mchambawima1
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 2,487
- 738
hayo ni yako na ndugu zako MALCOM LUMUMBA BukyanagandiInyenzi mkubwa wewe, hamna cha kufanya mbele ya Tanzania na agenda zenu zimefikia mwisho. Namaanisha zimefeli.!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hayo ni yako na ndugu zako MALCOM LUMUMBA BukyanagandiInyenzi mkubwa wewe, hamna cha kufanya mbele ya Tanzania na agenda zenu zimefikia mwisho. Namaanisha zimefeli.!!
OK! kila la kheri...Sina cha kujadili na wewe, kapumzike baada ya harakati za kuichafua Burundi. Tunasubiri Kagame na Museveni waingie kibla, sisi ni kuwapiga tu, hatuna majadiliano na wauaji.
ngoja watanzania nao wafwatilie ile mizigo uliyotuma kule Pakistani na mwenzako Bukyanagandi ndio utajuwa kwa nini waharifu wanaikimbia Rwanda!Nyie katika umoja wenu mnawafanya nini baadhi ya ndugu zenu wanyarwanda.?? Mnawakaribisha wanyarwanda waishio nje ya nchi na wengine mnawaua huko huko walipo, ni binadamu gani atakayekubali kuondoka nchi ya amani na kwenda kuishi katika nchi iliyojaa vitisho ya Rwanda.
punguza kuendeshwa kwa hisia wewe...Msalimie Kazarama na Makenga, waambie baada ya JWTZ kuwaondoa kule Kongo bado tunawatafuta kufuatia uharifu wa kivita. Wana mengi ya kujibu katika mahakama ya ICC.
kwani mtakubali hata kama hakuna ushahidi? yaani mtu ajiandikie tu halafu mkubali?Itakuwa ni jambo la heri na usalama kwa nchi yetu. Maana tumezungukwa na maadui wengi ambao hawaitakii mema Tanzania, baada ya hapo waripoti tena tuna kiwanda wapi cha kutengeneza mabomu ya acetic hydride teh.! teh.! teh.!
kwani Tanzania lilikuwa taifa la magaidi mbona wanaharakati wote walikuwa wakiishi huko, hau hauyajuwi hayo? read your own history ma friend!Hisia zipi.?? Yuko wapi msemaji wa kikundi cha jeshi la M23.?? Yuko wapi kiongozi wa kikundi cha jeshi la M23.??
huwa hauchelewi... usha anza kusiliba! kiumbe gani amabye haruhusiwi kununua hisa popote pale? muulize mkwere atakuambia! mi nona ushaanza ile misokoto yako...Unafikiri serikali ya Tanzania ni kama kampuni ya simu ya MTN.?? Kila kiongozi mwenye pesa zake ananunua hisa na anakuwa sehemu ya utawala kama Kagame na Museveni wanavyofanya.
hapana! punguza bangi! ninachosema ni kwamba hakuna serikali duniani isiyokubali kupokea wakimbizi! hata wakimbie na siraha, zinasalimishwa na kupewa hifadhi! hayo siyo maneno yangu bali ndio sheria za duniaKwa maana hiyo unataka kusema nini kuhusu viongozi wa M23.?? Unahalalisha ukweli wa uhusika wa serikali ya Kigali na M23 na matukio yote yaliyokuwa yakifanywa na kikundi hicho cha kijeshi nchini Kongo. Vipi kuhusu shutma za serikali ya Bujumbura dhidi ya serikali ya Kigali.?? Kama mlifanikiwa kupeleka vita Kongo, vipi kwa serikali ya Nkurunzinza.?? Mipango yote imeharibika baada ya Tanzania kuingilia kati mzozo wa Burundi.
hayo yako! sijawahi kuona akiandika yuko PARANOID kama wewe!teh teh teh tatizo lako ukiambiwa ukweli, unasema nasokota bangi. Kama mimi ni msokotaji, yule rais wa nchi jirani kaskazini mwa Tanzania atakuwa nani.??
ndio! wamepewa ukimbizi Rwanda, Uganda, South Africa na kwingineko, na ni wakimbizi wa kiCongoman wenye uraia wa DRC!Kwa hiyo leo nimekuwa mvutaji sio.!! Hao viongozi wa M23 wana hati za ukimbizi.?? Kama ni kweli wamehifadhiwa Uganda, walitoka nchi gani.?? Na walikuwa na uraia wa nchi gani hadi wapokelewe nchini Uganda.??
