kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,072
- 1,424
Sasa unataka yapi tena zaidi ya hiiNaona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unataka yapi tena zaidi ya hiiNaona
Ila sijuii paroko alimeza rozari, jamaa alikuwa confident sana hata hajatikisikaasingeweza na wale walifika wakati panga limesha mponyoka zamaaani na hata askofu/padri mwenyewe na msaidizi wake pale wangekua wamesha kimbia
Fact ambaozo umezitoa wewe za kiwafanya watu wakujibu kwa fact zipo wapi???Njoo na fact wewe mfia dini
wapi wewe hukuona alikua anaweka kile kitu chini? ila pia ujue kuna maaskofu wengine wako fiti kimazoezi mwingine angekitumia kujilinda na vingine huwa nj silaha za siri bilamuumini wa kawaida kujuaIla sijuii paroko alimeza rozari, jamaa alikuwa confident sana hata hajatikisika
Ukute pale alikuwa na mguu wa kuku angammiminia jamaa nyingiwapi wewe hukuona alikua anaweka kile kitu chini? ila pia ujue kuna maaskofu wengine wako fiti kimazoezi mwingine angekitumia kujilinda na vingine huwa nj silaha za siri bilamuumini wa kawaida kujua
Mimi nimekuja na mfanoo wa Uganda nawe njoo na mfanoo wakoFact ambaozo umezitoa wewe za kiwafanya watu wakujibu kwa fact zipo wapi???
hahahahaahhah, karibu sanayaani mimi nimefika sasa hivi....
Natumai mko wazima wakuu
Kwa lile jaribio la mashambulizi ya ASKOFU wa Uganda wiki uliyo pita,
Niliona Kuna njemba kama nne zilimbeba yule jamaa kama kiroba cha makinikia, nikathibitisha Ile kauli kuwa
Catholic Church ina jeshi Lake maalum lililovaa kofia ya dini
Sijuii Niko sahihi wakuu......
licha ya mguu wa kuku kile kidude chenyewe ukipigwa nacho vizuri kwenye koromeo au kwenye kiwambo cha hewa/sijui ndo mnaita chembamoyo huchukui roundUkute pale alikuwa na mguu wa kuku angammiminia jamaa nyingi
Mkuu unaabudu nini, au ndo wale waabudu ng'ombe niniWacha watekwe watakapo leta hali ya taharuki kwa wananchi, lazma watekwe na kupotezwa Tanzania kwanza