Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio umasikini mkubwa zaidi, wenzetu wanataka maarifa, sisi tunataka pesa.Waafrika wanataka mali tu.
Kuna nyuzi nyingi humu zimeeleza Mandela alifia gerezani.Hivi ni kweli kuwa Mandela alifia jela ? Ni kweli kuwa Mandela aliyetoka jela alichongwa au alitengenezwa,
Asante, japo kwa kuona tu yawezekana alifia gerezani kweli na ndo kisa tu alipotoka kifungoni akampa talaka Winni, kwamba kama mke ingekuwa rahisi sana kutambua utofauti.Kuna nyuzi nyingi humu zimeeleza Mandela alifia gerezani.
Tuangalie hii kiundani huenda ikawa kweli au si kweli kuhusu Nelson Mandela
Kuna Habari kama Sio stori inasomeka kama ifuatavyo Huyu Mandela aliyeiongoza South Africa alikuwa Feki alitengenezwa na Makaburu, Makaburu walimuua Mandela halisi halafu Wakamtengeza wa kwao ili awe Kibaraka wao hapo SA Watu wanauliza Kwamba iweje Mandela aliyefungwa miaka 27 Jela halafu...www.jamiiforums.com
Zingine zikieleza Mandela aliletwa copy
Mandela wa South Africa alikua feki?Na halisi alifariki 1985?
Nimeiona pahali hii habari Mimi siongezi wala kupunguza neno mimi nimeleta tu.... [emoji419]#FAHAMU :Huyu Mandela aliyeiongoza South Africa alikuwa Feki alitengenezwa na Makaburu, Makaburu walimuua Mandela halisi halafu Wakamtengeza wa kwao ili awe Kibaraka wao hapo SA Watu wanauliza...www.jamiiforums.com
Hapo ukweli hujafahamika zaidi.
Huenda ni kweli maana kwa mtu aliye kua akiishi nae kwa ukaribu endapo akija tena kwake kwa ufeki lazima agundulike mapema.Asante, japo kwa kuona tu yawezekana alifia gerezani kweli na ndo kisa tu alipotoka kifungoni akampa talaka Winni, kwamba kama mke ingekuwa rahisi sana kutambua utofauti.
Nitajaribu kupitia hizo nyuzi hapo juu.
But anyways hatujui.
Daaaah... long time.... Mitaa yangu ilikuwa MITCHELL's Plain, CTMkuu ukija SA unaweza kumshawishi mmoja ukapanda nae Ulaya hawezi kukataa kama ukiwaambia tu twende Tanzania wanashukuru kweli ni vile hawana taarifa za Nje ila wakipata mtu wa kumueleza wanakubali tuu..Ukishuka CapeTown hapo water front wamejaa wakhosa na ni wazuri kuliko Wazulu namba nane ya ukweli sio ya kupaka rangi..