Uganda;Mwandishi apambana na Askari wa Jeshi mwenye AK47, aishika mdomo na kuugeuzia chini

Uganda;Mwandishi apambana na Askari wa Jeshi mwenye AK47, aishika mdomo na kuugeuzia chini

TODAYS

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2014
Posts
14,747
Reaction score
24,250
Katika hali isiyo ya kawaida, hakuna mtu anayeweza kufanya kitendo cha kijasiri kama hiki kwa kutetea haki na uhuru wake wa kuchukua habari.

20220224_060108.jpg

PHOTO: Askali akimsukuma Lawrence ambaye ni mwandishi wa BukedeTV.

Waandishi wa habari wanaendelea kupata mateso na ukatili kwenye baadhi ya mataifa huku hatua stahiki zinachukuliwa pale tu mtu au taasisi iliyofanya unyanyasaji ikiwa ni ndogo au yenye mkono mfupi ndiyo itaonja joto la jiwe.

20220224_060057.jpg

PHOTO: Askali akimpigq teke Lawrence ambaye katika kujihami alishika mtutu, angalia sura ya Lawrence.

Huyu unayemuona kwenye picha ni mwandishi wa BukedeTV ya nchini Uganda anaitwa Lawrence Kitatta, alikuwa katika moja ya majukumu yake ya kiuandishi wakati wa uchaguzi nchini humo, ni wakati ambao polisi hawakuwa na urafiki na waandishi wa habari.

20220224_060126.jpg

PHOTO: Lawrence alitupiwa teke likampeleka chini.

Kupitia tukio hili unaweza kuzoom na kuangalia sura na haiba ya nje ya Lawrence ili kujua how he was from inner spirit to face soldier, maana katika hali kama hiyo kila mtu anatakiwa kuhusika katika kupigania uhuru, huku ukionyesha furaha.
 
Vitu vingine ni vya kujitakia, sasa alishika huo mtutu ili iweje?? Pumbavu sana waandishi Divisheni Zerro hawa. Kundi la askari Polisi na Waandishi wa habari akili zao Ngoma droo apigwe tu mpaka kende zipasuke
 
Kabla ya kumlaumu huyo muandishi angalia picha hyo vizuri.
Limeanza teke
Vitu vingine ni vya kujitakia, sasa alishika huo mtutu ili iweje?? Pumbavu sana waandishi Divisheni Zerro hawa. Kundi la askari Polisi na Waandishi wa habari akili zao Ngoma droo apigwe tu mpaka kende zipasuke
 
ivi kwa nini askari wengi wa kiafrika wafanyapo shughuli za namna hii hujificha suraaaaa

unaeza kuta ni jirani yakooo hahaaaa aaa
 
Vitu vingine ni vya kujitakia, sasa alishika huo mtutu ili iweje?? Pumbavu sana waandishi Divisheni Zerro hawa. Kundi la askari Polisi na Waandishi wa habari akili zao Ngoma droo apigwe tu mpaka kende zipasuke
NO!.
 
Nina wasiwasi na weledi wa askari huyu kimedani. Huwezi kutoa uhuru kiasi hicho kwa raia ukiwa na silaha ya serikali.
 
Usidanganywe na Inspirational Speakers utakufa
Mkuu adanganywi mtu hapa, tunafaham askali wa kiafrika dhidi ya raia asiye na siraha au hatia ila, nasema ila kufa isiwe sababu ya kushindwa kusema, kudai au kupambania haki yako.

Najua tupo kati ya binadamu kadhaa duniani walio radhi haki kupotea kisa kuogopa kufa although we shall die!.
 
Back
Top Bottom