jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Mwenyezi Mungu aliangamiza kizazi cha Sodoma na Gomola sababu ya mambo kama haya, dume kuoana na dume jengine huyo ni ufilauni.. au Jike kuoa jike jenzie nao ni ufilauni vilevile.
Hongera Bishop.
Africa will remain to be Africa.
Aliangamiza ila haukuisha na uliendelea mpaka leo hii umeukuta na utauacha,shida watu wanapambana na matokeo sio chanzo cha tatizo.