Synod
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 4,143
- 4,180
Mbona kwenye SADC hizo habar za mashamba hazipo? Na kwa nini haisemwi nchi yingine kuwa itaiba hayo mashamba zaidi ya kenya?Eac ivunjiliwe mbali....sijaona umuhimu wake.wengine wanalia mashamba yataibiwa sijui kama mashamba ya waganda yameibiwa au vipi
Ni dhahili kwa hili wakenya mna mpango wa kuiba ardhi!