Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Ufunuo usiosemwa: Je, Lilith ndio nyoka wa Eden? Je, ni mke wa kwanza wa Adam?

Yeah hyo ya kukaa kwa juu bado lakini ya kubadilika pepo nmeisoma kwenye kitabu kimoja kuhusu babylon iliongelea makubwa ikiwemo hilo la lilith kubadilika kuwa pepo na kuenda kuishi kuzimu.... Ikaenda mbali zaidi ikasema baada ya eva kumreplace, lucifer akaamua kumkomoa Adam kwa kumbebesha mimba Hawa ndio akazaliwa Cain duh nkachoka kabisa!!
tatizo lako unasoma hekaya na simulizi nyingine kama talmud,tamil scriptures na vingine ambavyo vinaongea vitu vya uwongo,nimekuambia uniambie ni wapi kwenye biblia imetajwa lilith alikua mke wa adam ukachemka,huyo lilith katajwa kama mnyama na hayawani wa mwituni na Nabii isaya mara moja tu,sasa iweje awe mke wa Adam? achana na hizo hekaya maana kuna nyingine zina kufuru na kusema Yesu Alikua na Mke,je na hizo tuziamini? kitabu pekee cha kuamini ni biblia,hivi vingine kama wewe sio mkristu soma kujifurahisha tu,ukiongea kwa watu wanaojitambua unaonekana mwendawazimu tu
 
Asante sana kwa kushiriki na kuchangia mjadala....endelea kuufuatilia una mengi ya kujifunza...
Nami pia najifunza kama wengine wanavyojifunza....hii ndio aina yangu ya uandishi si kila mmoja anaweza kuipenda....cha muhimu ni kwamba tunapata wote maarifa hata tusipokiri
Mshana kukusaidia tu,Lilith hadithi zake ziko kwenye vitabu ambavyo vingi si vya kidini,ni kama Medusa Gorgo,na walimlink na Adam karne ya kumi na saba,juzi tu,hayupo kwenye maandiko ya mwanzoni kabisa,ya dead sea scrolls,au vitabu vya manabii,Ni story za kutunga kama ile ya Leornado Da Vinci,ya Picha kwamba Yesu alikua na Mahusiano na Maria Magdalena,ni wendawazimu tu...ila ukitaka kupata ukweli wa uumbaji,na wenye uhakika na unaoleweka,soma Biblia tu....
 
Haaahaaaa hili swali hatoweza kulijibu maana ameamua kufunga akili yake kutofkiri nje ya anayofundishwa na wachungaji wake ibadani.....
we ndi akili huna kabisa,Mwanzo 4:15 unasema hv,bwana akamwambia,kwasababu hiyo ye yote atakaemua kaini atalipizwa kisasi mara saba.Bwana akamtia Kaini alama,mtu amwonaye asije akampiga

maana yake nini? maana yake tayari kulikua na watu wengine! soma hiyo sura yote uelewe,mbona hamtaki kuchukua muda mkasoma biblia? kumbuka hao wakina adam walikua wanaishi sio chini ya miaka 900, walikua wanazaa na kuzaa.
 
Kitabu gan kimeandika habari za Lilith???

Lilith ametajwa mara moja tu kwenye Biblia lakini hakuna ufafanuzi wa maana. Soma Isaya 34:14 ametajwa hapo. Biblia ya kiswahili imeweka jina gumu, ila ile ya Kiingereza imetumia neno Lilith kabisa.

Ili uelewe Lilith ni nani, lazima usome mythology mbalimbali ambazo nazo zinakinzana kwa kiasi fulani. Jewish mythology nayo imekuelezea Lilith.
 
