Uganda kusafirisha mafuta ghafi kupitia bandari ya Tanga

Uganda kusafirisha mafuta ghafi kupitia bandari ya Tanga

Nilishangaa Uganda walitupa offer ya kununua hisa za oil refinery yao tukakataa......tungekuwa tunapata mafuta cheaper kuliko kuimport. Hizo dollars tungesave na kuinvest kwenye mambo mengine. Tuna ombwe la uongozi aisee hao waliopo ni mazombie tu!
viongozi wetu wana iq ndogo hizo analysis hawawezi kufanya.
 
Sasa ni dhahiri shirika kubwa la kimataifa la mafuta TOTAL na serikali ya Uganda inaangalia kwa makini suala hili la bomba la mafuta lipite katika bandari ya Tanga, Tanzania badala ya kule Lamu, Kenya chini ya mradi wa LAPSSET LCDA .
 
Tanzania ilitakiwa inunue mafuta ya Uganda kwa bei rahisi na sio kukimbilia Mashariki ya Kati.

Wewe Bavaria nani alikuambia Uganda mafuta ni cheaper kuliko mashariki ya kati, oil price ni universal katika world market,mafuta ya Uganda yanamilikiwa na western capitalist sio Museveni,only Chaves who nationalize oil sector ndio alikuwa akipanga bei zake na kugawa mafuta bure kwa maskini wa Cuba na wakomunist wenzake
 
Nilishangaa Uganda walitupa offer ya kununua hisa za oil refinery yao tukakataa......tungekuwa tunapata mafuta cheaper kuliko kuimport. Hizo dollars tungesave na kuinvest kwenye mambo mengine. Tuna ombwe la uongozi aisee hao waliopo ni mazombie tu!
Hivi nyie mkiwa mnaandika mnaelewa mnachoandika au?
 
Hiyo ni kati ya TOTAL na GoT. Serikali ya Uganda bado inasisitiza bandari ya Mombasa/Lamu.
TOTAL wanahofia ujaribu wa Lamu na Somalia, esp. Al Shaabab.
Tullow na CNOOC wapo upande wa Lamu.
Ngoma bado mbichi Ila Lamu port unaweza kuwa mradi mmoja usioenda shule.
 
Mkataba wa studies!
Seemingly no decision made.
 
Wewe Bavaria nani alikuambia Uganda mafuta ni cheaper kuliko mashariki ya kati, oil price ni universal katika world market,mafuta ya Uganda yanamilikiwa na western capitalist sio Museveni,only Chaves who nationalize oil sector ndio alikuwa akipanga bei zake na kugawa mafuta bure kwa maskini wa Cuba na wakomunist wenzake


Najua hilo la bei moja.
Ila ninachosema ni jinsi ya kupunguza gharama na muda kusafirisha mafuta toka mashariki ya kati.
 
Hiyo ni kati ya TOTAL na GoT. Serikali ya Uganda bado inasisitiza bandari ya Mombasa/Lamu.

TOTAL wanahofia ujaribu wa Lamu na Somalia, esp. Al Shaabab.

Tullow na CNOOC wapo upande wa Lamu.

Ngoma bado mbichi Ila Lamu port unaweza kuwa mradi mmoja usioenda shule.


Tanzania tuna geographical advantage hasa ku-capitalize biashara ya afrika mashariki na kati.
Kuanzia bandari ya mtwara hadi ya Tanga.
 
images
images
images
images


Hahaha nimekuelewa kaka.
Utakuta mradi wa bilion 3 ila ndani utakuta VX za kutosha.
 
Wakenya byeeee

Ndugu Root wewe hufahamu vitu vingi.

La kwanza hamna cha kutenga mwenzio.katika uchumi wa leo. its meaningless. uliza obama. aliuona upuzi wa kuutenga cuba kiuchumi na kisiasa ilhali wao cuba wanatrade na US indirect kupitia nchi zingine kv Canada. Penda usipende kenya bado kipaumbele kwa nyanja mbali mbali kv ubunifu(innovation). Hivi unadhani natural resource peke yake ndo ina endesha uchumi. tusi jaribu compare ICT sekta za nchi husika na ya kenya please. tutaibishana bure.

pili.hio taarifa uukifatilia vizuri inahusika na juhudi za waganda kutafuta route mwafaka wa kuupeleka mafuta yao bandarini. yaani bado wako kwenye feasibility stage. iwapo wataupata huu njia ya kupitia TZ ndo bomba na basi itakuwa ni haki yao kuamua hivyo. kumbuka sio gharama au distance pekee bali factors kv usalama njiani. Waganda wanao experience kwa hizo security headache wakipitisha bidhaa kenya. wako na objectives zao.

tatu. hebu tizama ramani utapata kujua kenya highlands na miinuko kv nandi escarpment na kikuyu escarpment vinavyo zuia cheap pumping. Ndo maana wamechagua Hoima Lacor Lamu kama mojawapo za route kwa vile hauna extremes za miinuko. Pia hizo eneo za kaskazini kenya idadi chache ya watu na usisahau ndo route fupi kuliko ya TZ. hilo route itapitia rwenzori - ankole region-buganda region-Kagera-Geita-Mwanza-Simiyu-Arusha-Manyara-Tanga.Jamaa hio route ni ya kupanda na kushuka kwingi mno.pumping costs ndo hizo nazo. Awamu ya hoima to lamu sana sana muumbo wake ni wa kushuka karibu 90% . Geografia ya EAC bro.

mdau Root wewe ungekua decision maker uganda ungechukua route yenye inakupa
1. cheaper punping costs.
2. shorter route.
3. modern port.
4. marketing infrastructure.

AU
1. prohibitive pumping costs.
2. longer route.
3. non modern port facility.
4. poor marketing structures by comparison.

Tafakari bro.
 
Last edited by a moderator:
Engine ya nini wakati hatuna umeme wala maji na hata huduma za afya taabu wewe ni mmoja wapo wa wanufaika na mfumo uliopo
mkuu tumeshindwa Tu kutumia rasilimali tulizopewa na MUNGU kwani tungetumia tungeshindana na Nigeria,south Africa na misri sio kina Kenya.
Lakini kinachofanyika Ni kuhujumu uchumi WA Tanzania tunawanufaisha wazungu kwa kuweka ela kwao wanazitumia kwa biashara zao huku wanatucheka.
 
Back
Top Bottom