kwa hiyo? punguza kuishi kwa hisia wewe!Kwa sababu mnaamini yeye ni sehemu ya kufanikisha mipango ya Rwanda na Uganda katika ukanda huu wa Afrika Mashariki. Lakini ngoja nikwambie bwana mkubwa sisi ndio tunawajua vizuri kuliko mataifa yote duniani, viongozi wa serikali zenu za Uganda na Rwanda wote walipitia hapa. Kwa hiyo hata mifumo mnayotumia katika serikali zenu iko wazi mbele ya Tanzania.
za kuandika vitu ulivyo lala unaota!Hisia zipi bwana mkubwa.??
ndio maana nakuita mvuta bangi halafu unapinga! kwa hiyo kelele zote hizo haujuwi wanyamurenge ni watu gani? yani afadhali hata ya jMali anayevutia upande wake kwa sababu zinazoeleweka na sio wewe unayepiga kelele bila hata ya kujuwa unayoyasema...Sultan Makenga na Vianney Kazarama ni wakongo wenye asili gani.?? Ni muendelezo wa miaka ya 1998 baada ya vita vya pili nchini Kongo, kuna masalia walibaki ili kufanikisha mipango ya Kagame na Museveni katika nchi ya Kongo.
you mean X-FAR? wewe unamatatizo kichwani kwako ingawa haukubali! FDLR unajuwa ni watu gani? haya kawaambie kwa mara nyingine tena, HATUTAKI KUWASIKIA WALA KUJADILIANA NAO! labda wasubili mbinguni lakini hapa duniani never!teh teh teh kwa hiyo mimi nimelala sio.!! punguza kasi na majibu yako hayo. Tatizo lenu hamtaki kukosolewa wala kuambiwa ukweli, nyinyi kila kitu mnachokifanya ni haki mbele ya jua. Serikali ya Burundi ni haki kufanya makubaliano na upande wa pili, lakini nyinyi hamtaki hata kuwasikia FDLR, ambalo ndio jeshi halali lilokuwa Rwanda hata kabla ya uvamizi wa RPF.
ona sasa unavo rukaruka! haya naona umehamia kwenye mambo ya haki, sasa ni haki gani ambayo we bado unaona haitoshi?Naelewa sana, sema sitaki uniamishe mada unipeleke unapojuwa wewe. Maana haukawihi kuleta stori ndefu zisizohitajika hapa. Mimi sina upande katika serikali yenu ya Kigali, lakini haki lazima ifanyike kwa watu wote na sio baadhi kama Rwanda inavyofanya.
eh eh eh halafu ubishe etu haujatoka kupuliza!Leo imekuwa hivyo tena, muda bado mwingi wa kujipanga. Na jeshi la Rwanda linaelewa kwamba iko siku litatolewa hata baada ya miaka 50 ijayo.
we bwana acha kelele! wapinzani wa kisiasa kama kina nani?Wewe unaona ni sahihi Kagame kuongoza kwa vitisho na kufunga wapinzani wa kisiasa.
wote tumewafunga kwa makosa yao ya jinai na uhaini!Utajuaje mtu anapuliza kama wewe hautumii.?? Naona leo umepewa full package of bundle kuja kushambulia JF.
Yuko wapi Victoire Ingabire na yule mwimbija wa mziki maarufu kwa nyimbo za uhamasishaji.
unataka kuwawakilisha mbele ya sheria? Rwanda kuna watu wa aina zote! karibu sana!Uhaini upi unaomuhusu Victoire na msanii wa mziki.?? Hivi Rwanda kuna watu aina ya kina Anna Mghwira kweli.??
... na ndio faida ya kuwa na majirani wanaoijuwa na kuiheshimu sheria kama Tanzania! usijali basi tutatuma vijana wetu waje kujifunza huko huo ufwatishaji wa sheria au hautakubali?Rwanda hakuna utawala wa sheria, kuna utawala wa Kagame na genge lake.
Duh! we balaa, you simply don't get it! wafuwasi wa M23 ni wanyamulenge ambo DRC ni nchi yao ki halali...Njooni lakini kabla ya kuvuka mpaka lazima mtume majina ili tuyafanyie vetting, ili msije mkatuletea wafuasi wa M23.