Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Hakuwa Malaya. Alitaka haki ya kuwa sawa na Adam kwa sababu wote wametengenezwa kwa udongo. Aliona hakuna sababu ya yeye kuwa chini alafu Adam awe juu.
Adam waliumbwa pamoja na lilith, ba baadae lilith akakorofishana na adam sababu ya umalaya, na tabia mbaya. Ndo akafukuzwa eden. Mungu akatoa ubavu kwa adam

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kufuatalia tunakuja kujua kuwa binadamu wa kwanza kuumbwa alikuwa Adam na lilith na baadae kuja hawa ?

Kwa anaefaham kuhuc historia hii tubadilishane mitazamo

Hata mimi nimesoma mahala. Na pia katika biblia za mwanzo zinaonyesha/Kuandika kwamba Mungu alifanya uumbaji wa awamu mbili. Aliumba Mtu mume na mke, alafu baadae kupitia yule mtu mwanaume akamuumba mwanamke kwa kutumia ubavu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
kwahiyo lilith kama ni ibilisi basi ni zao la wivu. kwa maana hiyo wivu ni kitu kibaya sana.
 
Habari za Lilith hazijaandikwa popote kwenye Biblia takatifu, na huko zilikoandikwa si kwa wema bali kwa ubaya ukiachilia satanism na atheism.

kumbe upigaji na kula kimasihara imeanza siku nyingi...

kweli nimeamini hamna jipya chini ya jua...
 
kumbe hawa alikuwa na mke mwenza....halafu siku hizi wanajifanya hawataki na kusema ni dhambi na kumbe hizi mambo tangu zama zile..wanawake mtuache jamani...ukiwenza hata bibi hawa yalimsibu...so mtupunzishe ati..
 
tatizo vitabu hivi vitakatibu vimehaririwa mno ..mpaka uhalisia umepotea sasa...kuna mambo mengi yamefichwa na hayajulikani kabisa..

kuna machapisho ni siri kubwa mno..na hakuna anayeruhusiwa kuyajua zaidi ya wale viongozi wakubwa wa dini.
 
Ukianza kusoma hizi habari utaanza kupata ham ya kujua zaidi, ukitaka kujua zaidi ndipo hatari ilipo sasa. Katika maisha kuna vitu ukivifahamu vinaweza kuharibu maisha yako au kukupoteza kabisa, the less u know the better
 
tatizo vitabu hivi vitakatibu vimehaririwa mno ..mpaka uhalisia umepotea sasa...kuna mambo mengi yamefichwa na hayajulikani kabisa..

kuna machapisho ni siri kubwa mno..na hakuna anayeruhusiwa kuyajua zaidi ya wale viongozi wakubwa wa dini.
Ukianza kusoma hizi habari utaanza kupata ham ya kujua zaidi, ukitaka kujua zaidi ndipo hatari ilipo sasa. Katika maisha kuna vitu ukivifahamu vinaweza kuharibu maisha yako au kukupoteza kabisa, the less u know the better
Kuna vitu inabidi ujifunze na kuvijua ukiwa huegemei upande wa kiimani la sivyo utapotea mazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshana jr hii stori ya lilith ni ya kweli nimeifuatilia na kujaribu kupata picha ya nn kilikuwepo nimeona ni kwel sehemu moja ambapo sijapaelewa ni apo kwenye tunda kuna fumbo limefichwa apk ili kukwepa aibu na mm naamin ilo si tunda bali ni sex huyu lilith alienda kumfundisha sex eva na eva nae akaenda kumfundisha adam balaa likaainzia apo na pia mm naamin baada ya eva mungu aliumba mwanamke mwingine au wanawake wengine
 
Chengine nilitaka nikiwasilishe ni hv biblia yetu hii tunayotumia imeandikwa na muingereza ambae yeye alikopi kutoka kwenye vitabu vya kiyahudi na romania ivyo kuna baadh ya vitu hawakuvikopi ili kutengeneza kitabu ambacho kipo portable namaanisha kinachoweza kushikika ndio ikazaliwa biblia lkn ukitafuta biblia za kiibrania za kale ni kubwa mno na habari za lilith zimo humo ila lugha pia ni changamoto hivyo huwez kuelewa
 
[emoji120][emoji120][emoji120]Asante sana kwa kutumia muda wako kutafuta ithibati.. Baadhi waliishia tu kupinga bila ushahidi wala kujisumbua kuchimba zaidi

Jr[emoji769]
 
Kwa hiyo Adamu aliumbiwa jini ili amuoe au na yeye alikuwa jini ?
pia mbona adamu alikufa lakini huyo jini yupo hai ?
ila hii story ni kama vile melgibson ndani ya filamu ya yesu.

Move ya yesu ukiaangalia kikirsto/Kiimani utaamini kila kitu na mwisho wake utaishia kulia kwa kuona mateso ya Yesu mwana wa Nazaleti...ila ukiingalia kimtaa mtaaa huku unajiuliza maswali Kwa kila unachokiona unaweza Achana na Mambo ya kuamimini ishu za Dini ukawa unaishi tu kama mababu zetu.
 
Thats right ni bora usiwe na dini au ata ukiwa nayo usiamin kila unachoambiwa ni kwa sababu mungu hakuumba dini wala ukabila na kuna siri nying tu kuhusu hii dunia ambazo din nying huwa hawazisemi hii ni kwa sababu ya kuweka maslahi mbele mm ntakuwa wa mwisho kuamini km adam na eva walikula tunda NO i say NO kuna mambo yamefichwa na viongozi wetu wa din ni wavivu hawataki kutafuta ukwel na pia kuhusu tunda la uzima na milele nasema tena halikuwa tunda kuna siri imefichwa na hii ni kwa sababu kuepusha immoral
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…