kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,072
- 1,424
Hii kitu tofauti kabisa uhusiano wa bikira maria na LilithMmh sijui nikadhani labda ni normal reply kumbe ni post kamili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii kitu tofauti kabisa uhusiano wa bikira maria na LilithMmh sijui nikadhani labda ni normal reply kumbe ni post kamili
Usisahau kunitag mkuu mshana JrHao jamaa wana mambo kinyume sana.. Nina mada yao moja ngoja niitafute takutag
Ukipata ya kiswahili nishtue mkuuNaombeni kopy ya version ya Book of enoch kwa kiswahili plzzzz mwenye nayo, softcopy plz
...humbled mkuuMtasaidika bila hofu
Ukipata ya kiswahili nishtue mkuu
Naombeni kopy ya version ya Book of enoch kwa kiswahili plzzzz mwenye nayo, softcopy plz
Mtasaidika bila hofu
Ndio utambulisho wake kila chenye mwili hakikosi utambulisho wenye maana kamiliSwali mkuu, hili jina lilith lilitungwa lilibuniwa ama vip kwann waite hilo jina? kwann wasingelisema kuwa kulikuwa na roho iliyokuwa ikibadilika mara Mw/damu mara roho kwann Lilith? Nikweli stori inaonyesha kulikuwa na mtu hapo awali sawa lakini jina Lilith lilitoka wapiii?
Hahahah pole mkuu huyo wanamke wako wa kuitwa Lily alifanya nini mkuu, hebu tupatie dondoo kidogo!Nilikuwa nina mwananamke anaitwa LILY,nilimpenda sana lakini alichokuja kunifanyia,mungu ndio anajua,naunga mkono hoja ya Mshana Jr kuwa huyo lilith ndio ibilisi shetani aliyefitinisha ndoa ya adam na eve....
Dah mkuu hebu nipatie hivyo viroja kwa uchache!Mimi nilikuwa na marafiki wanao itwa hilo jina, yaani ni vituko uzuri wamekufa wote!
Itakuwa peasi maana tamu sanaHivi tunda gani walio kula Adamu na hawa/Eva