Mshana kukusaidia tu,Lilith hadithi zake ziko kwenye vitabu ambavyo vingi si vya kidini,ni kama Medusa Gorgo,na walimlink na Adam karne ya kumi na saba,juzi tu,hayupo kwenye maandiko ya mwanzoni kabisa,ya dead sea scrolls,au vitabu vya manabii,Ni story za kutunga kama ile ya Leornado Da Vinci,ya Picha kwamba Yesu alikua na Mahusiano na Maria Magdalena,ni wendawazimu tu...ila ukitaka kupata ukweli wa uumbaji,na wenye uhakika na unaoleweka,soma Biblia tu....
we ndi akili huna kabisa,Mwanzo 4:15 unasema hv,bwana akamwambia,kwasababu hiyo ye yote atakaemua kaini atalipizwa kisasi mara saba.Bwana akamtia Kaini alama,mtu amwonaye asije akampiga

maana yake nini? maana yake tayari kulikua na watu wengine! soma hiyo sura yote uelewe,mbona hamtaki kuchukua muda mkasoma biblia? kumbuka hao wakina adam walikua wanaishi sio chini ya miaka 900, walikua wanazaa na kuzaa.
@maishapopote unaweza kuwa na hoja nzuri tu zinazojadilika lakini una tatizo kubwa la kudhani unachojua wewe ndio sahihi na wengine wote wanapotoka
Bado sijaisahau ile mada yako kwangu kuwa mimi ni wakala wa sheatani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] una tatizo la kujiumbia uhalisia kwa kile unachodhani ni sahihi kwako
 
Mshana kukusaidia tu,Lilith hadithi zake ziko kwenye vitabu ambavyo vingi si vya kidini,ni kama Medusa Gorgo,na walimlink na Adam karne ya kumi na saba,juzi tu,hayupo kwenye maandiko ya mwanzoni kabisa,ya dead sea scrolls,au vitabu vya manabii,Ni story za kutunga kama ile ya Leornado Da Vinci,ya Picha kwamba Yesu alikua na Mahusiano na Maria Magdalena,ni wendawazimu tu...ila ukitaka kupata ukweli wa uumbaji,na wenye uhakika na unaoleweka,soma Biblia tu....
Lilith ametajwa mara moja tu kwenye Biblia lakini hakuna ufafanuzi wa maana. Soma Isaya 34:14 ametajwa hapo. Biblia ya kiswahili imeweka jina gumu, ila ile ya Kiingereza imetumia neno Lilith kabisa.

Ili uelewe Lilith ni nani, lazima usome mythology mbalimbali ambazo nazo zinakinzana kwa kiasi fulani. Jewish mythology nayo imekuelezea Lilith.
.
 
Mkuu labda nimsaidie Mshana Jr kujibu hili..... Ni kweli Adam na Lilith walikuwa na nguvu sawa actually zaidi hata ya malaika ila Adam aliondolewa nguvu hizi za kiungu pale alipokula tunda ila unachosahau ni kwamba lilith aliondoka bila kula hilo tunda actually mambo ya tunda yalikuja baada ya Hawa kuletwa kuziba pengo la lilith.... Hivyo Lilith aliondoka na nguvu zake kama ambavyo shetani aliondoka na nguvu zake alipotolewa mbinguni... Ila Adam nguvu zake ziliisha siku anakula tunda hicho muhim tutambue


Lilith hakula tunda mkuu hivyo ile hukumu ya Adamu ya kwamba atakufa ni ya Adam na hawa pekee ndio maana shetani yeye mpka leo yupo hai na lilith pia sababu wao bado walibaki na nguvu zao za siku zote ila kama Mungu angetamka kuwa wote waliomfanya adam afanye dhambi wafe basi lilith na shetani wangeshakufa kitambo sana kma adam na hawa.

Kama hilo ni dogo kwanni usishangae Yesu aliyekuja kuleta wokovu aliishi miaka 33 pekee hapa duniani ila aliyepinga wokovu toka Yesu wa hapa duniani amekufa yeye bado anaishi milele na anazidi kupotosha watu?? Ukipata jibu la hapo ndio utaelewa kwanni Mungu hakumhukumu lucifer/ lilith kifo siku ile Adam ameasi kwa kula tunda.

Ni hayo tu
Mshana na Zitto hii hoja ya Adam na lilith zen hawa ukitumia biblia kama source huipati tuanzie pale mwanzo 1:26 Mungu akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; (hapa wanazungumzia mtu wakwanza) wakatawale samaki wa baharini na ......(hapa wanazunguzia couple nyingine/ama more than one peron ambayo itukiijumlisha na yule wa kwanza tunapata pengine watu wa 3 ama zaidi)

mwanzo 1:27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, (hapa mtu wa kwanza anaumbwa) kwa mfano wa Mungu alimuumba, (bado tunamzunguzia yule wa kwanza) mwanaume na mwanamke aliwaumba. (couple inaumbwa)

mpaka hapo tuna watu wa3 tofauti mwanaume peke yake zen mwanaume na mwanamke kuanzia mwanzo 1:28 Mungu anawamilikisha wale watu watatu/wote dunia anawapa utawala.

Mwanzo 2:7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya aridhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.(namna yule wakwanza alivyoumbwa ama huyu ni mwanaume wa 3, japo sitaki kuamini hivyo)

Mwanzo 2:15 Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya edeni, ailime na kuitunza. 2:16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu akisema "matunda ya kila mti wa bustani waweza kula, 17 Lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, (yule mtu wa kwanza ndie tunamzungumzia hapa achana na ile couple kumbuka mpaka hapo yuko peke yake hajapata kampani/mwenzi)

Mwanzo 2.18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye(wazo au mpango wa kumtengenezea mke/mwanamke wawe couple pia linazaliwa)

Mwanzo 2: 21 Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake , 22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu. (mwanamke wa pili anaumbwa now we have 2 women with 2 or 3 men)

Baada ya hayo yote nashawishika kuamini kua hakuna mwanamke alie muacha walieumbwa nae, na yale maelezo yote ni ufafanuzi tu wa namna hawa wawili walivyopatikana, pengine sasa tuseme ile couple ya kwanza ndio iliyokuja kudanganya hii couple ya pili ambayo hii nayo inakuja kuwa hoja tofauti kabisa na hii yako ya lilith. na ikiwa lilith ni mmoja kati ya ile couple ya kwanza je mumewe yuko wapi au alienda wapi? usiniambie ni huyu shetani/lusifa sababu yeye tunaambiwa aliumbwa kwa moto tena kabla ya dunia kuuumbwa
 
@maishapopote unaweza kuwa na hoja nzuri tu zinazojadilika lakini una tatizo kubwa la kudhani unachojua wewe ndio sahihi na wengine wote wanapotoka
Bado sijaisahau ile mada yako kwangu kuwa mimi ni wakala wa sheatani[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] una tatizo la kujiumbia uhalisia kwa kile unachodhani ni sahihi kwako
mbona unaogopa kumtaja vizuri,anaitwa shetani, na sio sheatani..🙂🙂 hujawahi kukanusha au kukubali kama kweli wewe ni Agent au sio...kama bado unaikumbuka...leo utoe jibu sasa...
 
Hizo ni stories tu zimeandikwa na watu kama za Bulicheka.
Kama sikosei, wewe ni wale wasio amini uwepo wa Mungu? right? if that is the case then nadhani hatuwezi kwenda pamoja cause mi nitakua nafanya reference kwenye vitabu ambavyo wewe huviamini and hence utakua ni upotezaji wa muda wa each other!
 
Mwanzo 1:27. Mungu aliumba mwanamme na mwanamke (Adam na LIlith) kutoka mavumbini

Mwanzo 2:22. Mungu akatoa ubavu akamuumba mwanamke. (Adam na Hawa) Hawa akutoka mavumbini

Mwanzo 4:1 Baada ya Adam/Eva kufukuzwa bustanini Adam akamjua mkewe wakawazaa Habili na Kaini

Mwanzo 4:8 Kaini akamuua nduguye Habili

Mwanzo 4:16. Kaini akaenda inchi ya Nodi Mbele ya Eden

Mwanzo 4:17 Kaini akamjua mkewe na akamzaa Henoko (Je mke wa Kaini alikua Lilith au Lilith alipotimuliwa Eden alikua na mimba na alikimbilia Nodi na kujifungua mtoto wa kike .Maswali ni mengi kuliko majibu je Lilith alikua nani????
Apo ndo kuna utata kuhusu iyo mke wa kaini alitoka wapi wakati kipindi icho alikuwa peke yake uyo mke alitoka wapi au kulikuwa na watu wengine na kama Lilith alizaa nani alimpa mimba sababu walikorofishana na adamu mda mrefu au aliondoka akiw mjamzito
 
mkuu labda nitoe maoni yangu kidogo ila sikupingi sababu tunaweza kuwa na vyanzo tofauti......

1.Adam hakuwepo kwenye pre mortal life mkuu labda kama una reference nzuri zaidi ila nachojua wote lilith na adam waliumbwa kwa udongo ila micha-el aliumbwa kwa mwanga na alipewa jukumu la kuhakikisha Adam harudi kwenye bustani ya Eden hivyo micha-el na Adam ni tofauti kabisa.

2.Lilith alikuwepo wakati dunia ya pili imeumbwa ukiachana na ile ya kwanza ambayo iliharibiwa na vita kati ya leviathans na malaika..... Hivyo lilith baada ya kuvurugana na adam akaamua kuolewa na malaika shamael aliekuwa anaishi mbingu ya saba ambaye inasemekana alimpeleka lilith kuzimu and the rest is history
Mke wa kaini je alitoka wapi au alikuwa ni mtoto wa Lilith
 
mbona unaogopa kumtaja vizuri,anaitwa shetani, na sio sheatani..🙂🙂 hujawahi kukanusha au kukubali kama kweli wewe ni Agent au sio...kama bado unaikumbuka...leo utoe jibu sasa...
Hiyo ni typing error...sikuweza kubishana nawe ama nikubali au nikatae bali niliishia tu kutabasamu kwakuwa ulitumia hoja dhaifu mno kujenga mjadala wako
 
Mshana na Zitto hii hoja ya Adam na lilith zen hawa ukitumia biblia kama source huipati tuanzie pale mwanzo 1:26 Mungu akasema na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; (hapa wanazungumzia mtu wakwanza) wakatawale samaki wa baharini na ......(hapa wanazunguzia couple nyingine/ama more than one peron ambayo itukiijumlisha na yule wa kwanza tunapata pengine watu wa 3 ama zaidi)

mwanzo 1:27 Mungu akaumba mtu kwa mfano wake, (hapa mtu wa kwanza anaumbwa) kwa mfano wa Mungu alimuumba, (bado tunamzunguzia yule wa kwanza) mwanaume na mwanamke aliwaumba. (couple inaumbwa)

mpaka hapo tuna watu wa3 tofauti mwanaume peke yake zen mwanaume na mwanamke kuanzia mwanzo 1:28 Mungu anawamilikisha wale watu watatu/wote dunia anawapa utawala.

Mwanzo 2:7 Bwana Mungu akamfanya mtu kwa mavumbi ya aridhi, akampulizia puani pumzi ya uhai; mtu akawa nafsi hai.(namna yule wakwanza alivyoumbwa ama huyu ni mwanaume wa 3, japo sitaki kuamini hivyo)

Mwanzo 2:15 Bwana Mungu akamtwaa huyo mtu, akamweka katika bustani ya edeni, ailime na kuitunza. 2:16 Bwana Mungu akamwagiza huyo mtu akisema "matunda ya kila mti wa bustani waweza kula, 17 Lakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, (yule mtu wa kwanza ndie tunamzungumzia hapa achana na ile couple kumbuka mpaka hapo yuko peke yake hajapata kampani/mwenzi)

Mwanzo 2.18 Bwana Mungu akasema, Si vema huyo mtu awe peke yake, nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye(wazo au mpango wa kumtengenezea mke/mwanamke wawe couple pia linazaliwa)

Mwanzo 2: 21 Bwana Mungu akamletea Adamu usingizi mzito, naye akalala; kisha akatwaa ubavu wake mmoja, akafunika nyama mahali pake , 22 na ule ubavu alioutwaa katika Adamu Bwana Mungu akaufanya mwanamke, akamleta kwa Adamu. (mwanamke wa pili anaumbwa now we have 2 women with 2 or 3 men)

