Ufunguzi Kombe la Dunia TBC wako mubashara ni Katika kutekeleza Ilani ya CCM

Unatumia king'amuzi gani?

Niwaangalia mida flani ni HD, yaan utadhani unaangalia super sport HD.

Katika hili TBC mnastahili pongezi

Duuu huo uchafu hadi picha inavibrate ndio HD, au hujui maana ya HD nini?
 
Duuu huo uchafu hadi picha inavibrate ndio HD, au hujui maana ya HD nini?
Toka nianze kuangalia, mpaka sasa sijaona picha ikivibrate, badili king'amuzi, mimi nimeamua kutumia AZAM TV, burudani kwa wote, niangalie burudani ya nyumbani
 
Ni kweli ni utekelezaji wa ilani ya CCM, maana mambo mengi ya CCM ni ya kiwango cha chini. Kwa jinsi mechi inanavyoonekana vibaya ni aibu hata kutazama huo uchafu.
Muhimu matokeo
 
Huku DStv Nina channel kama 4 za nchi tofauti naangalia ukiacha super sport kuna TV Rwanda, KBC na TV Uganda... poleni sana na azam yenu
 
TBC,wajitahidi Sana kwenye muonekano wa Picha zao!!
 
Yohana Tafadhali acha nyuzi za kijuha

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Acha kulalama hujui maana ya copyright

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
 
Acha kulalama hujui maana ya copyright

Sent from my LM-Q730 using JamiiForums mobile app
Sihitaji maana ya copyright, Azam waliniuzia kifurushi nami nikakilipia kulingana na vigezo vyao, kwa ujinga wako unadhani mimi niliziingiza hizo chaneli kwenye kifurushi! Watu wa aina yako wasiojua haki zao ni watu duni sana na ndio walioifanya nchi iwe hapa ilipo isiyo na muelekeo.
Kwa taarifa yako mjinga wewe wakati ninalipia sikuwekewa sharti la kutokupata idadi ya chaneli zote ninazozilipia.
 
[emoji28][emoji23]unatafuta tuu kukera watu humu.
 
Unatumia king'amuzi gani?

Niwaangalia mida flani ni HD, yaan utadhani unaangalia super sport HD.

Katika hili TBC mnastahili pongezi
Naomba kueleweshwa,kama ni HD mbona kwa Dstv haionyeshi kama TBC sasa hivi ni HD kama channels zingine za HD?
 
Duuu huo uchafu hadi picha inavibrate ndio HD, au hujui maana ya HD nini?
Imebidi nirudie kuangalia hapa Dstv nijiridhishe kama kwa sasa TBC ni HD lakini sioni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…