Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Mwanamke wa pili kuumbwa ilitokana na Adamu kupewa usingizi mzito kisha mungu akatwaa ubavu wa Adam
Inamaana hapa uumbaji wa pili Adam alikuepo tayari
Hichi Kisa nimekiandika mwanzo mpk mwisho kutokana na msaada wa mshana jr
Swali langu nahisi halijaeleweka vizuri,Hiyo mistari naielewa mkuu,kama ni adam...then Adam aliumbwa mara mbili??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ndio kwanza huyo lilith namskia kwako leo

thanks to god the almighty
 
Swali langu nahisi halijaeleweka vizuri,Hiyo mistari naielewa mkuu,kama ni adam...then Adam aliumbwa mara mbili??
Mkuu aya hiyo ya pili ambayo mwandishi anazungumzia haizungumzii kuumbwa tena kwa adamu(mwanaume) bali unazungumzia kuumbwa kwa Eva tena kutoka ubavuni mwa adamu. Nadhani mwandishi yupo sawa,maana mwanzo waliumbwa wawili lkn baadae aliumbwa mmoja tena kutokana na yule mwingine!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana hizi kampeni za haki sawa zimeshika kasi sana dunian, nadhani nusu karne ijayo wanawake watakuwa juu yetu sisi wanaume.
Uzaliwaji wa watoto wa kiume ni sawa na mwendo wa bata wakati uzaliwaji wa watoto wakike ni mwendo wa Duma eeeh mwenyezi mungu tusaidie.
 
Mi niponipo2 kama mbuzi hata sijui ki2 ..nashukuru nimepata mwanga...Na sahv naona hizi kampeni jinsi zinavopamba moto huko kwneye media mbali mbali women empowerment....... We don't know what the situation we gona make...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngonjera tupu ulizozileta hapa, Mwanzo 1:26-27 Mungu alipendekeza kumuumba Mtu kwa mfano wake na aliumba Mtu, nasisitizia Mungu aliumba Mtu, lakini utaona dhahiri kabisa tangu Mungu alipofanya huo uumbaji ktk Mwanzo 1:26-27 ni Adamu pekee ndiye anayezungumziwa hapo.

Mwanzo 2:18 Mungu anaeleza "si vyema huyo Mtu/Adamu awe pekeyake na wakati huo ni Adamu ndiye aliyekatazwa asile Mti wa kujua mema na mabaya.

Mwanzo 2:21-22 Mungu anaeleza jinsi msaidizi wa Adamu "Hawa/Ever" alivyoumbwa tokana na Adamu, ndiyomaana MWAANZO 1:26 hakuna palipoandikwa "na tuwafanye Watu kwa mifano yetu" bali "na tumfanye Mtu kwa mfano wetu"

Pia Adamu/Mwanaume aliumbwa kwa utukufu wa Mungu ndiyomaana humpendeza Mungu Mwanaume awe kichwa cha familia na awe na kibali cha kuacha nywele ziwe wazi kichwani LAKINI Mwanamke/Hawa/Ever aliumbwa kwa utukufu/ajili ya Mwanaume ili awe anaonekana ktk hali ya kumilikiwa/kutawaliwa chini ya Mwanaume/Adamu anapaswa kufunika nywele za kichwa chake.

BIBLIA INANENA KWELI TUPU NA MUNGU NI YULE YULE HABADILIKI KAMWE HATA APINGANE NA NENO LAKE "ALFA NA OMEGA" MILELE ZOTE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu lilith anatokea wapi mkuu? Waswahili wanausemi lisemwalo lipo.
Ngonjera tupu ulizozileta hapa, Mwanzo 1:26-27 Mungu alipendekeza kumuumba Mtu kwa mfano wake na aliumba Mtu, nasisitizia Mungu aliumba Mtu, lakini utaona dhahiri kabisa tangu Mungu alipofanya huo uumbaji ktk Mwanzo 1:26-27 ni Adamu pekee ndiye anayezungumziwa hapo.

Mwanzo 2:18 Mungu anaeleza "si vyema huyo Mtu/Adamu awe pekeyake na wakati huo ni Adamu ndiye aliyekatazwa asile Mti wa kujua mema na mabaya.

Mwanzo 2:21-22 Mungu anaeleza jinsi msaidizi wa Adamu "Hawa/Ever" alivyoumbwa tokana na Adamu, ndiyomaana MWAANZO 1:26 hakuna palipoandikwa "na tuwafanye Watu kwa mifano yetu" bali "na tumfanye Mtu kwa mfano wetu"

Pia Adamu/Mwanaume aliumbwa kwa utukufu wa Mungu ndiyomaana humpendeza Mungu Mwanaume awe kichwa cha familia na awe na kibali cha kuacha nywele ziwe wazi kichwani LAKINI Mwanamke/Hawa/Ever aliumbwa kwa utukufu/ajili ya Mwanaume ili awe anaonekana ktk hali ya kumilikiwa/kutawaliwa chini ya Mwanaume/Adamu anapaswa kufunika nywele za kichwa chake.

BIBLIA INANENA KWELI TUPU NA MUNGU NI YULE YULE HABADILIKI KAMWE HATA APINGANE NA NENO LAKE "ALFA NA OMEGA" MILELE ZOTE.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Unknown device
 
Mwanzo 2:18 Mungu anaeleza "si vyema huyo Mtu/Adamu awe pekeyake na wakati huo ni Adamu ndiye aliyekatazwa asile Mti wa kujua mema na mabaya.

Mwanzo:2.18
Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye.
Mwanzo:2.20
Adamu akawapa majina yao kila mnyama wa kufugwa, na ndege wa angani, na kila mnyama wa mwituni; lakini hakuonekana wa kumsaidia Adamu aliyefanana naye.
Mwanzo:2.21
Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake,
Mwanzo:2.22
na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu.
Mwanzo:2.23
Adamu akasema, Sasa huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu, basi ataitwa mwanamke, kwa maana ametwaliwa katika mwanamume.


Mwanzo 2:21-22 Mungu anaeleza jinsi msaidizi wa Adamu "Hawa/Ever" alivyoumbwa tokana na Adamu, ndiyomaana MWAANZO 1:26 hakuna palipoandikwa "na tuwafanye Watu kwa mifano yetu" bali "na tumfanye Mtu kwa mfano wetu"
Mwanzo:1.26
Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Mwanzo:1.27
Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, kwa mfano wa Mungu alimwumba, mwanamume na mwanamke aliwaumba.
Mwanzo:1.28
Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.


Hiyo biblia unayotumia kusoma nusunusu iangalie sana, Mengine mtajuana wenyewe!
 
Sasa mkuu naomba kufahamu hapo lilith alipoenda kutoa kipochi manyonya kwa shetani kwani shetani alimuhasi Mungu kipindi gani ???

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa nini Mungu hakumuadhibu au kumteketeza kabisa Lilith?

Kumbe amri ya sita ilianza kuvunjwa enzi za Adam na Lilith tatizo lilikua nani wa kulazwa chini na nani awe juu...

Kwa maana hiyo tunamsingizia Eve kwamba yeye ndiyo aliyemdanganya Adam na wakala tunda la kati...



Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom