Ufundishaji wa forex na siri iliyojificha.

Nmepoteza muda wangu kusoma huu uzi....
 
Hahahahahahahahhahahahahahahahahahahah

Unatrade demo unakuja kufungua uzi hapa

Unamjua 4xlg huyu anapiga mpka pips 10,000/week lakini analoose,

Nenda instagram mche forex queen loss zake utakimbia leo unadonoa donoa unakuja na uz
Wewe dada kwa Majungu
 
Shetani yuko kazini, QNET is best
 
daaahh interesting
ila mbona mliwaacha vijana wengi mnoo waweze kuingia kwenye mikono ambayo sisalama
wakati kuna mambo ambayo yapo wazi Hivi nawala haya hitaji laki200000 kuweza kuyajua
 
Watu mnakaa huku kumpinga ontario ili nanyi muanzishe course zenu!! Dah wabongo bwana. Kama kunakasoro kwa Ontario nyie mwambieni ajue na sio kumfokea
 
Watu wanapoingia chaka ni hapo pa kujifanya wanataka kuwa maconcord wa naked fx trading! Ukweli ni kwamba hizo screenshot wanazoshare zikiwa naked sio kweli ila wanaweka indicators kwenye pc (tena custom indicators) then wanaexecute trades halafu then same account wanafungua kwenye mt4 ya simu ambayo haioneshi indicators halafu wanarusha kudanganya watu. Forex bila indicators tena custom indicators huwezi kuwa successful mark my words!
Wapo ambao wameenda mbali zaidi wanatia Expert Advisors aka marobot na kuna mijitu inadhani wanatrade naked! Ukitaka kuamini wambie wawe wana share screenshot za PC sio simu.
 
Wewe unataka ufundishwe indicator wakati mtu kakwambia anakufundisha price action na harmonic scanner. Au hujui atakufundisha nn. Sasa ukitembea na price action na harmonic scanner unataka ujaze kitu gani zaidi ktk screen?
 
Watu mnakaa huku kumpinga ontario ili nanyi muanzishe course zenu!! Dah wabongo bwana. Kama kunakasoro kwa Ontario nyie mwambieni ajue na sio kumfokea
Hahahaaaa!! Nae huwa anafokea watu, hivyo wanazungumza lugha yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…