Uganda kimeumana; Mashoga waanza kufukuzwa nyumba za kupanga

Mu7 mutu ya kazi USSR Putin mtupu
 
Watakimbilia bongo, maana Uganda ukidakwa unanyongwa.
watafanya ila itakua ni kimya kimya sas wakati wananyanduana nani atajua kam kuna mikunjano humo ndani mfan kam madawa ya kulevya yanpgwa marufuk kote dunian ukikamatwa ni kisanga lakin si yanauzwa? watu si wanatumia? Na ushoga uganda itakua hvyo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]

Nilinyooshwa haswa! [emoji23][emoji119]
Ila najua unasherehesha tu, wewe ulikua kipanga,
Kuna watu wakishaona comment yako tu wanazima na data presha zinawapanda na kushuka [emoji38][emoji38][emoji38]
 
Ila najua unasherehesha tu, wewe ulikua kipanga,
Kuna watu wakishaona comment yako tu wanazima na data presha zinawapanda na kushuka [emoji38][emoji38][emoji38]

Hahahaaaaaaa.....

Watazima sana data, maana humu nipo sana mpaka vishoka wote watokomee. [emoji23][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…