Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
HUYOOO KAMA SUNGURA SMARTGINDP World hata Mombasa atakwenda
HAPINGWI NDUGUU GOOGLE UONE WAKO WAPI NA WAPI UTAKIMBIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUYOOO KAMA SUNGURA SMARTGINDP World hata Mombasa atakwenda
We bwege kaazime akili km u mpumbavu kiasi hichoHaya ni madhara ya DP World kupewa bandari zote Tanzania.
Hivi kuna nchi yoyote serious inaweza kufanya biashara na Tanzania?
Huu nao ni uongo na upotoshaji, na huu mradi ambao tayari unafanywa na BBN Tanga ni wa mafuta ya kupelekwa wapi!?Rais Rutto amesema wamefanikiwa kuirejesha Uganda kwenye Bandari ya Mombasa baada ya mgogoro uliokuwepo kupatiwa ufumbuzi
Ruto amesema mgogoro huo ulisababisha Uganda ifikirie kutumia Bandari za Tanzania lakini tumewarejesha
Naye Rais Museveni amemwambia Rais Ruto kwamba anafurahi mgogoro umemalizika na mahusiano yameimarika zaidi
Museveni amesema ataendelea kuimport Mchele kutoka Tanzania japo kuna " watu" walijaribu kumzuia na anafanya hivyo kuimarisha Soko la Africa Mashariki
Rais Museveni alikuwa ziarani nchini Kenya
Source: Citizen TV
Huyu ni muongo na mpotoshaji, mradi wa bomba la mafuta tayari ushaanza kufanyika na kampuni ya BBN tayari ipo site wanaendelea na kazi kule TangaHabari kama hizi huwa zinawafurahisha mno chadema! Kama ni kweli leo watagongeana cheers!
Huna taarifa ,alifurushwa kama bobiDP World hata Mombasa atakwenda
Walishagomewa ndugu yangu ukilinganishwa kenya na nchi yetu. Sisi tuna ardhi kubwa kuliko wao lakini viongozi wetu wengi ni Form four failure.DP World hata Mombasa atakwenda
Unajua kinachoongelewa kweli?Sasa Infrastructures ambazo tayari zilishaanza kujengwa itakuwaje?
heee,kumbe hayupo nchini?....siku hizi nimeacha kufuatilia safari zake. itoshe tu kusema acha mama azunguke dunia ale bata.hakuna namnaEeh! Ngoja Mama arudi.
Kama zipi?Sasa Infrastructures ambazo tayari zilishaanza kujengwa itakuwaje?
Nilikurupuka mkuu, nishaona ujinga wangu.Unajua kinachoongelewa kweli?
Kumbe ilikuwa ni ishu za Importation sio Exportation 🤪Kama zipi?
Hii haihusiani na EACOP mkuu,hii ni importation ya mafuta kwenda Uganda kupitia Kenya,sasa hii pipeline ni kama ila ya TAZAMA kutoka Tanzania kwenda ZambiaKumbe ilikuwa ni ishu za Importation sio Exportation 🤪
Hizo nchi 11 ni zipi?Kushindwa kulikamatia hili dili la wese ni ujinga wa hali ya juu, prof muhongo alipambana hadi dili la bomba la mafuta likaja tz, tulishindwa ninj kumtumia kushawishi hili dili libaki?
Tanzania imezungukwa na nchi 11 ambazo hazina bandari bado tumeshindwa kutumia hii fursa tuliyopewa bure na wajerumani wakati wanagawana bara la africa
Hakuna shida. Very intelligent. Congratulations 🎉Nilikurupuka mkuu, nishaona ujinga wangu.
Nishajirekebisha
Unless iwe kwaajili ya kuchukuliwa mafuta kutoka kwenye refinery inayotegemewa kuanza kazi UG, hiyo ni akili kubwa hata sisi tunaweza Jenga tu maana in future Uganda atakuwa anauzia mafuta ya petrol na diesel majirani zake.Hii haihusiani na EACOP mkuu,hii ni importation ya mafuta kwenda Uganda kupitia Kenya,sasa hii pipeline ni kama ila ya TAZAMA kutoka Tanzania kwenda Zambia