Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaWe Jane nawe usituchezee akili hapa.
Nilikuwa nina mwananamke anaitwa LILY,nilimpenda sana lakini alichokuja kunifanyia,mungu ndio anajua,naunga mkono hoja ya Mshana Jr kuwa huyo lilith ndio ibilisi shetani aliyefitinisha ndoa ya adam na eve....
Asee huyo pepo wako kibokoNakumbuka ulishawahi kuleta mada kuhusu nyoka kufanya ngono na hawa lakini tunafumbwa kuwa walikula tunda
Na hii ya leo inashabihiana na ile
Nimefungua akaunti mpya ili kujibu kwa uwazi na uhalisia kuhusu hili
Mimi nimeolewa na nina watoto watatu nimewahi kusaliti katika ndoa yangu kwa sababu ya malumbano na mume wangu
Mtu wa kwanza kusaliti nae ni mwaka juzi mwishoni na kabla hata sijasaliti niliota nyoka mkubwa sana kaingia ndani na kumng'ata mume wangu nikafika kumuokoa baada ya wiki mbili kwa mara ya kwanza nikasaliti ndoa yangu
Siku zikapita nikaachana nae huyo mtu
Wa pili kabla sijasaliti nae niliota hivyohivyo pia nyoka akinikimbiza na kunichapa kwa mkia wake
Wa tatu mume ndie aliota aking'atwa na nyoka
Najizuia kuacha lakini kuna shida ktk ndoa yangu kupambana na hisia za kimwili napo ni ngumu
Sasa basi kuna uwezekano mkubwa pale eden tunda lililoliwa ni ngono kati ya nyoka na eva tunafumbwa tu
KWAHERINI
Siyo inawezekana ni ukweli ni ngono lakini ngono ya usagajiNakumbuka ulishawahi kuleta mada kuhusu nyoka kufanya ngono na hawa lakini tunafumbwa kuwa walikula tunda
Na hii ya leo inashabihiana na ile
Nimefungua akaunti mpya ili kujibu kwa uwazi na uhalisia kuhusu hili
Mimi nimeolewa na nina watoto watatu nimewahi kusaliti katika ndoa yangu kwa sababu ya malumbano na mume wangu
Mtu wa kwanza kusaliti nae ni mwaka juzi mwishoni na kabla hata sijasaliti niliota nyoka mkubwa sana kaingia ndani na kumng'ata mume wangu nikafika kumuokoa baada ya wiki mbili kwa mara ya kwanza nikasaliti ndoa yangu
Siku zikapita nikaachana nae huyo mtu
Wa pili kabla sijasaliti nae niliota hivyohivyo pia nyoka akinikimbiza na kunichapa kwa mkia wake
Wa tatu mume ndie aliota aking'atwa na nyoka
Najizuia kuacha lakini kuna shida ktk ndoa yangu kupambana na hisia za kimwili napo ni ngumu
Sasa basi kuna uwezekano mkubwa pale eden tunda lililoliwa ni ngono kati ya nyoka na eva tunafumbwa tu
KWAHERINI
Kitabu gani kimeandika hii kitu ya lol lilith??.. Na sisi tukipitie.....
Nachofahamu Adam alikua first man, na alikua first man sababu alikua mmoja wa Malaika MBINGUNI aliyeongoza mapambano Kati ya lucifer na Mungu kule MBINGUNI tunaiita (Pre-mortal) life... Award yake akapewa aje Duniani aanzishe mankind...... Sasa huyu lilith hata kwenye Pre-mortal life hakuwepo.
Tunajua waliokua kwenye Maisha kabla Dunia haijaumbwa ambao walikua mashuhuri kule kwa kazi zao. Baadhi Yao ni
JESUS CHRIST - JEHOVAH
MICHAEL - ADAM
GABRIEL - NOAH
LUCIFER - SATAN/DEVIL
Na wengine wengi.
Jina la kushoto ni Pre-mortal name, jina la kulia ni Mortal (earth) name.. Mfano YESU KRISTO kwenye pre earth alikua anaitwa JEHOVAH.
Sasa huyu lilith hatujui alikua Nani kule na aliletwa kwa mission gani Dunian maana Adam, eve na wengine walioanzisha Dunia kama viumbe wa kwanza walikua wana kazi ya kufanya.
AiseeHaki ya mungu yani tundaa tu! linatupeleka motoni kirahisi hivii[emoji21][emoji21] basi usikute tunda lenyew lilikua ni mbilimbi tu
Nilitamani nikujibu lakini !shukrani mshana.
kwa wale mnopinga kwa kutumia "biblia" kile
wasichokijua wengi ni kuwa biblia alitengenezwa na kanisa, kulikua na rundo la vitabu vilivyo andikwa na watu mbali mbali kwa kipindi cha miaka mingi, watu kama wewe na mimi walikaa na kukubaliana vitabu vipi wachukue viunde mkosanyiko wa vitabu atakao tumika na kanisa na ndipo biblia alipozaliwa, walifanya kazi nzuri ya kui promote . hivyo kuna vitabu vingi sana vilivyo achwa na kuna vingine vimeongezwa miaka mingi baadae, kama wewe unadhani biblia ilitoka mbinguni basi rudi shule kadai ada yako maana uliibiwa
Mi nipo mkuu zitto juniorMkuu Kudo upo?? Nilimiss nondo zako hizi baada ya JF kuwa kifungoni
AiseeYani story za genesis siziamini kabisa kabisa bora agano jipya
Nakusubiri kule kwenye uzi wa Hannibal nmekuita uje uteme nondoMi nipo mkuu zitto junior
Tuitane huko MkuuNakusubiri kule kwenye uzi wa Hannibal nmekuita uje uteme nondo
Kwahiyo Lilith hayupo au?Huu niuongo
@maishapopote kinachokufa ni mwili uharibikao....hakuna roho ifayoMshana, Lilith ni hekaya za zamani za story za wagiriki kama za kina atlas, Medusa na kina Hercules...Kwa kibiblia Lilith hayupo naverse zinazomtaja hakuna ni hisia tu...Jiulize kama Lilith alizaliwa atajuaje siri ya uumbaji? MUNGU halinganishwi na binadamu yoyote wala malaika, Hafanani nao...MUNGU hafi, wala kuangamizwa, MUNGU Ndio Top Boss hana wa kumuhangaisha, na kwa taarifa yako huyo shetani nae huenda mbele za MUNGU akisujudu...rejea kitabu cha AYUBU
Mkuu maishapopote Lilith hakuzaliwa bali alitolewa mavumbini siku moja na Adamu na wote walipewa mamlaka sawa ila baada ya uumbaji ule ndipo mungu akatambua Samael(Lucifer)alikuwa na nia ovu na kinyongo kwa Elohim ambae ndie alieumba Mbingu na nchi na kisha akamshauri mungu waumbe wanadamu kwa mifano yao (mw.1:28,Zab.8)Mshana, Lilith ni hekaya za zamani za story za wagiriki kama za kina atlas, Medusa na kina Hercules...Kwa kibiblia Lilith hayupo naverse zinazomtaja hakuna ni hisia tu...Jiulize kama Lilith alizaliwa atajuaje siri ya uumbaji? MUNGU halinganishwi na binadamu yoyote wala malaika, Hafanani nao...MUNGU hafi, wala kuangamizwa, MUNGU Ndio Top Boss hana wa kumuhangaisha, na kwa taarifa yako huyo shetani nae huenda mbele za MUNGU akisujudu...rejea kitabu cha AYUBU
Umetoka au bado umeshikiwa na ModsNakusubiri kule kwenye uzi wa Hannibal nmekuita uje uteme nondo