Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo ile sheria ya kupinga wanawake kuvaa nguo fupi?Kuna habari ililetwa humu ikionyesha wanawake wa Uganda wakivua nguo barabarani, sikumbuki vizuri walikuwa wanadai nini hasa.
Siyo ile sheria ya kupinga wanawake kuvaa nguo fupi?Kuna habari ililetwa humu ikionyesha wanawake wa Uganda wakivua nguo barabarani, sikumbuki vizuri walikuwa wanadai nini hasa.
Ningekuwa karibu hawa ningewapelekea moto kote kote mpaka nyeti zao zivimbe
alafu ndio professor sasa, sijui hao la saba wa huko uganda wakojeMilembe ya huko inamuhusu..
Sikumbuki vyema!Siyo ile sheria ya kupinga wanawake kuvaa nguo fupi?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ningekuwa karibu hawa ningewapelekea moto kote kote mpaka nyeti zao zivimbe
Hao wadudu wanakuwaga na stress za kufa mtualafu ndio professor sasa, sijui hao la saba wa huko uganda wakoje
si unaona huo mtindi umemwagikaje kaka mkubwaumejuaje kama ana watoto?
Kwani mgonjwaHuyu ni wakukamatwa na kupelekwa hospital
Hs ha ha du! Kumbe nawe ni mtumiaji Wa mtaro Wa majitakaNingekuwa karibu hawa ningewapelekea moto kote kote mpaka nyeti zao zivimbe
ataiweka darasaniKAMPENI YAKE IMEFANIKIWA..AMESHARUDISHWA KAZINI..SIJAJUA ATAIWEKA WAPI SURA YAKE WAKATI WA KUFUNDISHA...