Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Sasa nikwambie kitu hii ya sasa ndio imechakachuliwa hasa.. Ngoja kuna moja nitakutafutia edition yake ulingalishe uone
Hii iko vizuri uchakachuzi wake unabainika haraka sana, hata ukikamata biblia za kiswahili tano tu kwa pamoja unakamata wapi ndugu shetani anadanganya.
 
Hii iko vizuri uchakachuzi wake unabainika haraka sana, hata ukikamata biblia za kiswahili tano tu kwa pamoja unakamata wapi ndugu shetani anadanganya.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji144][emoji144][emoji144][emoji144]
 
Story imeibwa
Screenshot_20190909-112426.jpeg
 
Moderator
Paw
Invisible
Cookie
Active

Naomba kuleta lalamiko rasmi... Hizi zilikuwa mada mbili tofauti lakini zikimhusu mtu mmoja...zimechanganywa na kuwa moja halafu bila mpangilio hivyo kukosa mtiririko na maana
Mbaya zaidi kuna mtu kaibeba post mojawapo tena kwa heading ileile na kuipost FB kama ilivyo wakati huku JF haipo tena ila maudhui yake yako kwenye mada nyingine... This is heart breaking

Ufunuo usiosemwa: je Lilith ndio nyoka wa Eden?

utata na mkanganyiko kuhusu Lilith.. Je alikuwa mke wa kwanza wa Adam?

Naomba tafadhali Moderator aliyeunganisha hizi mada mbili alitendee haki azitenganishe
Screenshot_20190909-112426.jpeg
 
I see! Nilikuwa sijawahi ckia hizo habari za shost ake na Hawa... ngoja nami niingie online library nimbukue kidogo!!

Sema dah, mara malkia wa giza, mara malkia wa jehanamu, mara Lilith hivi; mara Lilith vile... yaani makombora yote hayo anayopigwa kisa tu kv kamtema Adam!

Hivi huyu Adam nae si ni miongoni mwa wateule wa Mungu; au?! Kama ndivyo, huku Uswahilini si huwa tunaambiana eti mke mwema hutoka kwa Mungu; au?

Kama ndivyo, how come tena mteule wa Mungu akapata mke asiye na sifa za kutoka kwa Mungu?!

Kama mke mwema hutoka kwa Mungu; mke muovu si itakuwa hutoka kwa shetani; au?

Kama ndivyo, ina maana mteule wa Mungu aliletewa mzigo na shetani?!

Oh! Nasikia Mungu aliumba dunia kwa cku 6 na cku ya 7 akaamua kula good time! Nimepatia?!

Kama ndivyo, au inawezekana Shetani alimlia timing Mungu, na ilipofika cku nyingine Jamaa akawa anakula good time; shetani akaupenyeza mzigo kwa Mwana Mteule!!

Au hii good time alikula mara moja tu?!

Hebu ngoja, kabla sijaendelea!! Hivi ukifukunyua fukunyua mara oh, mbona kama hivi ipo vile, mara oh, kama ndivyo mbona iko hivi... hapa vipi; naweza kupata dhambi?!

Nakumbuka enzi hizo tuko Madras Hidayat Kurasini; Ustaadhi alikuwa anatuambia ukitaka kufahamu balaa la moto wa jahanamu; ziba masikio yote mawili kwa viganja vya mikono usikie moto wa jahanamu unavyounguruma!!

Basi ukitoka hapo, hata ukikutana na braza wa Std VII lazima umpe shikamoo ili usije ukakumbana na lijimoto la jahanamu ambalo umelisikia "Live!"

Mungu anakuona Ustaadhi wangu, yaani bila huruma unavilisha matango pori vitoto vidogo!
Ustaaz alikuwa anavuta nyangusweswe mkuu si bure
 
Moderator
Paw
Invisible
Cookie
Active

Naomba kuleta lalamiko rasmi... Hizi zilikuwa mada mbili tofauti lakini zikimhusu mtu mmoja...zimechanganywa na kuwa moja halafu bila mpangilio hivyo kukosa mtiririko na maana
Mbaya zaidi kuna mtu kaibeba post mojawapo tena kwa heading ileile na kuipost FB kama ilivyo wakati huku JF haipo tena ila maudhui yake yako kwenye mada nyingine... This is heart breaking

Ufunuo usiosemwa: je Lilith ndio nyoka wa Eden?

utata na mkanganyiko kuhusu Lilith.. Je alikuwa mke wa kwanza wa Adam?

Naomba tafadhali Moderator aliyeunganisha hizi mada mbili alitendee haki azitenganisheView attachment 1202408
Mkuu nakuuliza tena humu JF mabandiko hayana patent right
Inabidi walitazame hili kama hakuna
Mabandiko mengi yanaibwa kama hili bila hata aknwoledge
 
ndiyo maana tunasema Ulimwengu huu una mambo mengi sana tusiyoyajua.
 
Mkuu nakuuliza tena humu JF mabandiko hayana patent right
Inabidi walitazame hili kama hakuna
Mabandiko mengi yanaibwa kama hili bila hata aknwoledge
Yanachukuliwa mengi tu na huko yanaenda kutumika na watu wanapiga... Hili limenihuzunisha kwakuwa mada mbili tofauti zimeunganishwa na kuwa moja lakini bila mpangilio.. Halafu aliyeliiba akalichukua na heading kwenye Uzi mwingine
 
moderators waje kutusaidia
Nimeripoti mada kuchanganywa wako kimya sijui kama kwenye hili watakuja... Lakini kuna siku Melo alisema kuwa huwa hawana time ya kujibu mtu... Ilinivunja moyo na kunisononesha lakini kama ndio sera yao sina namna
CC: Cookie
 
Back
Top Bottom