Ufuta unawafanya watu wawe na viburi mjini hapa

Ufuta unawafanya watu wawe na viburi mjini hapa

Kwanini inatokea ivo.

Nini huwa changamoto

Maana nami najipanga mvua za mwezi wa Pili wa 3 niingie mzigoni.na ekari zangu za kutosha tu
Zao la ufuta bwana lina mambo mengi kwa wanavyodai wenyewe siwezi kuthibitisha lakini
 
Hivi ufuta mnaouzungumzia hapa ni wala gomba (wachanjaji) veve wanautumia au
 
Hakuna..ni kukusanya tu mazao kama unataka kutopoteza sana hela
Kuna hii program iko financed na FAO hapo moro..wanaiita kilimo shadidi cha mpunga, im thinking to enroll aisee..nipate mafunzo...iko njema kwa utafiti kdg niliofanya
 
Njooo arusha chini yakisongo wazungu wote wenyelodge wanalima ufuta yani nilikua napiga field tanesco site nyingi zilikua kisongo nankabatika kuingia kufanya maintainance kwawazungu yaani ukimuliza habari zavitu anavyovifanya ni kulima ufuta tuu naameajiri vijana 30 wakusimamia naanawalipa 200k kwamwenzi achana na hiikitu inapesa balaa ila ndohvyo sina mtaji nlichoambulia tuu nikua na urafiki nalizungu limoja likulima
 
Back
Top Bottom