Uganda imesema itapeleka majeshi kwenda kuilinda Urusi dhidi ya mabeberu endapo uhitaji ukitokea

Uganda imesema itapeleka majeshi kwenda kuilinda Urusi dhidi ya mabeberu endapo uhitaji ukitokea

Sikirimimimasikini

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2019
Posts
2,926
Reaction score
15,634
General Muhoozi wa Uganda ameapa kuwa Uganda itapeleka vikosi vya wanajeshi wake kwenda kuilinda Urusi endapo mabeberu watatishia usalama wa Russia, the mother land.

Marekani imesikitishwa na msimamo wa Uganda kuisapoti Urusi hadi kuwa tayari kupeleka wanajeshi wa Uganda huko Ukraine. Ikumbukwe kuwa Uganda na Urusi zinafanana ktk sehemu ya tamaduni zao ikiwemo kupinga vikali ndoa za jinsia moja (mashoga/wasagaji) ambapo Marekani na washirika wake wanasapoti ushoga na usagaji.

Mungu ibariki Russia, Mungu ibariki Uganda
=====

SmartSelect_20230331-144141_Chrome.jpg
 
General Muhoozi wa Uganda ameapa kuwa Uganda itapeleka vikosi vya wanajeshi wake kwenda kuilinda Urusi endapo mabeberu watatishia usalama wa Russia, the mother land.

Marekani imesikitishwa na msimamo wa Uganda kuisapoti Urusi hadi kuwa tayari kupeleka wanajeshi wa Uganda huko Ukraine. Ikumbukwe kuwa Uganda na Urusi zinafanana ktk sehemu ya tamaduni zao ikiwemo kupinga vikali ndoa za jinsia moja (mashoga/wasagaji) ambapo Marekani na washirika wake wanasapoti ushoga na usagaji.

Mungu ibariki Russia, Mungu ibariki Uganda
=====

View attachment 2572076
Vipaumbele vya nchi za kiafrika ni vipi
Ni kutokomeza umaskini au kujiingiza kwenye migogoro isiyokua na msaada kwa mwananchi wa kawaida
 
General Muhoozi wa Uganda ameapa kuwa Uganda itapeleka vikosi vya wanajeshi wake kwenda kuilinda Urusi endapo mabeberu watatishia usalama wa Russia, the mother land.

Marekani imesikitishwa na msimamo wa Uganda kuisapoti Urusi hadi kuwa tayari kupeleka wanajeshi wa Uganda huko Ukraine. Ikumbukwe kuwa Uganda na Urusi zinafanana ktk sehemu ya tamaduni zao ikiwemo kupinga vikali ndoa za jinsia moja (mashoga/wasagaji) ambapo Marekani na washirika wake wanasapoti ushoga na usagaji.

Mungu ibariki Russia, Mungu ibariki Uganda
=====

View attachment 2572076
Huyu jamaa ni mlevi kupindukia maneno mengine anayasema wakati amekunywa.
 
Huu ujenerali wa kuletewa chumbani nao ni tatizo! Kubebwabebwa naye anajiona mbabe! Mtu mwenyewe sura utafikiri demu!
Huwa nashangaa generali anakuwaje na sura soft hivyo?

Hata generals wa tz tu hapa japo hakuna vita sana ila sura zinaashiria vyeo, huyu jamaa yuko soft sana kuanzia sura, vitendo hadi akili, general huwez kuwa mtu wa kupayuka payuka kila mara.

Trust me huyu jamaa huwa ni mental case
 
Vipaumbele vya nchi za kiafrika ni vipi
Ni kutokomeza umaskini au kujiingiza kwenye migogoro isiyokua na msaada kwa mwananchi wa kawaida
Anaweza kua anahoja huyo dogo wa Museven ila sema wewe hujaiona.

Kama Leo hii vita ikitokea baina ya Urusi na west,na kisha west kushinda yaani Urusi kushindwa unafikiri Nini Marekani atafanya kwa Dunia?

