Ufundishaji wa forex na siri iliyojificha.

Ufundishaji wa forex na siri iliyojificha.

mbona ni vitoto sana katika hizi buznes
 
Ivi hao walimu kwanini wanahangaika kufundisha au kutoza watu ada, kama fx ni utajiri!?
 
Wakuu habari zenu?

Niingie moja kwa moja kwenye mada.

Baada ya kusoma habari ya forex humu jamii forum nilitamani sana niijue hiyo biashara .

Baada ya muda nikaona post humu ikiwa inaelezea kuna watu watakuwa wanafundisha hiyo biashara hapa TZ. Lakini hapo hapo mtoa mada akawa anasema watu wa mikoani mpaka wafike watu 100 ndio jamaa waje kuwa findisha ,wajikusanye kwenye makundi ya whatsapp. Kama hawajafika 100 awezikuja kufundisha.

Baada ya kuona hayo nikaona isiwe tabu sana nikaamua kuingia YouTube Na kwenye google na kujisomea mwenyewe nilianza mdogo mdogo.

Nikipata nafasi ofisini au home nakuwa nasoma na kutazama video

Taratibu nikaona naanza kupata picha forex nibiashara gani.
kuna siku nikampigia simu rafiki yangu ambaye tuliosoma wote nikamuuliza hivi unajua biashara ya forex ,akanijibu umeijulia wapi nikamwambianiliijulia jamii forum ,halafu nikaisoma mwenyewe tu. Baada ya maongezi ya forex akaniaidi kunitumia kitabu cha forex na akaniambia nikimaliza hicho nitakuwa vizuri.
Yeye ilikuwa imepita kama wiki mbili tu ndio ametoka kufundishwa.

Kwa huo muda mfupi tulioongea aliona uwezo wangu
Alitimiza ahadi ya kunitumia hicho kitabu.
Kusema ukweli hicho kitabu nilisoma chapter moja tu ,nikaona mbona vyote na vijua tu kama marudio tu ,nikajaribu kuangalia chapter za mbele nikaona vyote na vijua
Nikaamua kuachana nacho ,hicho kitabu walipewa huko walipofundishwa.

Kuna siku nikamcheck rafiki yangu mwingine tukapiga story mbili tatu nikaingizia mada ya forex ,akaniambia nisiangaike kusoma akaniambia wewe ukipata nafasi njoo mjini nikufundishe ni masaa 3&4 tu unaitaji utakuwa unajua,akaongezea wewe usijisumbue kusoma .

Baada ya miezi kupita nilipata nafasi weekend moja nikaenda dar ,jamaa akanifundishe ,nilionana na jamaa akanifundisha Baada ya masaa matatu na nusu tukawa tumemaliza .

Kwa kweli sijaona jipya zaidi ya broker aliyenipa na app ya kuangalia news.

Alinifungulia account ya demo nikawa na trade ,ingawa kabla ya hapo nilikuwa nimeshawahi kutrade na demo.

Labda ni Vitu gani hivyo nilivyokuwa nimejifunza mpaka kila mtu akinifundisha nione marudio?
hivi hapa.
Kwenye kujisomea kwangu nilibahatika kuzipata video ambazo zenye title hizo hapo chini

1.forex foundation.

2.forex trading market structure

3.forex trading fundamentals .

4.Technical strategies forex trading.

5.risk management forex trading.


Kuna website nilipata pia ilikuwa na majina ya brokers wengi sana niliweza kuchagua na kufungua demo account na kupata platform na kutrade demo.


Niliangalia video nyingi ila hizo zilikuwa the best.maana zilinipa mwanga wa forex vizuri sana.jamaa anaongea taratibu hana papara.


Baada ya muda tena nilienda dar kwa ishu zangu safari hii nilikuwa na muda sana .muda mwingi nikawa na hao rafiki zangu muda mwingi wanakuwa wanafanya hivyo biashara nilichokiona ndio kikanifanya niandike hii mada.


Hao Wote marafiki zangu hawajui kutrade vizuri,
Wote wameshaunguza account zaidi ya mara mbili.

Nikataka sana nijuie kwanini walichoma account kila mtu nilimuuliza kwa muda wake bila wao kujijua mwingine aliniambia yeye alikuwa anatrade bila kuweka stop loss.

Mmoja nilimuuliza hivi imekuwaje umeunguza account akaniambia yule jamaa aliyewafundisha aliwaambia waingie kumbe sio(jamaa aliwaingiza chaka) alilaza trade kusubiria itapanda maana mwalimu kasema ,asubuhi anaamka hakuna kitu.

