Ni tabia za ki CCM kujiita wazalendo kumbe blabla,ndio wanyonyaji wakubwa wa raslimal za nchi.Ndio hao utawaskia wanajifanya tuwe wazalendo hata kwenye mambo ya uwongo.kwa kasi yetu ya ujenzi wa viwanda, miaka mitano ijayo tutaizidi uchina, HAYA SHANGILIA KIZALENDO SASA!Kwenye ukweli sema kweli hata kama unauma, mtu akikuzidi mbinu kubali ili uangalie ni wapi unakosea uongeze kasi, sasa wewe ukikalia blah blah kujisifia kwingi maneno tupu bila vitendo wakati wenzako wanasonga, ati unajiita mzalendo utachekwa tu! mtabaki kusema, aah miaka ya elfu mbili wale tulikuwa level moja , vueni magamba hayo!