Uganda: Askofu aitaka serikali kukata fungu la kumi katika mishahara ya waumini wao

Hapo naona kuna watu watabadili dini sasa hv!!!
 
Kasisi ( Padre ) mmoja wa Kikatoliki huko nchini Uganda ameiomba Serikali ya nchi hiyo ianzishe utaratibu ‘ maalum ‘ wa kuwakata Wakatoliki wote Pesa ya Fungu la Kumi moja kwa moja kutoka katika Mishahara yao kila Mwezi kutokana na kwamba wengi wao wamekuwa ‘ wagumu ‘ na ‘ wakwepaji ‘ wa kutoa haki hiyo muhimu kwa Mwenyezi Mungu.

Je Kasisi huyu wa Uganda yupo sahihi kwa hili au nae ameshaanza ‘ Kuwashwawashwa ‘ na labda anawataka tu ubaya Wakatoliki wa nchini Uganda? Na je vipi hili nalo likiigwa na Makasisi wa Kanisa Katoliki la Tanzania?

Nawasilisha.
 
Huyo kasisi n wa Kenya au Uganda mkuu??
 
Kila kanisa lina matumizi yake na waumini wake sasa hapo msimamizi atakua makao makuu?
 
Huyo kasisi anamaanisha catholic church ni wapiga dili kinnyume na mafundisho ya Yesu . Fungu la kumi toa mwenyewe kwa masikini unaowajua na sio kanisani .
 
Sishangai kuona watu wanapotea kwa mafundiaho ya uongo maana airuhusiwi kutoa sadaka,zaka wala fungu la kumi ko wale watakao toa ni watu ambao wamefuata mafunzo ya uongo
Soma mathayo(16:16) ndo utaelewa.
 
Wapentekoste wanatoa bila shuruti,ni kumjua Yesu, sasa wakatoliki na Maria loh
 
Istoshe apo alikuwa anaongea kitani umechukulia serious
 
Wanapenda bure sana
Kodi hawalipi serikalini wanafikiri huduma za jamii zitatolewaje.ni heri ya michezo ya kubet kuliko hizi taasisi zimejaa wezi tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…