatizo ya sperm count.......................na aina fulani ya utasa siyo zote..................lakini kama umekamilika hata uje na cha tatu mabao yapo palepale................
 
Mimi huwa namfunga kamba miguu yote miwili then namning'iniza kichwa chini miguu juu for at least 30 minutes ili 'mchuzi' uyafikie faster mayai!

Ndyoko kea khali hiyo ndiyo maana watoto wa uzao wako wanafanana na hiyo avatar yako............
 
usicheze na mimba wewe kuna jamaa alikuwa anapenda kupiga puli kunako jacuz ikaja tokea dada ake kapata mimba na haijulikan ilikotoka kumbe ni kaka ake kupiga puli kwake kunako jakuz hasafish vizur zimekuja muingia dada ake na kutunga mimba juu.

hii nilikwisha kuisikia lakini siiamini sana kwa sababu mbegu kuvumilia sabuni na ubaridi wa maji au joto zaidi ya joto la mwili wa mwanandamu ni vigumu mbegu kuishi..............lakini yawezekana kwa sababu kwa Mungu yote yawezekana.........
 
Katika vitu vya ajabu katika maisha ni mimba. Ukitaka ujue mimba ni rahisi kiasi gani kupatikana, tembea na mke wa tu, housegirl au demu ambaye huna mpango naye. Nakuhakikishia hata kama ingekuwa ya wimawima, mimba inashika hapo hapo. Lakini sasa kaa na wife wako nyumbani muanze kujipangia tunataka tuzae mwezi huu au ule. Hakika utaisikia bombani, na badala yake itapatikana siku ambayo hujapanga. Hizi story za fanya hivi au vile sidhani kama zinaapply sana. Maana kuna wengi washapewa ushauri wa aina hii na hawafanikiwa kusolve kitu.

ongezea na watoto wa shule ndo utajua mimba hailingi kuingia head tu mimba hiyo.
 
Back
Top Bottom