Kitu nilichokiona kutoka kwao nikwamba wako kwenye magroup ya whatsapp huyo walimu wao anakuwa anawatumia waingie kwenye point gani na wao wanafanya hivyo ndio maisha yanaenda .

Nilijiuliza hivi inakuwaje ulilipa hela 150000/- siku tano zote ufundishwe forex halafu mwisho wa siku bado mwalimu anawaweka kwenye magroup nakuwa tumia point uingie muda gani na kutoka na wakati huyo jamaa alikuwa tayari ameshawafundisha na demo tayari umetrade sana .nilijiuliza sana

Nimegundua course content wanazotumia ni uzushi mtupu. Wengi waliofundishwa hawawezi kuanalyse data na kufanya trade .walimu wanakwepa kufundisha indicator vizuri, ambacho ni kitu cha muhimu sana .sasa bila hivyo wata trade vipi?

Hawafundi indicator wao wanazotumia kuanalyse data nakujua muda gani aingie na kutoka kwenye trade .hiyo chini hapo ni picha ya moja ya course content ya walimu wa forex bongo na nje ya bongo nimeitoa instagram kutolea mfano tu

6a625f5da5e116a52424da72a61ac5ce.jpg


Hii picha ya chini ni moja wa walimu wa forex South Africa huko najaribu kulinganisha course content

1b482daee82f437de133edc36072005e.jpg


Kwa course content hizo za bongo nikupotezeana muda tu , wewe kikubwa unatakiwa ujue uingie muda gani na utoke muda gani kwenye trade,wao wanakufundisha vitu ambavyo avitakusaidia vinakuwa vingi sana pasipo kujua mahitaji ya unaemfundisha .

Tunafundishwa hiyo forex ilituje na sisi kupiga hela kwenye kutrade na sio kwenda kufundisha watu wengine basi.

kila siku tutaishia kuunguza account na kulaumu jamaa wezi ,Haita tusaidia .

Ona training za wenzetu short and clear .sisi huku maelezo mengi kuongopeana tu na kuonesha ujuaji nakutaka kuabudiwa kama miungu watu.

Syllabus ya forex aijulikani kila mtu anajipangia tu ilimradi apige pesa zenu tu, kwa sababu tu hatujui forex.


Nawasilisha
Unaanza nishawishi nipige shule ya hii kitu...Pesa tamu Jamani !!
 
daaahh interesting
ila mbona mliwaacha vijana wengi mnoo waweze kuingia kwenye mikono ambayo sisalama
wakati kuna mambo ambayo yapo wazi Hivi nawala haya hitaji laki200000 kuweza kuyajua
Mkuu ukiona mwenzako anaanzisha biashara yake hutakiwi kumuharibia. Lakini sasa hivi baada ya kuona kuna malalamiko mengi basi nimeona niwashtue wale ambao watapenda kujisomea wenyewe.

Tatizo lingine mkuu vijana wengi wa Kitanzania hawana utulivu, mtu anajifunza forex leo, kesho yake anataka aanze kupiga hela kitu ambacho ni kigumu sana. Kiukweli forex ina mambo mengi sana ya kujua. Mimi sijui TMT wanafundishaje, lakini forex siyo lelemama hata kidogo.

Mimi naamini ukitaka kuwa profitable na hii biashara, basi ni lazima itakuchukua muda mrefu sana kuielewa na kui-master vizuri. Siyo chini ya miaka 2 au mwaka na nusu hivi. Hata wale wazoefu wenyewe huko Ulaya na Marekani, pia wakati mwingine huwa wanapata hasara kubwa sana tu. Hii biashara siyo ya kwenda nayo kichwa kichwa, ingawa unaweza ukapiga hela ndefu sana lakini siyo mara zote.
 
KUNAKIPINDI NILITOA UZI HUMU JAMII JUU YAHAWA MA MENTOR NIKATUKANWA SANA nikaitwa HATER ila ukweli mmejionea!!!!!!!!!

Kwa kweli Katika hawa walimu nimekaa kutafuta Hata mmoja wao Apa Tanzania anejua kutrade haswa hawa maarufu nikaona hakuna hata mmoja wao....

