wewe ni Daniel Elisha nini?Sasa kama kakamatwa anategemea kutangazwa kuwa yeye ndiye kashinda kweli? Hapa ndipo napo yakumbuka Maneno ya Yesu Kristo "Je ikiwa mti mbichi unatendewe hivi Itakuwaje kwa mti mkavu"?
mbona nasikia twitter na Facebook zimefungiwa??Nafatilia matokeo ambayo yanatumwa kutoka kwenye vituo kwenye Twitter naona Museven anakimbizwa sana na Besigye... Lakini kesho utashangaa matokeo yamebadilika kama yalivyobadilika ya Lowassa..
Unamaana hadi mbowe yumo humoTRUMP ALISHASEMA KUHUSU WAAFRICA
mkuu kumbe una account nyingi hivi??Asante Sana NA SHIKAMOO Rais Wa Maisha, Museveni Kaguta Yoweri
Demokrasia imetoka ancient Afrika aka alkebulan ikaenda Greece ndio hadi Marekani, na hata wao wenyewe hakuna demokrasia wanafanya tokea Kennedy assassination.Demokrasia ya Marekani imegoma kufanya kazi Afrika, hamna nchi hata moja iliyofaulu kuonyesha demokrasia ya kweli. Itakua bora tutafute mfumo tofauti.
Hakuna sababu ya kuandaa uchaguzi kwa kutumia gharama nyingi ilhali watu hawako tayari kuachia madaraka tena wengine wanasema kabisa wazi wazi kuwa hatutoi nchi kwa wapinzani....hizo hela za uchaguzi si ni bora zingeelekezwa kwenye miradi mingine ya kijamii tu......alafu wakipelekwa THE HAGUE wanasema wanaonewa......Tena maigizo yasiyo na kificho, maana Tangu napata akili sijawahi kuona nchi yoyote Afrika ikifuata Misingi ya Kidemokrasia hasa hili la uhuru wa mawazo,ukiwa mpenda haki na msema kweli utapakwa chombo au utafanywa kama walichofanywa akina kubenea na bwa kibanda.
Walifungia kuanzia asubuhi nadhani wamefungua jioni hii...mbona nasikia twitter na Facebook zimefungiwa??
Nimesema "demokrasia ya Amerika", siyo lazima iwe demakrasia halisi ama asili.Demokrasia imetoka ancient Afrika aka alkebulan ikaenda Greece ndio hadi Marekani, na hata wao wenyewe hakuna demokrasia wanafanya tokea Kennedy assassination.
Shika Adabu Yako Acha Kunifananisha Kwani Duniani Tupo Wawili Wawili.mkuu kumbe una account nyingi hivi??
yeah, i bet hapa mpo zaidi ya wawiliShika Adabu Yako Acha Kunifananisha Kwani Duniani Tupo Wawili Wawili.
Hususani kuhusu huyo Museveni na Mugabe.TRUMP ALISHASEMA KUHUSU WAAFRICA
GhanaTena maigizo yasiyo na kificho, maana Tangu napata akili sijawahi kuona nchi yoyote Afrika ikifuata Misingi ya Kidemokrasia hasa hili la uhuru wa mawazo,ukiwa mpenda haki na msema kweli utapakwa chombo au utafanywa kama walichofanywa akina kubenea na bwa kibanda.