Uganda. Mama aliyejifungua mapacha wawili wenye baba tofauti

Uganda. Mama aliyejifungua mapacha wawili wenye baba tofauti

Wanaume wawili nchini Uganda Joseph Baseka Sengendo (25), Patrick Ssegane (30) wameingia katika mgogoro baada ya Mwanamke mmoja kujifungua watoto mapacha na kila mmoja kudai ni Baba halali wa Watoto hao

Ili kuondoa utata ilibidi kipimo cha vinasaba (DNA) kifanyike na majibu yalithibitisha kuwa wote ni wazazi halali wa watoto hao (kila mmoja ni baba wa mtoto mmoja). Hata hivyo mmoja ya wanaumee hao ni mume wa ndoa wa mwanamke huyo.

Toa maoni yako

Source EATV
FB_IMG_1522484854867.jpg
 
Ukisikia kivuruge ndo hiyo sasa.
Yani uyo mwanamke kavuruga wote mpka kubeba mimba mbili kwa mkupuo
Daaaah.
Apewe tuzo ya malkia wa nguvu
 
Kitanda hakizai haramu watoto wote wa baba ambae ni mume halali wa mwanamke ambao wamefunga ndoa .
 
Jamaa walifanya double penetration then ejaculation at the same time nini, maana sijaelewa
 
Ndyo maana huwa siziamini hustling za wanawake,kama asingegundulika angevisimulia vizazi vijavyo " mm nilidumu kwenye ndoa na mume mmoja ktk maisha yangu yote ya ujana"
 
wabongo baaana shuda saana sasa nyie mnsbisha nini??? mbona kawaida tu. ama nyieshida basi mtaache sie tuinjoyi
 
Back
Top Bottom