UGANDA: Masanduku ya kura zilizopigwa yakamatwa kabla ya tarehe za kupiga kura

UGANDA: Masanduku ya kura zilizopigwa yakamatwa kabla ya tarehe za kupiga kura

Afrika tungerudi tu kwenye uchifu ndio saizi yetu, udikteta kwa kwenda mbele, haya mambo ya demokrasia tuziachie tamaduni zilizoendelea. Afrika bure kabisa.
 
109098765.jpg
 
Ndio maana kwa sasa M7 ameacha kampeni eti anafanya kazi za Serikali.
Afrika mbinu za ushindi huwa zinafanana!!
Kabla ya kampeni si alikuja bongo akalasimishwa njia ile ile mliyotumia au umesahau mtanzania?
 
Hakuna haja ya kuandaa uchaguzi unaogharimu fedha za raia walipa kodi halafu hutaki ushindani M7 ajitangazie urithi wa nchi maana hakuna sababu ya kuandaa uchaguzi wakati hamtaki mabadiliko.
 
Tatizo ni kuwa hao mabeberu mnaowachukia ndio watu pekee ambao wanauwezo wa kumg'atua M7 madarakani. Wanaweza kutumia nguvu za sanctions au nguvu za kijeshi. Lakini kwa sababu Mabeberu wanamsapoti M7 basi huyo mzee ataongoza hadi siku yake ya kufa.
 
Afrika tungerudi tu kwenye uchifu ndio saizi yetu, udikteta kwa kwenda mbele, haya mambo ya demokrasia tuziachie tamaduni zilizoendelea. Afrika bure kabisa.

Uko sahihi, kitu kilichoiharibu Afrika ni kuingiliwa na kuambiwa nini cha kuambiwa bila kuangalia kama kinaendana na mila na desturi zetu. Kila kitu tumeletewa. Kuanzia siasa, utawala, elimu, imani, mavazi, tekinolojia, lugha, muziki, burudani, n.k.
 
Afrika tungerudi tu kwenye uchifu ndio saizi yetu, udikteta kwa kwenda mbele, haya mambo ya demokrasia tuziachie tamaduni zilizoendelea. Afrika bure kabisa.
Tatizo kubwa la uchifu ni vita kila siku. Familia au Mwenye nguvu ndio chief. Asiye na nguvu anajipanga upya.
 
Tatizo kubwa la uchifu ni vita kila siku. Familia au Mwenye nguvu ndio chief. Asiye na nguvu anajipanga upya.
Ndicho kile kile kinachofanyika hata sasa, vyama vya upinzani viko wapi na wana harakati wengine wako wapi.
 
Ndicho kile kile kinachofanyika hata sasa, vyama vya upinzani viko wapi na wana harakati wengine wako wapi.
Sasa tofauti yake ni kwamba, vyama vya siasa vinategemea will of the people wakati Uchief utategemeana na na nguvu za silaha na mapigano.
 
Back
Top Bottom