Uganda imesema itapeleka majeshi kwenda kuilinda Urusi dhidi ya mabeberu endapo uhitaji ukitokea

Uganda imesema itapeleka majeshi kwenda kuilinda Urusi dhidi ya mabeberu endapo uhitaji ukitokea

Hivi unaijua akali ya huyo mtoto wa Mseven wewe?
Ngoja kesho aje na tishio la kuivamia Tanzania ndo utamjua vizuri.
Ebu waulize wakenya wanavyotishiwa na huyo jamaa ndo utajua.
Hilo ni debe tupu Kama hujui.
 
Anaweza kua anahoja huyo dogo wa Museven ila sema wewe hujaiona.

Ka Leo hii vita ikitokea baina ya Urusi na west,na kisha west kushinda yaani Urusi kushindwa unafikiri Nini Marekani atafanya kwa Dunia?

Maana yangu ni kwamba Urusi akishindwa Marekani anaweza kuiamrisha Dunia ifanye anavyotaka yeye na hamna mtu wa kumpinga.
Kwa mfano mdogo TU USA aamuru nyie waafrika Hana hajabya kua na viwanda mama Bali viwanda vya kuchakata malighafi TU.
Na mtatuuzia sie hayo malighafi kwa bei tutakayopanga sisi,yaani wao.
Kuna mtu.atabisha?
Huo ni mfano TU.nia ni kuonesha kua ni Bora Urusi iwepo ili
kuwe na balance of power.
Ndio maana ya baadhi ya nchi kuchagua upande.
Wewe naye unajiita GT humu jamvini dah watanzania safari tunayo katika uga wa kimataifa aise

Kwa mawazo yako madogo hayo, unafikiri Russia wana cha kuzuia duniani hapa kwa sasa?

West wanaweza fanya lolote hata kwako na Russia hana cha kufanya, eg. Gaddafi, Osama, Afghanistan, Saddam, Maduro wa Venezuela ameomba poo, etc

Tumia akili, Russia naye anacho kitafuta leo ni kutambuliwa na wakubwa wa dunia hii sawa

Juzi Sudan wamelia UN walidhani Russia wangew-army but wapi, so kudanganya labda watoto wenzio ok
 
General Muhoozi wa Uganda ameapa kuwa Uganda itapeleka vikosi vya wanajeshi wake kwenda kuilinda Urusi endapo mabeberu watatishia usalama wa Russia, the mother land.

Marekani imesikitishwa na msimamo wa Uganda kuisapoti Urusi hadi kuwa tayari kupeleka wanajeshi wa Uganda huko Ukraine. Ikumbukwe kuwa Uganda na Urusi zinafanana ktk sehemu ya tamaduni zao ikiwemo kupinga vikali ndoa za jinsia moja (mashoga/wasagaji) ambapo Marekani na washirika wake wanasapoti ushoga na usagaji.

Mungu ibariki Russia, Mungu ibariki Uganda
=====

View attachment 2572076
Huyu jamaa ni mlevi wa pombe, na hajui chochote sema ni kubebwa na ufalme wa baba ake, yeye ajiandae kurithi ufalme but kichwani nothing
 
Huyu atakuwa jenerali Ulimwengu 😂
 
Wafrikq tukuwa tuna shida kwenye uelewa wetu.
Barabara yq kutoka mutukula hadi kampala ni mbovu kupitiliza , halafu kiongozi anatangaza kwenda kusaidia Urusi
 
General Muhoozi wa Uganda ameapa kuwa Uganda itapeleka vikosi vya wanajeshi wake kwenda kuilinda Urusi endapo mabeberu watatishia usalama wa Russia, the mother land.

Marekani imesikitishwa na msimamo wa Uganda kuisapoti Urusi hadi kuwa tayari kupeleka wanajeshi wa Uganda huko Ukraine. Ikumbukwe kuwa Uganda na Urusi zinafanana ktk sehemu ya tamaduni zao ikiwemo kupinga vikali ndoa za jinsia moja (mashoga/wasagaji) ambapo Marekani na washirika wake wanasapoti ushoga na usagaji.

