Ufundishaji wa forex na siri iliyojificha.

Ufundishaji wa forex na siri iliyojificha.

Kaaazi kwelikweli, wewe ni beginner lkn unajifanya mtaalamu wa training za forex, maajabu kwelikweli haya

Embu rudi kawaulize hao rafiki zako kwanini hawakufundishwa kutumia indicators. Pia Google uelewe maana ya naked forex Au price action na tofauti kati ya naked forex/price action na trading with indicators.
Nmepoteza muda wangu kusoma huu uzi....
 
Hahahahahahahahhahahahahahahahahahahah

Unatrade demo unakuja kufungua uzi hapa

Unamjua 4xlg huyu anapiga mpka pips 10,000/week lakini analoose,

Nenda instagram mche forex queen loss zake utakimbia leo unadonoa donoa unakuja na uz
Wewe dada kwa Majungu
 
Shetani yuko kazini, QNET is best
 
Mkuu Ladder 49 kama unataka kuongeza ujuzi zaidi pitia hii link Learn Forex Trading at School of Pipsology - BabyPips.com
Hapo ni bure kabisa na jamaa wana materials balaa, tena wanafundisha vizuri sana, hakuna kitu wameficha kuhusu forex. Wanakufundisha mpaka namna ya kuwajua brokers fake.
Mimi pia nimejifunza Forex sana na bado naendelea kuisoma zaidi na zaidi. Sitaki papara ya kuanza ku-trade na real money.
daaahh interesting
ila mbona mliwaacha vijana wengi mnoo waweze kuingia kwenye mikono ambayo sisalama
wakati kuna mambo ambayo yapo wazi Hivi nawala haya hitaji laki200000 kuweza kuyajua
 
Watu mnakaa huku kumpinga ontario ili nanyi muanzishe course zenu!! Dah wabongo bwana. Kama kunakasoro kwa Ontario nyie mwambieni ajue na sio kumfokea
 
Kaaazi kwelikweli, wewe ni beginner lkn unajifanya mtaalamu wa training za forex, maajabu kwelikweli haya

Embu rudi kawaulize hao rafiki zako kwanini hawakufundishwa kutumia indicators. Pia Google uelewe maana ya naked forex Au price action na tofauti kati ya naked forex/price action na trading with indicators.
Watu wanapoingia chaka ni hapo pa kujifanya wanataka kuwa maconcord wa naked fx trading! Ukweli ni kwamba hizo screenshot wanazoshare zikiwa naked sio kweli ila wanaweka indicators kwenye pc (tena custom indicators) then wanaexecute trades halafu then same account wanafungua kwenye mt4 ya simu ambayo haioneshi indicators halafu wanarusha kudanganya watu. Forex bila indicators tena custom indicators huwezi kuwa successful mark my words!
Wapo ambao wameenda mbali zaidi wanatia Expert Advisors aka marobot na kuna mijitu inadhani wanatrade naked! Ukitaka kuamini wambie wawe wana share screenshot za PC sio simu.
 
Wewe unataka ufundishwe indicator wakati mtu kakwambia anakufundisha price action na harmonic scanner. Au hujui atakufundisha nn. Sasa ukitembea na price action na harmonic scanner unataka ujaze kitu gani zaidi ktk screen?
 
ca759830e14df25e44301ac4a76b2836.jpg
 
Watu mnakaa huku kumpinga ontario ili nanyi muanzishe course zenu!! Dah wabongo bwana. Kama kunakasoro kwa Ontario nyie mwambieni ajue na sio kumfokea
Hahahaaaa!! Nae huwa anafokea watu, hivyo wanazungumza lugha yake.
 
Back
Top Bottom