Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atanyamaza kimyaaaa kama hajui kinachoendeleaHakika kwa hili Museveni ametisha sana, Mungu aendelee kumtunza, kwa hili jambo amecheza kama Messi. Kuanzia sasa LGBTQ ni haramu Uganda, kumbukeni juzi hapa Kenya waliruhusu vitendo vya LGBTQ...
Ni suala la muda tu ila ushoga utaruhusiwa dunia nzima, as long as marekani ndo inaupigia upatu, hata tufanye nini tutanyoka tuHakika kwa hili Museveni ametisha sana, Mungu aendelee kumtunza, kwa hili jambo amecheza kama Messi. Kuanzia sasa LGBTQ ni haramu Uganda, kumbukeni juzi hapa Kenya waliruhusu vitendo vya LGBTQ.
Nasubiri kuona mama yetu kipenzi Samia atafanya nini na yeye. View attachment 2532866
Inasema.....,,???Kuna fununu niliisikia sema sina Mwanasheria na familia inanitegemea[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyu ndo mwamba sasa, sio wengine unafiki tu umewajaa, kelele nyingi vitendo sifuri.Hakika kwa hili Museveni ametisha sana, Mungu aendelee kumtunza, kwa hili jambo amecheza kama Messi. Kuanzia sasa LGBTQ ni haramu Uganda, kumbukeni juzi hapa Kenya waliruhusu vitendo vya LGBTQ.
Nasubiri kuona mama yetu kipenzi Samia atafanya nini na yeye. View attachment 2532866
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umewaza mie yaan.Safi sana,
Sasa na Njaa zetu Africa utegemee Waganda wengi kuomba ukimbizi kwamba ni machoko wakirudi kwao watauliwa.
Hiyo ndio akili yetu ilipo[emoji16]
kwani si ni mahakama zetu zimepitisha, sa unamfokea nani?😡😡😡
Sisi huo ujinga hatuna kama nyie na wazenjiSiku mahakama ikipitisha nyie ukanda huo mtafurahi sana maana ndio desturi zenu hizo, upumbavu huo hautaukuta huku mikoani.
Naa sio mahakama bali ni bunge lilipitisha sheria ya kuufuta ule muswada ambao ulishhakuwa sheria tayari baada ya Museveni kuusaini. Ina maana sheria aliyopitisha Museveni ilikuwa repealed by the sama bunge kwa shunikizo la western countries. Sasa kuleta hii mada leo ina maana gani? And who is behind this?Hiyo habari ya lini weka tarehe tusije kutoa pongezi za bure. Nakumbuka mahakama ilifuta sheria miaka iliyopita