Ufunuo wa Yohana ndo kitabu cha hovyo katika Biblia

Ufunuo wa Yohana ndo kitabu cha hovyo katika Biblia

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Kitabu kinajiita ufunuo halafu ukikisoma hukielewi,.

Sasa pale yohana alitaka kufunua au kuficha Zaidi? Naona Kama ndo kaficha Zaidi.

Knowledge haitakiwi Kuwa hivyo, inatakiwa iwe wazi ili sisi wasomaji tupate uelewa na nafasi ya kuboresha au kupinga au kukubali kilichoandikwa.

Nadhani ndo maana ilichukua muda Sana na debate kubwa kukubali kukiweka Kuwa miongoni mwa collection ya vitabu katika Bible.
 
Huwezi kuita maandiko matakatifu andiko la ovyo.

Kuwa na adabu.
Acha uwoga kijana yale Ni maneno tu yalioandikwa na watu Kama wewe.

Unajua zamani hapakuwa na waandishi so wale wachache wakiandika kitu kinakuwa Cha ajabu lakini kiukweli mengi hayana maana tena hayana nafasi tena kwenye ulimwegu huu...

knowledge Haina mwisho Haina limit .Mambo mazuri hayana mwisho...so Mambo matakatifu sio maandiko peke yake

Kuna Mambo mengine ya MUNGU mapya ambayo Ni matakatifu...sijasema nawadharau nawaheshimu sana walioandika walifanya vizuri Sana Ila kwa nafasi yao.

Waliyoyaandika Ni Kama mshumaa tu ambao zamani ulikuwa na thamani Ila kwa Sasa tuna umeme so mshumaa hauna thamani Tena tunahitaji update ya Mambo ya Mungu
 
Acha uwoga kijana yale Ni maneno tu yalioandikwa na watu Kama wewe.

Unajua zamani hapakuwa na waandishi so wale wachache wakiandika kitu kinakuwa Cha ajabu lakini kiukweli mengi hayana maana tena hayana nafasi tena kwenye ulimwegu huu...

knowledge Haina mwisho Haina limit .Mambo mazuri hayana mwisho...so Mambo matakatifu sio maandiko peke yake

Kuna Mambo mengine ya MUNGU mapya ambayo Ni matakatifu...sijasema nawadharau nawaheshimu sana walioandika walifanya vizuri Sana Ila kwa nafasi yao.

Waliyoyaandika Ni Kama mshumaa tu ambao zamani ulikuwa na thamani Ila kwa Sasa tuna umeme so mshumaa hauna thamani Tena tunahitaji update ya Mambo ya Mungu
Umemujibu vizuri akitaka kuelewa ataelewa
 
Ila kwa kweli ni sheedaa! Ufunuo huo umeandikwa kwa lugha fasaha, lakini kuelewa hadi utafute mkalimani, angalau kupata mwanga wa maudhui.
 
Back
Top Bottom