UGANDA: Professor ajivua nguo zote hadharani baada ya "kutumbuliwa"

UGANDA: Professor ajivua nguo zote hadharani baada ya "kutumbuliwa"

Pole zake mama, ila jamani duh, sasa mumewe atakua anahisi vipi, au hata wanawe na jamaa zake wa karibu. Huu ni uchizi wa kibwege kabisa. Hafai huyo....
 
1461086435883.jpg
 
Umesema amevua nguo zote mbona nanihiii yake haionekani, japo nusu tu? wewe ni muongo!
 
Nilijua kupiga waume zao tu, kumbe hata kutukalia uchi wanaweza? Hongeren wanawake Wa Uganda
 
Mie huwa najiuliza mbona magazeti ya kiingereza ya Tz hutumia misamiati migumu sana. Mfano hii habari imeandikwa kwa english simple tu nimeelewa
 
I think huenda ni kutokana na tetemeko lililitokea huko japani mji nimeusahau
 
kwa tamaduni za kiganda mwanamke akivua nguo dizaini ya huyo profesa anakuwa amekulaani..
 
Back
Top Bottom