Ila kuna kijana anajiita moki.jr instagram anafanya copytrading na kufunisha aiseee ni MOTO kama unataka kujifunza mtatafute nimejaribu week hii yupo vizuri sana i do recommend Them...... oneni FAIDA nilioipata kwa week hii
FIA.jpg
 
Watu wanapoingia chaka ni hapo pa kujifanya wanataka kuwa maconcord wa naked fx trading! Ukweli ni kwamba hizo screenshot wanazoshare zikiwa naked sio kweli ila wanaweka indicators kwenye pc (tena custom indicators) then wanaexecute trades halafu then same account wanafungua kwenye mt4 ya simu ambayo haioneshi indicators halafu wanarusha kudanganya watu. Forex bila indicators tena custom indicators huwezi kuwa successful mark my words!
Wapo ambao wameenda mbali zaidi wanatia Expert Advisors aka marobot na kuna mijitu inadhani wanatrade naked! Ukitaka kuamini wambie wawe wana share screenshot za PC sio simu.
Bro huu ni mtazamo wako mi ni mmoja ambao natrade kwa kutumia price action msaada wangu ni S and R;
trendlines + candlestick pattern+chart patterns na Fibonacci na nimeshatumia indicators kama ma(sma+EMA) Bollinger bands paraboric sar macd na adx aiseeh sikuwa comfortable na nilikuwa naambulia loss hizi indicator mi siwezi tumia
 
Wakuu habari zenu?

Niingie moja kwa moja kwenye mada.

Baada ya kusoma habari ya forex humu jamii forum nilitamani sana niijue hiyo biashara .

Baada ya muda nikaona post humu ikiwa inaelezea kuna watu watakuwa wanafundisha hiyo biashara hapa TZ. Lakini hapo hapo mtoa mada akawa anasema watu wa mikoani mpaka wafike watu 100 ndio jamaa waje kuwa findisha ,wajikusanye kwenye makundi ya whatsapp. Kama hawajafika 100 awezikuja kufundisha.

Baada ya kuona hayo nikaona isiwe tabu sana nikaamua kuingia YouTube Na kwenye google na kujisomea mwenyewe nilianza mdogo mdogo.

Nikipata nafasi ofisini au home nakuwa nasoma na kutazama video

Taratibu nikaona naanza kupata picha forex nibiashara gani.
kuna siku nikampigia simu rafiki yangu ambaye tuliosoma wote nikamuuliza hivi unajua biashara ya forex ,akanijibu umeijulia wapi nikamwambianiliijulia jamii forum ,halafu nikaisoma mwenyewe tu. Baada ya maongezi ya forex akaniaidi kunitumia kitabu cha forex na akaniambia nikimaliza hicho nitakuwa vizuri.
Yeye ilikuwa imepita kama wiki mbili tu ndio ametoka kufundishwa.

Kwa huo muda mfupi tulioongea aliona uwezo wangu
Alitimiza ahadi ya kunitumia hicho kitabu.
Kusema ukweli hicho kitabu nilisoma chapter moja tu ,nikaona mbona vyote na vijua tu kama marudio tu ,nikajaribu kuangalia chapter za mbele nikaona vyote na vijua
Nikaamua kuachana nacho ,hicho kitabu walipewa huko walipofundishwa.

Kuna siku nikamcheck rafiki yangu mwingine tukapiga story mbili tatu nikaingizia mada ya forex ,akaniambia nisiangaike kusoma akaniambia wewe ukipata nafasi njoo mjini nikufundishe ni masaa 3&4 tu unaitaji utakuwa unajua,akaongezea wewe usijisumbue kusoma .

Baada ya miezi kupita nilipata nafasi weekend moja nikaenda dar ,jamaa akanifundishe ,nilionana na jamaa akanifundisha Baada ya masaa matatu na nusu tukawa tumemaliza .

Kwa kweli sijaona jipya zaidi ya broker aliyenipa na app ya kuangalia news.

Alinifungulia account ya demo nikawa na trade ,ingawa kabla ya hapo nilikuwa nimeshawahi kutrade na demo.

Labda ni Vitu gani hivyo nilivyokuwa nimejifunza mpaka kila mtu akinifundisha nione marudio?
hivi hapa.
Kwenye kujisomea kwangu nilibahatika kuzipata video ambazo zenye title hizo hapo chini

1.forex foundation.

2.forex trading market structure

3.forex trading fundamentals .

4.Technical strategies forex trading.

5.risk management forex trading.


Kuna website nilipata pia ilikuwa na majina ya brokers wengi sana niliweza kuchagua na kufungua demo account na kupata platform na kutrade demo.


Niliangalia video nyingi ila hizo zilikuwa the best.maana zilinipa mwanga wa forex vizuri sana.jamaa anaongea taratibu hana papara.