Maana yangu ni kwamba Urusi akishindwa Marekani anaweza kuiamrisha Dunia ifanye anavyotaka yeye na hamna mtu wa kumpinga.
Kwa mfano mdogo TU USA aamuru nyie waafrika Hakuna haja ya kua na viwanda mama, Bali viwanda vya kuchakata malighafi TU.
Na mtatuuzia sie hayo malighafi kwa bei tutakayopanga sisi,yaani wao.
Kuna mtu.atabisha?
Huo ni mfano TU.nia ni kuonesha kua ni Bora Urusi iwepo ili
kuwe na balance of power.
Ndio maana ya baadhi ya nchi kuchagua upande.
 
Jeshi gani alilo nalo? Africa inadharaulika kwa mambo ykukosa akili kama hivi.
Hapana ndugu sio kukosa akili,hapo jamaa ameshachagua upande.

Kama ulisoma vizuri WWII kulikia pia Kuna waafrika walienda vitani kupigana.

Hata hivyo mbona Kuna mtanzania alikufa akipigana upande wa Urusi?
 
General Muhoozi wa Uganda ameapa kuwa Uganda itapeleka vikosi vya wanajeshi wake kwenda kuilinda Urusi endapo mabeberu watatishia usalama wa Russia, the mother land.

Marekani imesikitishwa na msimamo wa Uganda kuisapoti Urusi hadi kuwa tayari kupeleka wanajeshi wa Uganda huko Ukraine. Ikumbukwe kuwa Uganda na Urusi zinafanana ktk sehemu ya tamaduni zao ikiwemo kupinga vikali ndoa za jinsia moja (mashoga/wasagaji) ambapo Marekani na washirika wake wanasapoti ushoga na usagaji.

Mungu ibariki Russia, Mungu ibariki Uganda
=====

View attachment 2572076
Ombaomba anapojiapinza kumtoa out lunch tajiri tena 5star hotel.

Dunia ina vituko aisee🤣
 
Kuna mipumbavu itaamini kabisa kuwa Uganda ana jeshi la kupeleka Russia...🤣
Kwa wewe kupeleka jeshi kwako Ni ajabu?
Kwani Uganda kujitambulisha kua itapigana upande wa Urusi haiwezekani?
Mbona wakati wa Gulf war Kuna askari kutoka Afrika na nchi za Asia walipigana upande wa USA?
Au WWII walikuwepo mababu zetu walipigana upande wa Uingereza?
Ama mbona Kuna mtanzania alipigana upande wa Urusi kupitia Wagner?

Uliposikia watapeleka jeshi jeshi unadhani wataenda na silaha zao?

Kwa kifupi ni kwamba,hiyo Hali ya kuipiga Urusi ikitokea Kuna nchi nyingi sana zitaingia upande wa Urusi.
Kwa sababu TU watakua na hofu kua Urusi ikishindwa USA itazinyanyasa sana.
Mfano china,Iran,Korea Kaskazini,Syria na nyingine kama hizo.
Kinachotakiwa ni manpower TU,silaha utazikuta hukohuko.
 
Anaweza kua anahoja huyo dogo wa Museven ila sema wewe hujaiona.

Ka Leo hii vita ikitokea baina ya Urusi na west,na kisha west kushinda yaani Urusi kushindwa unafikiri Nini Marekani atafanya kwa Dunia?

Maana yangu ni kwamba Urusi akishindwa Marekani anaweza kuiamrisha Dunia ifanye anavyotaka yeye na hamna mtu wa kumpinga.
Kwa mfano mdogo TU USA aamuru nyie waafrika Hana hajabya kua na viwanda mama Bali viwanda vya kuchakata malighafi TU.
Na mtatuuzia sie hayo malighafi kwa bei tutakayopanga sisi,yaani wao.
Kuna mtu.atabisha?
Huo ni mfano TU.nia ni kuonesha kua ni Bora Urusi iwepo ili
kuwe na balance of power.
Ndio maana ya baadhi ya nchi kuchagua upande.
Kwan sahivi mrussi anamzuia nin marekani ama hujui marekan ni superpower na ndo mtawala wa dunia
Na ili russia atawale dunia na anatakiwa na gdp kubwa na si vinginevyo
 
Back
Top Bottom