Ufunguo wa seli ya Nelson Mandela katika gereza la kisiwa cha Robben warejeshwa Afrika Kusini-Waziri

Safi sana, tunamatumaini pia ipo siku funguo ya Jela alikowekwa Mbowe itatumzwa kama kumbukumbu kwa kizazi kijacho.
Ngoja tusubiri baada ya miaka 50 ijayo itapigwa mnada basi tumuombee afungwe ili funguo ije kupigwa mnada.
 
Hivi ni kweli kuwa Mandela alifia jela ? Ni kweli kuwa Mandela aliyetoka jela alichongwa au alitengenezwa,
 
Hivi ni kweli kuwa Mandela alifia jela ? Ni kweli kuwa Mandela aliyetoka jela alichongwa au alitengenezwa,
Kuna nyuzi nyingi humu zimeeleza Mandela alifia gerezani.


Zingine zikieleza Mandela aliletwa copy


Hapo ukweli hujafahamika zaidi.
 
Asante, japo kwa kuona tu yawezekana alifia gerezani kweli na ndo kisa tu alipotoka kifungoni akampa talaka Winni, kwamba kama mke ingekuwa rahisi sana kutambua utofauti.

Nitajaribu kupitia hizo nyuzi hapo juu.

But anyways hatujui.
 
Asante, japo kwa kuona tu yawezekana alifia gerezani kweli na ndo kisa tu alipotoka kifungoni akampa talaka Winni, kwamba kama mke ingekuwa rahisi sana kutambua utofauti.

Nitajaribu kupitia hizo nyuzi hapo juu.

But anyways hatujui.
Huenda ni kweli maana kwa mtu aliye kua akiishi nae kwa ukaribu endapo akija tena kwake kwa ufeki lazima agundulike mapema.
 
Daaaah... long time.... Mitaa yangu ilikuwa MITCHELL's Plain, CT
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…