Baada ya hayo yote nashawishika kuamini kua hakuna mwanamke alie muacha walieumbwa nae, na yale maelezo yote ni ufafanuzi tu wa namna hawa wawili walivyopatikana, pengine sasa tuseme ile couple ya kwanza ndio iliyokuja kudanganya hii couple ya pili ambayo hii nayo inakuja kuwa hoja tofauti kabisa na hii yako ya lilith. na ikiwa lilith ni mmoja kati ya ile couple ya kwanza je mumewe yuko wapi au alienda wapi? usiniambie ni huyu shetani/lusifa sababu yeye tunaambiwa aliumbwa kwa moto tena kabla ya dunia kuuumbwa
Kwa tafsiri na uzingativu wa Biblia takatifu uko sahihi mno....lakini je ulishawahi kijaribu kutoka nje ya box?
 
Inamaaana babu yetu adam alikuaa anakula papuchi ya lilith ambaye ndiye ibilisi..?

Inamaana shetani alikua ni mke wa kwanza wa adam.?.

Inamaana shetani ni jinsia ya kike.?

Kati ya adam na mkewe mnaemsema ni lilith. Yupi alikua wa kwanza kuumbwa. Ni adam au lilith.?


Sababu
Kuu hasa ya mungu kumtupa shetani duniani ilikua nini..?.
Au ili aje duniani awe mke wa adam ambaye ni lilith kama ulivyomnukuu katika paragraph ya mwisho kabisa..?.
 
tatizo lako unasoma hekaya na simulizi nyingine kama talmud,tamil scriptures na vingine ambavyo vinaongea vitu vya uwongo,nimekuambia uniambie ni wapi kwenye biblia imetajwa lilith alikua mke wa adam ukachemka,huyo lilith katajwa kama mnyama na hayawani wa mwituni na Nabii isaya mara moja tu,sasa iweje awe mke wa Adam? achana na hizo hekaya maana kuna nyingine zina kufuru na kusema Yesu Alikua na Mke,je na hizo tuziamini? kitabu pekee cha kuamini ni biblia,hivi vingine kama wewe sio mkristu soma kujifurahisha tu,ukiongea kwa watu wanaojitambua unaonekana mwendawazimu tu
Na hii ndio shida ya wafia dini sasa dead sea scrolls ina vitabu vyote vya biblia kasoro esther na kwenye hizo scrolls kuna song of sage inayoongelea kwa undani suala hili with reference kwenye simulizi za kiyahudi na sumeria ila kwa kuwa mzungu aliamua kukiacha song of sage na kuchukua vinginevyo vinavyotengeneza biblia basi ww unasema ni vya UONGO?? does it make sense yaani vingine vyote vinakubalika alafu kimoja ndio cha uongo?? Hvi ni reasoning ya wapi hiii

Biblia inaongelea lilith sio kama mnyama bali Roho/pepo anayezunguka jangwani na hii ndio NAB version na hata Originao king james version inasema hivo sasa na inataja wanyama kama 8 hivi na mmoja ndio huyo pepo anaitwa lilith ila kwa tafsiri ya sasa wameiweka kama BUNDI ila story nzima ipo nje ya vitabu vya biblia ambavyo ni credible kwa dini zao sasa ww ni nani kusema ni uongo??

Yaani wayahudi wanakuletea biblia unasema ni ukweli ila vitabu vyao wenyewe ndio unasema ni uongo!!! Haya mahaba ya kidini mnatoaga wapi..... Wakati wao wanaandika nyie mlikuwa mnacheza ngoma tu leo hii ndio mnakuwa watetezi kuwa kitabu kipi cha ukweli kipi cha uongo?? Alafu trump akituita shit holes mnaona katuonea

Nsamehe kwa kutumia lugha kali nsamehe sana ila tubadilike waafrika..... Bible haikushushwa watu wachache pale constantinople ndio waliamua viwe hivi vilivyopo sasa why on earth mnaamini hao waliopanga ndio walikuwa sahihi kuliko wengine!!!
 
Back
Top Bottom