Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Bila ya mfarakano na talaka kwa Lilith wanaume tungekuwa tunabeba mimba
 
KAMA MUNGU ALIMUUMBA ADAM,BASI KUNA UWEZEKANO NAE MUNGU ALIUMBWA JE ALIUMBWA NA NANI?
 
Iz hadithi za kulazia watoto wa wazungu usingizini...TUWATAFUTE WANAOTUCHEZEA AKILI.
 
Licha ya bibilia kutosomwa kama gazeti ni mkitabu Fulani wa uongouongo sana.
 
Unauhakika upi kama haisemi Uongo au haijaacha kitu kwa sababu bibilia imeandikwa na watu
 
Yehovah ni neno LA kiebrania lenye maana mungu kwa kiswahili
 
Mkuu vipi ile bibilia ya Barnaba
 
Kuna jamaa alitoa historia Fulani ya chanzo cha binadamu mkabeza cmkumbuki ila ntamfuta yule ana nondo haswa hivi vingine ni hadithi tu za kusemekana.
Asante kwa kushiriki na kuchangia mjadala
 
Dah pole sana lakini huo ndio uhalisia tunda la mti wa kati ni ngono...! Full stop! Tunajaribu tu kuvunga lakini hata via vya uzazi viko katikati ya mwili kiuhalisia
 
Nilikuwa nina mwananamke anaitwa LILY,nilimpenda sana lakini alichokuja kunifanyia,mungu ndio anajua,naunga mkono hoja ya Mshana Jr kuwa huyo lilith ndio ibilisi shetani aliyefitinisha ndoa ya adam na eve....
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…