UGANDA: Professor ajivua nguo zote hadharani baada ya "kutumbuliwa"

cpati picha angevulia chocho za ngarenaro au ungalimitedi angeztafuta mwenyewe
 
KAMPENI YAKE IMEFANIKIWA..AMESHARUDISHWA KAZINI..SIJAJUA ATAIWEKA WAPI SURA YAKE WAKATI WA KUFUNDISHA...
HAYUPO OFISINI MPWA NILIKUWA MAKEREEE LAST WEEK...LABDA MAKERERE YA ARUSHA
 
Yawezekana baada ya lipoti ya kutunbukiwa akapatwa na ugonjwa wa akiri hivyo apewe nafasi kwanza
 
kumbe sio madokta na maprof wetu tu ndo hawaeleweki hata majiran [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila anaonekana mtamu sana huyo profesa
 
uganda mwanamke akionewa sana kuvua nguo ndo silaha ya mwisho na si mara ya kwanza kutokea, wanaamin laana na mikosi humpata aliemwonea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…