Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

unknown, confusing & difficult contents.
& bichwa langu lipo wazi, maana nazisikia sikia izi habari adi naziota live kabisa.

dunia ina mengi sana, even if u have a big soap u cant make it clean.
 
Dah mkuu hebu nitoe tongo tongo,kuna miungu wawili??hao kina Eloim sijui
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba hiko kitabu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii impya. Fafanua tafadhali. Mtu wa Kwanza ni Nani Kama si Adam?
Hiyo ni hoja nyingine. hoja hpa ni kwamba Adamu si mtu wa kwanza bali ni Nabii wa kwanza

Sent using LEAGOO M12
 
Hiyo ni hoja nyingine. hoja hpa ni kwamba Adamu si mtu wa kwanza bali ni Nabii wa kwanza

Aisee.... ADAMU SI MTU WAKWANZA!!!!!!!!!!! Wakwanza ni nani sasa kama si yeye? Ungesema si Binadamu wakwanza ungekuwa sahihi kabisaaaaaaa, lakin unaposema si mtu wakwanza, unazingua kabisaaaa.
 
Hii impya. Fafanua tafadhali. Mtu wa Kwanza ni Nani Kama si Adam?


Sent using LEAGOO M12
Aisee.... ADAMU SI MTU WAKWANZA!!!!!!!!!!! Wakwanza ni nani sasa kama si yeye? Ungesema si Binadamu wakwanza ungekuwa sahihi kabisaaaaaaa, lakin unaposema si mtu wakwanza, unazingua kabisaaaa.
Kapotea

Jr[emoji769]
 
Habari za Lilith hazijaandikwa popote kwenye Biblia takatifu, na huko zilikoandikwa si kwa wema bali kwa ubaya ukiachilia satanism na atheism.
Lilith atakua ni shetani lakini hakua mwana wa adam,atakua ni mmoja wa malaika walio hasi kwa molah wao.katika uumbaji alioufanya mungu akuumba kiumbe chochote chenye utashi na akili kama adam,hata hao malaika mwanzo wa biblia haijataja uumbaji wao,lakini wakati mungu anaumba mbingu na ardhi na kila kitu alikua na malaika na ndo maana mungu alipowaambia malaika wamsujudie adam ndo wakaasi na kuitwa ibilis,hata mm naweza kuungana kua ibilisi ni shetani mwanamke,lkn mara nyingi shetan anatambulishwa sana kwa jinsi ya kike zaidi ya mwanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba ufafanuzi kwenye hili tafadhali kama hutojali

Jr[emoji769]
wote waislam na wakristo tunaamini Adam alikuwa Nabii kutoka kwa mwenyezimungu, Na kanuni ya mtu kuwa nabii au mtume ni kutumwa kufikisha ujumbe wa mwenyezimungu kwa binadamu.kwa maana hiyo kabla ya Adamu kutumwa kulikuwa na binaadam na ndio maana yeye akatumwa kufikisha ujumbe wa mwenyezimungu kwa wale watu.
Isingewezekana mwenyezimungu amtume Nabii wake pasipokuwapo na binadaam
Kwa hiyo Adamu hakuwa mtu/binadamu wa kwanza bali alikuwa nabii wa kwanza kutumwa hapa duniani
 
Duh kumbe shetani ni demu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok sawa sasa tuje kwenye swali la msingi binadamu wa kwanza kuumbwa na Mwenyezi Mungu ni nani?

Jr[emoji769]
 
Baba yao hao binadamu wa Kwanza kabla ya Adam,ni Nani?
Binadamu wa Kwanza kuumbwa na Mungu ni Nani?
Msaada tafadhali.
Sent using LEAGOO M12
 
Baba yao hao binadamu wa Kwanza kabla ya Adam,ni Nani?
Binadamu wa Kwanza kuumbwa na Mungu ni Nani?
Msaada tafadhali.

Sent using LEAGOO M12
Mkuu kwanza tukubaliane kwanza hili kisha twende sehemu nyiningi tusichanganye
 
Ok sawa sasa tuje kwenye swali la msingi binadamu wa kwanza kuumbwa na Mwenyezi Mungu ni nani?

Jr[emoji769]
Mkuu,tukubaliane kwanza hili kuwa Adamu si mtu wa kwanza kisha tuendelee mbele
 
Naweza kushawishika kwmb Adam na Eva hawakuwa viumbe wa mwanzo pekee ktk uumbaji, nashawishika kwmb kulikuwa na viumbe waliotangulia, ht km ni hao waliozaliwa na ibilisi ila walikuwepo! Mwanzo 4:17 Kaini akamjua mkewe: nae akapata mimba akamzaa Henoko.....swali la kujiuliza, ikiwa Kaini na Habili walikuwa wazaliwa wa kwanza wa Adam na Eva, mke aliyeolewa na Kaini alitoka wapi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…