Uganda President Yoweri Museveni has sensationally claimed that there is a plot to detain President

Uganda President Yoweri Museveni has sensationally claimed that there is a plot to detain President

kelele, naomba washikwe tuone pakichimbika, kwani Uhuruto ni nani wa kuhold the entire country at ransom. Hii ushenzi ya kutishia wastu inafaa kuisha, NO ONE IS INDISPENSABLE.

Mu7 anazeeka vibaya na mambo anayofanya ndani ya nchi yake yanakaribisha kifo kwake mwenyewe na familia yake.Tangu aclaim kuwa anataka kuwa raisi wa kwanza wa East africa federation amekuwa akitoa kauli za kimamlaka na kusemea africa kama yeye ni rais wa Africa,very stupid.Mbona yeye alimpeleka Kony ICC kwanini asiombe mahakama ya Uganda kumshitaki Kony ndani ya UG?.Viongozi wa Africa wengi wao wamelewa madaraka na ujinga na hawafikirii maelefu ya watu waliokufa na kupoteza mali zao wakati wa PEV 2007.Africans Leaders and AU have lost legitimacy on human rights agenda and have no moral authority to protect against ICC since most of are prospecting captives.
 
Mu7 anazeeka vibaya na mambo anayofanya ndani ya nchi yake yanakaribisha kifo kwake mwenyewe na familia yake.Tangu aclaim kuwa anataka kuwa raisi wa kwanza wa East africa federation amekuwa akitoa kauli za kimamlaka na kusemea africa kama yeye ni rais wa Africa,very stupid.Mbona yeye alimpeleka Kony ICC kwanini asiombe mahakama ya Uganda kumshitaki Kony ndani ya UG?.Viongozi wa Africa wengi wao wamelewa madaraka na ujinga na hawafikirii maelefu ya watu waliokufa na kupoteza mali zao wakati wa PEV 2007.Africans Leaders and AU have lost legitimacy on human rights agenda and have no moral authority to protect against ICC since most of are prospecting captives.

Museveni ni mtu mwenye uchu wa kutumia maasi na mauaji kuendeleza utawala wa kidikteta. Mbona hataki kwake kuleta utawala wa katiba kutawala kwa kikomo kama miaka 5 mara mbili? Hii ya Kenya mbona kaichachamalia utadhani ni Uganda? Mbona ya Kony anaonekana kuitumia kuendeleza utawala wa kiimla? Huyu kwa Jumuia ya Afrika Mashariki ndiyo anajimaliza kisiasa. Kuweni macho na huyu dikteta M7
 
Wakenya watanyanyuana wao kwa wao, itakua mwisho wa 'Nairobi','Nakuru' na 'Naivasha' kama zilivyo kwa sasa.

Hii nayo itachochea vita kila mahali, utasikia MRC wameamka......

hahahaha kiambu mafia..hivi ni lazima aongoze uhuruto? Mnapigana wenyewe kwa wenyewa kwa ajili ya uhuru!
 
kelele, naomba washikwe tuone pakichimbika, kwani Uhuruto ni nani wa kuhold the entire country at ransom. Hii ushenzi ya kutishia wastu inafaa kuisha, NO ONE IS INDISPENSABLE.

Hapa si swala la UhuRuto ni nani wala si mambo na vitisho kama unavyotishika, kama ungelijua siasa za Kenya ambopo zimefika ungeelewa kipi ninacho kinena.

UhuRuto wakishikwa tu hivi, huo ndio utakua mwisho wa Kenya, si vitisho kamwe!
 
Wakenya watanyanyuana wao kwa wao, itakua mwisho wa 'Nairobi','Nakuru' na 'Naivasha' kama zilivyo kwa sasa.

Hii nayo itachochea vita kila mahali, utasikia MRC wameamka......

Wewe sasa unafanya matani aisee....Wapi pachimbike?...Kenyans said they will never fight again for this kinda BS!..afu sasa wewe unaleta hoja za kijiweni hapa!
 
Waafrika bana, tunapenda kuremebesha vimisemo ambavyo havina hata maana, eti wakimkamata patachimbika, wapi hapo patakapochimbika na nani apachimbe? Kama wakipachimba Kenya Wazungu wao itawahusu nini? Au mtakwenda na Vifaru kuvamia Ulaya kumtoa? Acha kujidanganya wakiamua kumkamata watamkamata hakuna kitu mtafanya, sana sana mtaanza fujo za kuuana wenyewe kwa wenyewe huku wenzenu wanakunywa Mvinyo na kutuma Ndege kuja kuwadondoshea Chakula cha msaada!

Well said mkuu, mimi jamaa huyu M7 nilishamsoma kisaikolojia siku nyingi tu - yote anayo sema pale anatumiwa na UK, Uhuru na Rutto hawataki wajulikane wako behind ya mbinu hizi za kutaka kujinasua na zahama za ICC kwa hiyo wanamtumia M7 kama msemaji wao ili kujaribu kufanikisha malengo yao!!

Nilisha sema humu, hata mbinu za uchakachuaji wa kura na mambo ya kangaroo court (kilicho fanyika pale kortini ni usanii mtupu) yote hayo yalikuwa na lengo la kumuhalalisha UK ili hasifikishwe ICC. We sema URUTO grossly misinterpreted International resolve ya kuwafikisha kizimbani come rain or shine!! Walikuwa wana - bank matumaini yao kwamba UK akisha halalishwa na mahakama kuu ya kenya kuwa Rais basi hilo tu litakuwa kinga kamili ya kumlinda asishtakiwe/fikishwa the Hague, ni hilo tu!

Narudia kusema harakati zote za uchakachuaji wa kura lengo lake lilikuwa ni hilo. Haya ya Mseveni aliyo yasema leo katumwa na akina URUTO, wanacho fanya nikutaka kupre-empty kitu - ili wakija tiwa mbaroni na kuburuzwa mahakamani wahanze kumlahumu Raila kwamba labda ndiye amewazidi kete au ndiye anawachomea utambi, yaani hawajiamini/matumbo moto kwa kuwa wanajua walicho fanya kilikuwa hakipendezi kwa mstakabari wa Taifa lao na Ndugu zetu wa Kenya kwa jumla.
 
Back
Top Bottom