Uganda sasa Kuongea kiswahili rasimu: Kalibu wagand kwene mtanange wa the Titans of East Africa!

Uganda sasa Kuongea kiswahili rasimu: Kalibu wagand kwene mtanange wa the Titans of East Africa!

Ila cha KQ mwisho wa vituko sijui Ug itakuwaje
Penyewe bwana iko inakulaga, pale bibi iko kwa kitand

Vituko gani na Wakenya ndio anafundusha Kiswahili shule za Rwanda hata South Afruca? endeleeni kujifariji kwamba mna kiswahili kizuri wakati wenzenu wanapiga pesa ndefu kupitua kiswahili hicho hicho. Kuna Wakenya na wajua wako Arusha wana centre ya kufundisha Wazungu Kiswahili.Endeleni kujifariji
 
Hata Wakenya wanapaswa kuachana na ujinga wao wa kukumbatia Lugha ya Mkoloni ingawa Katiba yao inasema lugha ya Taifa ni Kiswahili
Zile English medium mnatafuta nini mule? kwani ukitia kingereza muna kitu gani kingine kinabakia kwa zile Englusha medium?
 
Back
Top Bottom