Uganda Govt denies pulling out of SGR deal with Kenya

Do you understand the meaning of suspending something??? That means at the moment thet are not dealing with something called SGR. Na article imeeleza pia kuwa ikitokea wakaanza kushugulika na SGR it will take them another three years hadi pale ujenzi kuanza. Meaning a total of 6 yearsπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒβ€β™‚οΈ Huyo ni financer. Sio mbulula nyingine πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kunyatta mbio kaenda kulamba miguu ya Wachina baada ya Macharia kumpa habari ya rejection of phase 2B loan!

good I was waiting for you to arrive....what is your take on this sir?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€au povu tu?
 
yaani nilikuwa nimesema nita ignore ujinga wako ila umeleta jambo ambalo siwezi ignore kamwe...angalia jinsi unavojiaibisha sasa....maana ya suspend eti ni nini?πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜±πŸ˜±πŸ˜±ndio huwa tunawaambia kiingereza kigumu...suspend maanake wewe pimbi ni temporarily halt...not permanent..ok?. yaani simamisha jambo flani kwa muda mfupi..
 
Angalia Rwanda na Tz wanavyo fanya ndiyo utajua maana ya hiyo sentensi. Anyways, we can go on and on, mwisho najua huwezi badili mtizamo wako so kuokoa muda naomba nikutakie usiku mwema.
Umejibu swali vizuri sana.Kwanza mwambie kuwa uzinduzi tunafanya kwa pamojaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚place and location ni Rusumo.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Kunyatta mbio kaenda kulamba miguu ya Wachina baada ya Macharia kumpa habari ya rejection of phase 2B loan!

Wanaenda kufanya ambacho tulisha fanyaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hiyo nikazi ya balozi wetu huko China
 
hahaha nataka tu uniletee mahali ambapo wamesema reli imetupiliwa mbali kama mimi nilivyokuletea usemi wa waziri akikanusha vikali madai ya kuwa Uganda imetupilia mbali reli ya northern corridor... nawe uwe na usiku mwema pia
It has been suspended. Meaning at the moment its not on there tableπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
It has been suspended. Meaning at the moment its not on there tableπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
angalia jinsi unavojiaibisha...kiswahili pia ni lugha...hii lugha ya malkia huwa tunawaambia ilikuja na meli....suspend maanake wewe pimbi ni stop something temporarily.. yaani simamisha jambo flani kwa muda mfupiπŸ˜€πŸ˜€
 
Kwa sasa something called SGR is not on there table. They are holding a map of a meter gaugeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Ukibisha muulize finance minister.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ You ignore me because you fear me.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Huna hoja katika hili. Nakadli unavyotaka twende nitaleta evidence zaidi.
 
sawa bas
 
angalia jinsi unavojiaibisha...kiswahili pia ni lugha...hii lugha ya malkia huwa tunawaambia ilikuja na meli....suspend maanake wewe pimbi ni stop something temporarily.. yaani simamisha jambo flani kwa muda mfupiπŸ˜€πŸ˜€
Once something gets suspended it has a high risk of not returning back. Waliamua kutumia lugha ya ujilani mwema ili maumivu muyasikie kwa mbali.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
angalia jinsi unavojiaibisha...kiswahili pia ni lugha...hii lugha ya malkia huwa tunawaambia ilikuja na meli....suspend maanake wewe pimbi ni stop something temporarily.. yaani simamisha jambo flani kwa muda mfupiπŸ˜€πŸ˜€
Why suspending? And why CS Macharia is calling Uhuru to join loan discussions in Beijing?
 
Why suspending? And why CS Macharia is calling Uhuru to join loan discussions in Beijing?
Discussions za project kubwa kubwa kama hizi huwa zinaendelea kwa muda mrefu tu...zinaweza chukua hata miaka so you dont have a point...cha msingi, minister amekanusha vikali madai hayosasa lia damu
 
Why suspending? And why CS Macharia is calling Uhuru to join loan discussions in Beijing?
Mchina huwa ana discussions once the deal has been closedπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚hakuna kiumbe mwenye hasira za haraka duniani kama mchinaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hainishangazi. Walioeneza huo uongo ni wananchi wa nchi inayojulikana kwa uchawi na wivu.
Nakuona engineer fake unabyojipa moyo. This is the real source. Kutoka kwa finance minister wa UgandaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Huyo ni mnafiki na mzandiki. Tunaenda nae na evidence. Hapa hatujaweka evidence za Macharia bado. Waache kwanza wajimalize tuje tuwatumie fataki za MachariaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…