Baada ya muda tena nilienda dar kwa ishu zangu safari hii nilikuwa na muda sana .muda mwingi nikawa na hao rafiki zangu muda mwingi wanakuwa wanafanya hivyo biashara nilichokiona ndio kikanifanya niandike hii mada.


Hao Wote marafiki zangu hawajui kutrade vizuri,
Wote wameshaunguza account zaidi ya mara mbili.

Nikataka sana nijuie kwanini walichoma account kila mtu nilimuuliza kwa muda wake bila wao kujijua mwingine aliniambia yeye alikuwa anatrade bila kuweka stop loss.

Mmoja nilimuuliza hivi imekuwaje umeunguza account akaniambia yule jamaa aliyewafundisha aliwaambia waingie kumbe sio(jamaa aliwaingiza chaka) alilaza trade kusubiria itapanda maana mwalimu kasema ,asubuhi anaamka hakuna kitu.

Kitu nilichokiona kutoka kwao nikwamba wako kwenye magroup ya whatsapp huyo walimu wao anakuwa anawatumia waingie kwenye point gani na wao wanafanya hivyo ndio maisha yanaenda .

Nilijiuliza hivi inakuwaje ulilipa hela 150000/- siku tano zote ufundishwe forex halafu mwisho wa siku bado mwalimu anawaweka kwenye magroup nakuwa tumia point uingie muda gani na kutoka na wakati huyo jamaa alikuwa tayari ameshawafundisha na demo tayari umetrade sana .nilijiuliza sana

Nimegundua course content wanazotumia ni uzushi mtupu. Wengi waliofundishwa hawawezi kuanalyse data na kufanya trade .walimu wanakwepa kufundisha vitu muhimu vizuri,sasa bila hivyo wata trade vipi?

Hawafundishi vizuri vitu ambavyo wao wanazotumia kuanalyse data nakujua muda gani aingie na kutoka kwenye trade .hiyo chini hapo ni picha ya moja ya course content ya walimu wa forex bongo na nje ya bongo nimeitoa instagram kutolea mfano tu

6a625f5da5e116a52424da72a61ac5ce.jpg


Hii picha ya chini ni moja wa walimu wa forex South Africa huko najaribu kulinganisha course content

1b482daee82f437de133edc36072005e.jpg


Kwa course content hizo za bongo nikupotezeana muda tu , wewe kikubwa unatakiwa ujue uingie muda gani na utoke muda gani kwenye trade,wao wanakufundisha vitu ambavyo avitakusaidia vinakuwa vingi sana pasipo kujua mahitaji ya unaemfundisha .

Tunafundishwa hiyo forex ilituje na sisi kupiga hela kwenye kutrade na sio kwenda kufundisha watu wengine basi.

kila siku tutaishia kuunguza account na kulaumu jamaa wezi ,Haita tusaidia .

Ona training za wenzetu short and clear .sisi huku maelezo mengi kuongopeana tu na kuonesha ujuaji nakutaka kuabudiwa kama miungu watu.

Syllabus ya forex aijulikani kila mtu anajipangia tu ilimradi apige pesa zenu tu, kwa sababu tu hatujui forex.


Nawasilisha
free forex signals PIPSKINGDOM
 
Kwa wale Trader ambao wangependa kumtumia broker Templerfx.

Broker huyu anakuwezesha kuweka PESA na kutoa kwa njia ya M-PESA.

Kujisajili ni rahisi sana kwa kutumia kitambulisho chako cha kupigia kura,kitambulisho cha Taifa, Leseni ya Udereva au kitambulisho chochote kinachotambulika na mamlaka husika, namba yako ya simu utakayotumia kuweka na kutoa pesa kwa broker pamoja na E-mail.

Ni broker pekee ambae anayekuwezesha kuweka kiasi kidogo kuanzia dollar ($) 1 kwenye akaunti yako ,pia vilevile ana huduma ya haraka sana wakati wa kutoa pesa yako, dakika 15-30 tiyari pesa inakuwa imeshatumwa kwenye account yako.

BAADA YA KUJISAJILI

Ndani ya saa 72 au chini ya hapo unakuwa na akaunti yako tiyari na kuanza kuitumia.

JISAJILI SASA
Wasiliana na mimi PM kwa msaada zaidi BURE.

Templer https://secure.templerfx.com/main?rid=107946
 
Ukiitwa kwenye Fursa jua wewe ndio fursa ....
 
Back
Top Bottom