Mungu ibariki Russia, Mungu ibariki Uganda
=====

View attachment 2572076
Mzee hajastukia, huenda mwanae anakula msuba
 
Kwan sahivi mrussi anamzuia nin marekani ama hujui marekan ni superpower na ndo mtawala wa dunia
Na ili russia atawale dunia na anatakiwa na gdp kubwa na si vinginevyo
Kuna mambo mengi TU anamzuia ,mfano mdogo TU ni Jinsi Urusi alivyomzuia Marekani asimuondoe Rais Assad wa Syria na Rais Madulo wa Venezuela.

Kuna mengi zaidi ya hayo.
 
Wewe naye unajiita GT humu jamvini dah watanzania safari tunayo katika uga wa kimataifa aise

Kwa mawazo yako madogo hayo, unafikiri Russia wana cha kuzuia duniani hapa kwa sasa?

West wanaweza fanya lolote hata kwako na Russia hana cha kufanya, eg. Gaddafi, Osama, Afghanistan, Saddam, Maduro wa Venezuela ameomba poo, etc

Tumia akili, Russia naye anacho kitafuta leo ni kutambuliwa na wakubwa wa dunia hii sawa

Juzi Sudan wamelia UN walidhani Russia wangew-army but wapi, so kudanganya labda watoto wenzio ok
Unajua hua sipendagi kubishana na wewe kwa sababu nahisi una matatizo ya akili.
Maana tokea umeeleweshwa maana ya neno Great thanker basi wewe Kila mjadala kwako ni unahoji watu kama ni ma great thinker.
Kwa kifupi kijana acha kuparamia watu humu kwa maneno ya kipumbavu.
Maana watu wenye akili,wasomi na walioelimika Huwa hawapuuzi maoni ya watu wengine hata kama ni kiwango Cha chini kiasi Gani.
Sasa wewe sifa za watu wenye akili wasomi na walioelimika huna ndugu,wewe ni mtu unaepapatikia watu TU humu Jukwaani.
Mtu mwenye akili hawezi kua kama wewe,maana hujui unabishana na nani kuweza kufikia kutoa maneno ya kipumbavu hivyo.
Unajuaje pengine naweza kua baba Yako?
Tumia akili zako ndogo ulizonazo dogo kujifunza kutoka Kwa wenzako,maana hata uweje huwezi kujua Kila kitu.
Na ninasema Tena kwa ufinyu wako wa akili sitakujibu Tena hata utoe matusi kiasi Gani.
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Muhoozi ni mtoto tu wa Rais hana cheo chochote Serikalini kwa nini kauli yake ichukuliwe kama kauli ya Serikali ya Uganda.
 
Afu huyu Muhoozi ni Mtanzani wa kuzaliwa kabisa aje achukue Nchi,atuondolee hizi ngonjela za CCM & CDM
 
Jamaa anajua kuropoka
Kuna wakati aliwaandama wa Kenya ila mzee akamtuliza na yeye akaomba msamaha
Huyu naona ganja sana
 
Kuna mambo mengi TU anamzuia ,mfano mdogo TU ni Jinsi Urusi alivyomzuia Marekani asimuondoe Rais Assad wa Syria na Rais Madulo wa Venezuela.

Kuna mengi zaidi ya hayo.
Kwani hata marekani si amenzuia russia asiichukue ukraine na asiwe na ushawishi ulaya
 
Bora kuchagua 'mme' mapema. Mambo ya kutofungamana na upande wowote kunapelekea 'kubakwa' kunakopitiliza.
 
Hivi unaijua akali ya huyo mtoto wa Mseven wewe?
Ngoja kesho aje na tishio la kuivamia Tanzania ndo utamjua vizuri.
Ebu waulize wakenya wanavyotishiwa na huyo jamaa ndo utajua.
Hilo ni debe tupu Kama hujui.
Aishie huko huko kwa wakunya wanaopigwa na vimbaumbau wa somalia, hapa asithubutu
 
Back
Top Bottom