Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
Kutoka kushoto Mkurugenzi Mtendaji wa TPDC Dr G Mataragio kaimu katibu mkuu wizara ya nishati na madini Eng Ngosi katibu mkuu nishati na madini Uganda Kabagambe CEO Total E&P Bwana Fayemi wakipongezana baada ya kutia saini hati ya makubaliano.
Heshima sana wanajamvi,
Serikali ya Uganda, kampuni ya Total E&P na Serikali ya Tanzania kupitia TPDC wametiliana saini mkataba wa kujenga bomba la mafuta kwa ajili ya kusafirisha mafuta ghafi ya Uganda.
Hatua ya Serikali ya Uganda kuamua kupitishia mafuta yake bandari ya Tanga na kuipa kisogo bandari ya Mombasa ni pigo kubwa kwa Serikali ya Jubilee inayoongozwa na Rais Uhuru Kenyatta.
Ikumbukwe kumekuwa na juhudi kubwa za kuitenga Tanzania baada ya nchi za Uganda, Rwanda na Kenya kuunda muungano wao ndani ya EAC unaojulikana kama CoW ambao umeshindwa kufurukuta dhidi ya maslahi mapana ya kiuchumu hasa baada ya kuitenga Tanzania. CoW wameanzisha visa ya pamoja ambayo imeshinda kufurukuta,CoW walianzisha standby force wameshindwa.
Zaidi ya 80% ya biashara yote inayofanyika ndani ya EAC ni baina ya Tanzania na Kenya wataalamu wa masuala ya uchumi na biashara waliishangaa sana Serikali ya Kenya ilipokubali kuitenga Tanzania huku ikifahamu umuhimu wa Tanzania katika Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Inatazamiwa uchumi wa Tanzania utakuwa mkubwa kuliko uchumi wa Kenya hasa baada ya gesi nyingi kugunduliwa katika taifa hilo kubwa kuliko mataifa yote kwa pamoja ya Afrika Mashariki. Tanzania inatazamiwa kuiuzia Kenya Gasi na Umeme na bidhaa za chakula.
==================================
Tanzania and Uganda have signed an agreement that paves the way for studies to explore the possibility of building a pipeline to the Tanzanian port of Tanga.
Uganda has been looking at various options of developing the crude oil export pipeline, which include Hoima-Lacor-Lamu Port, Hoima-Nairobi-Mombasa, and now Hoima-Tanga.
Dr Fred Kabagambe-Kaliisa, Permanent Secretary of Uganda's Ministry of Energy and Mineral Development, said the deal will help the parties to appraise the merits of a crude export pipeline option through Tanzania with a view to achieving the lowest unit transportation cost for crude oil from Uganda.
"If we get the least cost pipeline to Tanga, then our crude oil will be exported cheaply. We need to carry out due diligence, which requires technical work, to inform our citizens about the end-user tariffs and the memorandum of understanding sets the stage for carrying out detailed evaluation," Dr Kabagambe-Kaliisa said.
The parties seek to identify and assess the least cost crude oil export pipeline from Hoima to the Tanga Port.
"The objective is to select a route that will result in the lowest unit transportation cost and constitutes the most viable option for the pipeline project," the PS added.
The deal follows an earlier MoU signed between Uganda and international oil companies licensed in the country for the commercialisation of the newly discovered petroleum resources.
The new MoU features Total Exploration and Production Uganda and Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC).
Tanzania's acting Permanent Secretary of Tanzania's Ministry of Energy and Minerals Ngosi Mwihava said that Dar es Salaam this infrastructure will cement regional co-operation.
Oil companies in Uganda have been in discussions with Tanzania for an alternative pipeline route through Tanga despite the recent agreement between Presidents Yoweri Museveni and Uhuru Kenyatta to build one from Hoima to the Kenyan coast.
Source:AllAfrica
Nakala : simplemind Geza Ulole msemakweli Kenyan MK254 bagamoyo ........