Uganda na Rwanda zashtukia mchezo mchafu unaochezwa na Kenya EAC

Uganda na Rwanda zashtukia mchezo mchafu unaochezwa na Kenya EAC

Sasa tatizo liko wapi hapo, elewa hii ni biashara, yaani unyang'au mwanzo mwisho, kama itabidi ipitie Tanzania basi itapita tu, tutawatongoza Wabongo hadi waachie. Mwisho wa siku maslahi ndio tunafuata, Wabongo muamke huu usingizi wa undugu na udada.
Reli tunaweka ya kufikisha bidhaa Kigali kwa masaa 24, hapo Rwanda na wao wanaweza tumia hiyo fursa kusogesha zaidi.

..hapana.

..reli yenu sgr inaishia Nairobi.

..reli ya kwenda rwanda, na burundi, itapitia Tanzania.
 
..hapana.

..reli yenu sgr inaishia Nairobi.

..reli ya kwenda rwanda, na burundi, itapitia Tanzania.

Duh! haya uliyapata wapi, hebu leta taarifa humu, ninachofahamu phase one inaishia Nairobi, phase two Malaba, halafu Wanganda waipokee na kuwapa Wanyarwanda na Wasudani.
 
Duh! haya uliyapata wapi, hebu leta taarifa humu, ninachofahamu phase one inaishia Nairobi, phase two Malaba, halafu Wanganda waipokee na kuwapa Wanyarwanda na Wasudani.

..kupita kote huko kuelekea Rwanda ni aghali.

..solution ni kupitia Tanzania.

..wewe inaelekea umekuwa mjamaa sasa, na hujui hata thamani ya pesa na muda.

..South Sudan itaunganishwa na reli ya Ethiopia to Djibouti.
 
..kupita kote huko kuelekea Rwanda ni aghali.

..solution ni kupitia Tanzania.

..wewe inaelekea umekuwa mjamaa sasa, na hujui hata thamani ya pesa na muda.

..South Sudan itaunganishwa na reli ya Ethiopia to Djibouti.

Hapa suala ya gharama haliingi maana our primary customer ni Mganda, huko kwingine ni kubahatisha tu. Lazima tumuweke Mganda kapuni siku zote na hatuwezi chepua.
 
Sijui mpigwe vibao muamuke Watanganyika au vipi, what other motivation besides money there is to anything. Mkwanja, Pesos, Pesa, Hela, mbeca.... yaani kama ninyi mnataka ukaka basi sio kwenye biashara. Mgundue hilo mapema.
Mkuu sie tumeshaligundua hilo ndio maana tumekaa mbali na CoW maana hatuoni maslahi. Hao madikteta wawili ndio hawaelewi lolote wao wanadhani kweli Kenya mna mpango na Shirikisho kumbe wapi! mnataka kuwageuza wawe economic extensions zenu.
 
Mkuu sie tumeshaligundua hilo ndio maana tumekaa mbali na CoW maana hatuoni maslahi. Hao madikteta wawili ndio hawaelewi lolote wao wanadhani kweli Kenya mna mpango na Shirikisho kumbe wapi! mnataka kuwageuza wawe economic extensions zenu.

CoW haina mambo ya ukaka ama undugu, ni biashara na kila mtu analijua hilo, nyie mmekaa pembeni mkitegemea tuongee mambo ya undugu nanyi wakati muda huo haupo.
Napenda sana jinsi tunavyoicheza CoW, yaani tunalipuana bila kuzunguka mbuyu. Biashara ni unyang'au, cheza nicheze, bonyeza nibonyeze. Rwanda walifaulu kutufinya mapumbu hadi tukaachia washushe ndege zao Nairobi, sasa hivi wanaichezea Nrb-Kampala bila hata kuingia Kigali....nimependa sana hiyo, yaani Kagame hakulilia pembeni, hakutoroka, hakuogopa Wakenya, hakulalamika kama mwanamke, ila alituchezea moja noma na tukaachia.

Nyie mkiguzwa kidogo tu, mnajiangusha angusha na kumuita refa.
 
Manyang'au washukuru kwa sababu ni miezi tu tunahesabu huyu Dhaifu atakuwa hayupo watakiona cha ntema kuni tit for tat. kama Fast jet hawatui Nairobi Basi KLM na KQ marufuku kuja Bongo isiwe shedaaaaa
 
Manyang'au washukuru kwa sababu ni miezi tu tunahesabu huyu Dhaifu atakuwa hayupo watakiona cha ntema kuni tit for tat. kama Fast jet hawatui Nairobi Basi KLM na KQ marufuku kuja Bongo isiwe shedaaaaa

days are numbered mkuu siyo utani ngoja atoke mr.tabasamu. hawa wakenya washukuru kuweza kuteka hii misukule miwili, naimani tz washaishindwa wanabaki leta vijembe kwenye mitandao tu
 
days are numbered mkuu siyo utani ngoja atoke mr.tabasamu. hawa wakenya washukuru kuweza kuteka hii misukule miwili, naimani tz washaishindwa wanabaki leta vijembe kwenye mitandao tu

About the fast jet license, I keep on saying, you guys have no option, ban KQ, then what? Precision will have a monopoly on all Kenya Tanzania routes. Such a move would be stupid as kq is a major shareholder in Precision
 
Tangu Uhuru ashike nchi, sintofahamu ndani ya EAC zimezidi. Bora Kibaki ...
 
CoW haina mambo ya ukaka ama undugu, ni biashara na kila mtu analijua hilo, nyie mmekaa pembeni mkitegemea tuongee mambo ya undugu nanyi wakati muda huo haupo.
Napenda sana jinsi tunavyoicheza CoW, yaani tunalipuana bila kuzunguka mbuyu. Biashara ni unyang'au, cheza nicheze, bonyeza nibonyeze. Rwanda walifaulu kutufinya mapumbu hadi tukaachia washushe ndege zao Nairobi, sasa hivi wanaichezea Nrb-Kampala bila hata kuingia Kigali....nimependa sana hiyo, yaani Kagame hakulilia pembeni, hakutoroka, hakuogopa Wakenya, hakulalamika kama mwanamke, ila alituchezea moja noma na tukaachia.

Nyie mkiguzwa kidogo tu, mnajiangusha angusha na kumuita refa.
hatuwezi kuingia kwenye ushirika ambao hautatufaidisha na mtu anayejua biashara anajua hilo.
 
Tangu Uhuru ashike nchi, sintofahamu ndani ya EAC zimezidi. Bora Kibaki ...

EAC ya kwanza ilivunjika kwa sababu ya baba yake, labda hili ni pepo la ukoo wa kenyatta.
 
CoW haina mambo ya ukaka ama undugu, ni biashara na kila mtu analijua hilo, nyie mmekaa pembeni mkitegemea tuongee mambo ya undugu nanyi wakati muda huo haupo.
Napenda sana jinsi tunavyoicheza CoW, yaani tunalipuana bila kuzunguka mbuyu. Biashara ni unyang'au, cheza nicheze, bonyeza nibonyeze. Rwanda walifaulu kutufinya mapumbu hadi tukaachia washushe ndege zao Nairobi, sasa hivi wanaichezea Nrb-Kampala bila hata kuingia Kigali....nimependa sana hiyo, yaani Kagame hakulilia pembeni, hakutoroka, hakuogopa Wakenya, hakulalamika kama mwanamke, ila alituchezea moja noma na tukaachia.

Nyie mkiguzwa kidogo tu, mnajiangusha angusha na kumuita refa.

NImeipenda hiyo. Achana na hawa wanaoleta biashara za ujamaa na kujitegemea.
 
Back
Top Bottom