demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Kumekuwa na mategemeo makubwa sana kwa hawa ndugu zetu 'Mikia' ya kuwa wanaweza kuchukua Ubingwa.
Lakini kuna vikwazo vikuu 3 ambavyo wanapaswa wavivuke kwa namna yeyote. Kushindwa kuvivuka hivi vikwazo ndio njia pekee ya wanaJangwani kuvishwa Ubingwa kwa mara ya 3 mfululizo.
Lwandamina:
Nimejaribu kuiangalia mechi ya leo na kufanikiwa kugundua kuwa licha ya kuwa kwenye muendelezo wa Ligi, kocha anaonekana bado anatafuta kuijenga team. Anaonekana ni aina ya kocha ambaye ana filosofia ambayo anataka kuitumbukiza klabuni. Najua kadiri mechi zinavyosonga filosofia yake itakuwa katika damu za wachezaji. Hivyo kufanya kuwa vigumu zaidi kwa timu pinzani kupata ushinda hata ushindi wa sare.
Njia pekee ya kukiruka kikwazo hiki ni kuushawishi uongozi wa Yanga na Mashabiki wote kuwa Lwandamina sio kocha bali ni mfuga kuku kutoka Zambia
2. Hans van DePluijm:
Mkurugenzi huyu wa ufundi..... anakuwa mwiba mchungu sana kwa klabu ambazo zina mikakati ya ziada. Nadhani kuonekana kwake pale uwanjani akirekodi baadhi ya matukio na mapungufu kunaipa team msaada wa ziada kujua wapi wanakosea na wapi wako sawa.. na wapi pa kufanyia marekebisho.... Bila kujali mwl lwandamina ameona au haja ona.
Njia pekee ya kuvuka kikwazo hiki ni kuhakikosha HvPliujm hatazami mechi yeyote ile ya LigiKuu
Je nyinyi wenzetu mnae kama huyu?
3. Niyonzima H. H
Najua mnajiuliza kwanini huyu ameingia hapa.
Ufundi wa huyu Kijana akiwa uwanjani unafanya na unakupa sababu nzuri ya kuamini kuwa team ya Yanga SC itatwaa ubingwa msimu huu 2016/17. Kijana Niyonzima anafanya mambo ambayo bila shaka hakuna mchezaji aliyewahi kutokea hapa VPL aliwahi kuyafanya.
Uwepo wa huyu Jamaa kiwanjani ni chachu kuu ya ushindi.
Ili ufanikiwe kuharibu kikwazo hiki hakikisha si tu unamshawishi Lwandamina bali pia Hans Pliujm kwamba jamaa asicheze na nafasi yake ichukiliwe na mwingine.
Lakini kuna vikwazo vikuu 3 ambavyo wanapaswa wavivuke kwa namna yeyote. Kushindwa kuvivuka hivi vikwazo ndio njia pekee ya wanaJangwani kuvishwa Ubingwa kwa mara ya 3 mfululizo.
Lwandamina:
Nimejaribu kuiangalia mechi ya leo na kufanikiwa kugundua kuwa licha ya kuwa kwenye muendelezo wa Ligi, kocha anaonekana bado anatafuta kuijenga team. Anaonekana ni aina ya kocha ambaye ana filosofia ambayo anataka kuitumbukiza klabuni. Najua kadiri mechi zinavyosonga filosofia yake itakuwa katika damu za wachezaji. Hivyo kufanya kuwa vigumu zaidi kwa timu pinzani kupata ushinda hata ushindi wa sare.
Njia pekee ya kukiruka kikwazo hiki ni kuushawishi uongozi wa Yanga na Mashabiki wote kuwa Lwandamina sio kocha bali ni mfuga kuku kutoka Zambia
2. Hans van DePluijm:
Mkurugenzi huyu wa ufundi..... anakuwa mwiba mchungu sana kwa klabu ambazo zina mikakati ya ziada. Nadhani kuonekana kwake pale uwanjani akirekodi baadhi ya matukio na mapungufu kunaipa team msaada wa ziada kujua wapi wanakosea na wapi wako sawa.. na wapi pa kufanyia marekebisho.... Bila kujali mwl lwandamina ameona au haja ona.
Njia pekee ya kuvuka kikwazo hiki ni kuhakikosha HvPliujm hatazami mechi yeyote ile ya LigiKuu
Je nyinyi wenzetu mnae kama huyu?
3. Niyonzima H. H
Najua mnajiuliza kwanini huyu ameingia hapa.
Ufundi wa huyu Kijana akiwa uwanjani unafanya na unakupa sababu nzuri ya kuamini kuwa team ya Yanga SC itatwaa ubingwa msimu huu 2016/17. Kijana Niyonzima anafanya mambo ambayo bila shaka hakuna mchezaji aliyewahi kutokea hapa VPL aliwahi kuyafanya.
Uwepo wa huyu Jamaa kiwanjani ni chachu kuu ya ushindi.
Ili ufanikiwe kuharibu kikwazo hiki hakikisha si tu unamshawishi Lwandamina bali pia Hans Pliujm kwamba jamaa asicheze na nafasi yake ichukiliwe na mwingine.