Uganda kimeumana; Mashoga waanza kufukuzwa nyumba za kupanga

Uganda kimeumana; Mashoga waanza kufukuzwa nyumba za kupanga

Kweli nimeamini Uganda hawana utani kabisa, kampeni takatifu ya kuwafyeka mashoga imeanza kwa kasi ya 5G

Wenye nyumba wameanza kuwatimua mashoga kwenye nyumba zao kwasababu sheria iko wazi kabisa ukimpangisha shoga na wewe unafyekwa jela

Nimeamini Rais Museveni akisema huwa anamaanisha jamaa kweli ni kiboko ya Mashoga na wasagaji

View attachment 2641763
Mu7 mutu ya kazi USSR Putin mtupu
 
Watakimbilia bongo, maana Uganda ukidakwa unanyongwa.
watafanya ila itakua ni kimya kimya sas wakati wananyanduana nani atajua kam kuna mikunjano humo ndani mfan kam madawa ya kulevya yanpgwa marufuk kote dunian ukikamatwa ni kisanga lakin si yanauzwa? watu si wanatumia? Na ushoga uganda itakua hvyo.
 
Ila najua unasherehesha tu, wewe ulikua kipanga,
Kuna watu wakishaona comment yako tu wanazima na data presha zinawapanda na kushuka [emoji38][emoji38][emoji38]

Hahahaaaaaaa.....

Watazima sana data, maana humu nipo sana mpaka vishoka wote watokomee. [emoji23][emoji119]
 
Back
Top Bottom